careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,652
Yaan mie hata sijui sababu...nilidangamywa tu nakurubuniwa..ila nishazoea sasa nachepuka tu..sema nachepuka na niliowazid umri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijakataaHivi unajua kwamba kuna wanawake ambao wanapewa kila kitu pamoja na hizo affection ila still yanachepuka.
wakati mwingine wa hivi hanyooshwii vizuri, au ujinga wa mashost tu kujaribu dushee tofautiHivi unajua kwamba kuna wanawake ambao wanapewa kila kitu pamoja na hizo affection ila still yanachepuka.
Hahaha eti walishafunga ndoaKuhusu kitandani ninuongo, sababu kubwa ni tamaa ya fedha..
Mwanamke na fedha walisha funga ndoa toka adam na hawa..
Sikwelihawawezi kuleta pua zao hapa na kutoa sababu za msingi.
wao nyege zikishika joto wako radhi hata kuchepuka na vitu vya ajabu.
Unazuuuunguka sema tu PESA.... Nishapiga manzi wa mtu kisa kijola siju kijora cha msomali.Mume au mpenzi kukuchukulia poa (Yani anakuona wa kawaida tu hajali tena, hakusifii, hadi unajiona ovyo wakati deep down unajua wewe kisu. Then unapata mtu anakuangalia kwa macho flani hivi)
Kukosekana kwa plan ya future(uko na mwanamke 1 year, 2 years haijajulikana uko naye umuoe, mnafurahishana tu au vipi)
Tabia tu (mtu hawezi kuwa na mpenzi mmoja)
Dushelele (kutafta raha za dunia kama hazipati ndani)
Unazuuuunguka sema tu PESA.... Nishapiga manzi wa mtu kisa kijola siju kijora cha msomali.
Ukiwa na pesa hiana maana kuwa hautaki pesa... Pesa ni number na namba haina ukomo... Ukiwa na laki unaamini kwenye laki ingine ili iwe laki mbiliKwamba wenye pesa hawapigiwi? Hongera sana kwa kupiga manzi wa mtu
AyseeYaan mie hata sijui sababu...nilidangamywa tu nakurubuniwa..ila nishazoea sasa nachepuka tu..sema nachepuka na niliowazid umri
umeprove wapi kwamba amepewa kila kitu?Hivi unajua kwamba kuna wanawake ambao wanapewa kila kitu pamoja na hizo affection ila still yanachepuka.
Ukiniuliza hilo namie nitakuuliza una prove gani kwamba wanaume wote ni wabaya?umeprove wapi kwamba amepewa kila kitu?
kuna mahali nimeandika wanaume ni wabaya?Ukiniuliza hilo namie nitakuuliza una prove gani kwamba wanaume wote ni wabaya?
Kwahiyo wote nyie wanne mnajuana kuwa mnakulana? Au sio?Inaboa eti wanaume wanachosha .
Unajua bora uolewe na mwanaume muongeaji .
Wangu ni mkimya ni vitendo tu .
Hata ukipiga kelele anakaa kimya au anaondoka.
Ila hii ndio dawa yake tunazungukana tutakutana kwa mmjomba .
Nimechoka yaani unahamu sana kwa moyo wote halafu anakukaushia .
Na nihaki yake kutoa huduma hiyo nimeona niseende mbali niko karibu.
Kuhusu HIV kuna dada jirani alipewa na mume wake basi anaishi kwa matumaini naye anajuta angedanga tu karingia watu eri kisa kaolewa .
Tembea kqa stepu usimkanyage mumeo kichwani akajua .
Mapenzi ya sikufanye uwe unaogopa kushirikisha wanaume wengine .
Sema awe mmoja tu tena anayejitambua kuanzia afya .
Juzi nimempeleka wifi yangu ,mme wangu na honey wangu hospitali kwa check up yaani hapa shemeji yangu alicheka sana hakuamini kuwa nimefanya hivyo tupo sawa .
Naomba iwe hivyooo kila wakati.
wewe utakuwa mke wangu.first time nachepuka
nilimfunania mwanaume akanigeuzia kibao
ukatokea mnuno zaidi ya mwezi nikajishusha niweke mambo sawa mtu bado anavimba
no sex no talking
nikaona isiwe tabu nikavuta kazee kangu kananibebisha ile mpaka nachanganykiwa
basi tukachepuka na akawa anailisha mpaka familia ya mtu aliyenuna
usipende kujinunisha mtu anapoitafuta suluhu ungana naewewe utakuwa mke wangu.
kwa mwandiko huu na maneno haya lazma utakuwa wewe...