hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
hahaa sindio hapo sasa ?? swala la msanii kutoa nyimbo silipo chini ya managementKwa hiyo alikuwa anaambiwa sasa hivi achia ngoma anakataa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaa sindio hapo sasa ?? swala la msanii kutoa nyimbo silipo chini ya managementKwa hiyo alikuwa anaambiwa sasa hivi achia ngoma anakataa?
acha uwongo mavocal " hana uwezo"?? wewe jamaa mbona muongo sanaWee nyoko! Usituletee udini wako hapa! Huyo Mavokko wako hayawezi, muonyeshe uzaifu wake, sio kumtafutia visingizio atapotea zaidi. Akiondoka hapo ndio hata wewe utamsahau kabisaaa, maana hata pale anabebwa tu hana uwezo. Game sio rahisi kihivyo kwamba kilamtu anaweza ktoboa.
kwani umemsikia wapi magical akitoa malalamiko kuwa diamond hamsaidii " tuanzie hapo kwanzaKwanini mwanaume na jinsia zako za kiume unatoka hadharani kumlalamikia mwanaume mwenzako eti hajakusaidia ili ufanikiwe.
Mavoko ni msanii mzuri, kumlaumu Diamond ni uzezeta wa hali ya juu sana hivyo kama Diamond kaweza kuwasaini kina yeye kwanini na yeye asikomae amsaini Diamond ili ajipangie cha kufanya?
Alichokifata pale amekipata, kama alitarajia mteremko kwenye mafanikio ya mwanaume mwenzake basi alikosea, ukishakubali kuingia kwenye himaya ya mtu basi tarajia kuwekewa mipaka. Huyu mtu akitambua umuhimu wake basi anaweza na yeye kuanzisha kikubwa zaid ya WCB ila kama ataendelea kuamini WCB ndio kila kitu basi asubirie kampeni za CCM atawika.
Kwahiyo wakuachie studio siyo!Hata mimi naliona hilo Kuna udini WCB fuatilia watangazaji wa Tv na wafanyakazi utaona..
Ila ninyi waislam si ndo mnasemaga kuimba ni Ukafiri/Haramu
Kwani yeye alisema anawimbo anataka kuiachia wakamkataza?Kwa hiyo alikuwa anaambiwa sasa hivi achia ngoma anakataa?
Wee naeAkitoa nyimbo zake nitazisikilizaaaaa
Nampenda alivyo
Kama kaona kuondoka kunamfaa bora aondoke kuliko kukaa pale na bila furaha na kuja kuishia kuugua magonjwa bure.
Ana nyota fulani ya alivyo wanawake wengi tunaipenda.. atuimbie nyimbo bomba tupo nae kama kawa.
Dee siku hizi anajijua alipo sio kama enzi za Zee. Chozi la mwanamke sio la mchezo mchezo
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Zee ndiyo kuku gani?
[emoji1]Kwa hiyo alikuwa anaambiwa sasa hivi achia ngoma anakataa?
Naamini 95% wcB wana katabia ka utapeli na ubaguzi hivi.Niliwahi kuandika hapa uzi ukilezea kwa kina hilo suala ila wenye huu mtandao kwa sababu zao za kuamua tu wenyewe wakaifuta tena niliweka zaidi ya mara 2 anyway uhuru sasa si mkubwa tumeelewa.
Tukirudi kwenye mada, Mavoko ndani ya WCB alikuwa anapata tabu sana na suala la udini walikuwa wanamtemga sana
Ricardo alivo na roho mbaya alikuwa anamlazimsha kipindi cha mwezi mtukufu na yeye kufunga ama kutoonekana na chakula akiwa pale WCB.
Diamond alipoanza ujenzi wake wa msikiti alilazimisha na yeye aupost na siku ya kuuzindua aende.
Account za WCB wasanii karibia zote insta zina blue tick ila yeye hawakumuhangaikia kuipata kila akiuliza wanadai insta hawarespond
Ile nyimbo ya rudi Diamond aliitaka iwe yake jamaa akakaza mondi alimind sana maana huwa pia anapenda nyimbo nzuri either apewe au ashirikishwe kumbuka hata Kwangwaru alilazimisha ashirikishwe yeye sio Davido.
