Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

Nyuma ya Pazia: Nini hasa kinafanya wanawake walioolewa au walio kwenye mahusiano serious kuchepuka?

Hivi unajua kwamba kuna wanawake ambao wanapewa kila kitu pamoja na hizo affection ila still yanachepuka.
Sijakataa
Sema kesi za hivo ni chache mno ukilinganisha na nilizozungumzia
Wanaume wana tendency ya kujisahau zaidi
Unakuta akiwa na mchepuko atamfanyia kila kitu ila wife anambaka tu
 
Kuhusu kitandani ninuongo, sababu kubwa ni tamaa ya fedha..

Mwanamke na fedha walisha funga ndoa toka adam na hawa..
Hahaha eti walishafunga ndoa
Shetani ndiye alikuwa walii kipindi hicho au?
 
Chanzo ni wanaume........


Mkeo akigindua unacheat mara ya kwanza...ya pili....ya tatu utapigiwa tu!!!

Unamtreat vipi?

Unamtimizia mahitaji yake?

Unamliwaza?

Wewe ni mume au baba kwake????

Mengine ni tamaa kama inayomsukuma mwanaume tu....
 
Ila papuchi ya nje huwa inakua amaizing sana yan wakt unaenda kula mzigo wkt unashuka kwenye gar dushe linatangulia aisee
 
Mume au mpenzi kukuchukulia poa (Yani anakuona wa kawaida tu hajali tena, hakusifii, hadi unajiona ovyo wakati deep down unajua wewe kisu. Then unapata mtu anakuangalia kwa macho flani hivi)

Kukosekana kwa plan ya future(uko na mwanamke 1 year, 2 years haijajulikana uko naye umuoe, mnafurahishana tu au vipi)

Tabia tu (mtu hawezi kuwa na mpenzi mmoja)

Dushelele (kutafta raha za dunia kama hazipati ndani)
Unazuuuunguka sema tu PESA.... Nishapiga manzi wa mtu kisa kijola siju kijora cha msomali.
 
Kwamba wenye pesa hawapigiwi? Hongera sana kwa kupiga manzi wa mtu
Ukiwa na pesa hiana maana kuwa hautaki pesa... Pesa ni number na namba haina ukomo... Ukiwa na laki unaamini kwenye laki ingine ili iwe laki mbili
 
first time nachepuka
nilimfunania mwanaume akanigeuzia kibao
ukatokea mnuno zaidi ya mwezi nikajishusha niweke mambo sawa mtu bado anavimba
no sex no talking
nikaona isiwe tabu nikavuta kazee kangu kananibebisha ile mpaka nachanganykiwa
basi tukachepuka na akawa anailisha mpaka familia ya mtu aliyenuna
 
Inaboa eti wanaume wanachosha .
Unajua bora uolewe na mwanaume muongeaji .
Wangu ni mkimya ni vitendo tu .
Hata ukipiga kelele anakaa kimya au anaondoka.
Ila hii ndio dawa yake tunazungukana tutakutana kwa mmjomba .
Nimechoka yaani unahamu sana kwa moyo wote halafu anakukaushia .

Na nihaki yake kutoa huduma hiyo nimeona niseende mbali niko karibu.

Kuhusu HIV kuna dada jirani alipewa na mume wake basi anaishi kwa matumaini naye anajuta angedanga tu karingia watu eri kisa kaolewa .

Tembea kqa stepu usimkanyage mumeo kichwani akajua .
Mapenzi ya sikufanye uwe unaogopa kushirikisha wanaume wengine .
Sema awe mmoja tu tena anayejitambua kuanzia afya .

Juzi nimempeleka wifi yangu ,mme wangu na honey wangu hospitali kwa check up yaani hapa shemeji yangu alicheka sana hakuamini kuwa nimefanya hivyo tupo sawa .

Naomba iwe hivyooo kila wakati.
Kwahiyo wote nyie wanne mnajuana kuwa mnakulana? Au sio?
 
first time nachepuka
nilimfunania mwanaume akanigeuzia kibao
ukatokea mnuno zaidi ya mwezi nikajishusha niweke mambo sawa mtu bado anavimba
no sex no talking
nikaona isiwe tabu nikavuta kazee kangu kananibebisha ile mpaka nachanganykiwa
basi tukachepuka na akawa anailisha mpaka familia ya mtu aliyenuna
wewe utakuwa mke wangu.
kwa mwandiko huu na maneno haya lazma utakuwa wewe...
 
wewe utakuwa mke wangu.
kwa mwandiko huu na maneno haya lazma utakuwa wewe...
usipende kujinunisha mtu anapoitafuta suluhu ungana nae
siye wote ni bin adam tuna mioyo ya nyama yenye kuvumilia na kuchoka kuvumilia pia
 
Back
Top Bottom