Inaumiza kweli, halafu ongea utaambiwa unagubu hauliziki kila kitu nakupa utazani ulifuata nyama na samaki kwenu havikuwepo, waache tutaenda nao sawa tu
Inaboa eti wanaume wanachosha .
Unajua bora uolewe na mwanaume muongeaji .
Wangu ni mkimya ni vitendo tu .
Hata ukipiga kelele anakaa kimya au anaondoka.
Ila hii ndio dawa yake tunazungukana tutakutana kwa mmjomba .
Nimechoka yaani unahamu sana kwa moyo wote halafu anakukaushia .
Na nihaki yake kutoa huduma hiyo nimeona niseende mbali niko karibu.
Kuhusu HIV kuna dada jirani alipewa na mume wake basi anaishi kwa matumaini naye anajuta angedanga tu karingia watu eri kisa kaolewa .
Tembea kqa stepu usimkanyage mumeo kichwani akajua .
Mapenzi ya sikufanye uwe unaogopa kushirikisha wanaume wengine .
Sema awe mmoja tu tena anayejitambua kuanzia afya .
Juzi nimempeleka wifi yangu ,mme wangu na honey wangu hospitali kwa check up yaani hapa shemeji yangu alicheka sana hakuamini kuwa nimefanya hivyo tupo sawa .
Naomba iwe hivyooo kila wakati.