Rayvann anajijua kuwa anayefuata ni yeye ni jambo la wakati tu maana kuna kipindi alijaribu kuhoji kwanini hamna usawa akaambiwa kama vipi arudi tip top hata yeye kakatazwa kuoa kikirsto anaambiwa sababu mpenzi wake ni muislam basi abadirishe dini na ndio maana rayvan ameanza kujijenga nje ya WCB kaanza kujenga studio yake.
Sallam Salam kumlazimisha kuwa kwenye mapato yote Mavoko kupata 50% wakati wengine wanapata 70 nakila alipouliza anaambiwa mkataba ulisainiwa kimakosa so asubiri ukiisha ndio wauboreshe tena kuna kipindi yeye wanampangia kuingia studio j2 asubuhi ili aisende kanisani
Jamaa ameshangaa kutopewa share kwenye WCB wakati yeye ni mmoja wa watoa wazo na pia alihakikishiwa matokeo yake waliopata hisa ni
Mzee tyson 50
Diamond 20
Sallam 5
Fella 2
Tale 3
Harmonize 2
Paulo kupitia mke wake 15
Janson 3
Mimi mshabiki sana wa diamond,ila nakuunga mkono 100% jamaa anamtumia ili kumnyonya na kumshusha kimuziki.Nia ya diamond kumleta mavoko WCB ilikuwa kumshusha tu chini kimziki
Duh.Naamini 95% wcB wana katabia ka utapeli na ubaguzi hivi.
Uko sahihi mkuuAkitoa nyimbo zake nitazisikilizaaaaa
Nampenda alivyo
Kama kaona kuondoka kunamfaa bora aondoke kuliko kukaa pale na bila furaha na kuja kuishia kuugua magonjwa bure.
Ana nyota fulani ya alivyo wanawake wengi tunaipenda.. atuimbie nyimbo bomba tupo nae kama kawa.
Dee siku hizi anajijua alipo sio kama enzi za Zee. Chozi la mwanamke sio la mchezo mchezo
It is just business nothing personal,na mwenyewe atoke aanzishe Kampuni yake,ndio tunavyokuwa hivyo,sidhan kama fifty cents,bado yupo kwenye Kampuni ileile iliyomtoa,amekuwa,ametoka,na yeye ametoa wengine,Niliwahi kuandika hapa uzi ukilezea kwa kina hilo suala ila wenye huu mtandao kwa sababu zao za kuamua tu wenyewe wakaifuta tena niliweka zaidi ya mara 2 anyway uhuru sasa si mkubwa tumeelewa.
Tukirudi kwenye mada, Mavoko ndani ya WCB alikuwa anapata tabu sana na suala la udini walikuwa wanamtemga sana
Ricardo alivo na roho mbaya alikuwa anamlazimsha kipindi cha mwezi mtukufu na yeye kufunga ama kutoonekana na chakula akiwa pale WCB.
Diamond alipoanza ujenzi wake wa msikiti alilazimisha na yeye aupost na siku ya kuuzindua aende.
Account za WCB wasanii karibia zote insta zina blue tick ila yeye hawakumuhangaikia kuipata kila akiuliza wanadai insta hawarespond
Ile nyimbo ya rudi Diamond aliitaka iwe yake jamaa akakaza mondi alimind sana maana huwa pia anapenda nyimbo nzuri either apewe au ashirikishwe kumbuka hata Kwangwaru alilazimisha ashirikishwe yeye sio Davido.
Rayvann anajijua kuwa anayefuata ni yeye ni jambo la wakati tu maana kuna kipindi alijaribu kuhoji kwanini hamna usawa akaambiwa kama vipi arudi tip top hata yeye kakatazwa kuoa kikirsto anaambiwa sababu mpenzi wake ni muislam basi abadirishe dini na ndio maana rayvan ameanza kujijenga nje ya WCB kaanza kujenga studio yake.
Sallam Salam kumlazimisha kuwa kwenye mapato yote Mavoko kupata 50% wakati wengine wanapata 70 nakila alipouliza anaambiwa mkataba ulisainiwa kimakosa so asubiri ukiisha ndio wauboreshe tena kuna kipindi yeye wanampangia kuingia studio j2 asubuhi ili aisende kanisani
Jamaa ameshangaa kutopewa share kwenye WCB wakati yeye ni mmoja wa watoa wazo na pia alihakikishiwa matokeo yake waliopata hisa ni
Mzee tyson 50
Diamond 20
Sallam 5
Fella 2
Tale 3
Harmonize 2
Paulo kupitia mke wake 15
Janson 3