Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewa nigga
Unazingua niggaNigga haunazo bichwani
umeanza lini kufuatilia mziki wa mavoko na diamond? tuanzie hapo kwanza,ucjekuwa unaropoka tu mambo usiyoyajuakipindi dai anatamba na mbagala na mawazo walikuwa level 1 na mavoko so walikuwa wapinzani
hivi ulikuwa unaufuatilia vzuri mziki wa Mavoko aise! Wakati mavoko anachukuliwa na WCB alikuwa tyr ashaporomoka kimuziki na wcb ndo imemrudisha kwenye ramaniMimi mshabiki sana wa diamond,ila nakuunga mkono 100% jamaa anamtumia ili kumnyonya na kumshusha kimuziki.
Ramani ipi?hivi ulikuwa unaufuatilia vzuri mziki wa Mavoko aise! Wakati mavoko anachukuliwa na WCB alikuwa tyr ashaporomoka kimuziki na wcb ndo imemrudisha kwenye ramani
hahahaa baelezeeeRamani ipi?
Mavoko anaenda WCB alikua ana ngoma inaitwa Pacha Wangu na ngoma ilikua hit, kuliko nyimbo zote alizotoa akiwa WCB.
unajua pacha wangu ilitoka mwaka gani na mavoko kasign wcb mwaka gani? ebu rudisha kumbukumbu sawa kisha urudi tena jukwaaniRamani ipi?
Mavoko anaenda WCB alikua ana ngoma inaitwa Pacha Wangu na ngoma ilikua hit, kuliko nyimbo zote alizotoa akiwa WCB.
We nawe sasa kabla ya kwenda wcb alikua na wimbo gani unaotamba?unajua pacha wangu ilitoka mwaka gani na mavoko kasign wcb mwaka gani? ebu rudisha kumbukumbu sawa kisha urudi tena jukwaani
Huku una akili sana ila siasani unakuwa kama mbwiga Fulani hivi
Wee nae
Eti chozi la zee
Hata hueleweki
Zee ndiyo kuku gani?
Umerudi nigga?Lile jukwaaa lazima kusimamia utakachonna sio kufatwa watu wanaotaka uandike kama wao..
Ukweli mtupu na unawauma wengiiiii eeeeeeh
Na bado
Haramu tamu mkuu.Hata mimi naliona hilo Kuna udini WCB fuatilia watangazaji wa Tv na wafanyakazi utaona..
Ila ninyi waislam si ndo mnasemaga kuimba ni Ukafiri/Haramu
Diamond hajawahi kuwa na mpinzani tanzaniaHata mm huwa najua hivyo asee mana enzi zile mavoko alikuwa mpinzani mkuu wa diamond, dogo rich angekaza peke yake angefika mbal