Tetesi: Nyuma ya pazia Rich Mavoko kuondoka WCB

Tetesi: Nyuma ya pazia Rich Mavoko kuondoka WCB

Wee nyoko! Usituletee udini wako hapa! Huyo Mavokko wako hayawezi, muonyeshe uzaifu wake, sio kumtafutia visingizio atapotea zaidi. Akiondoka hapo ndio hata wewe utamsahau kabisaaa, maana hata pale anabebwa tu hana uwezo. Game sio rahisi kihivyo kwamba kilamtu anaweza ktoboa.
acha uwongo mavocal " hana uwezo"?? wewe jamaa mbona muongo sana
 
Kwanini mwanaume na jinsia zako za kiume unatoka hadharani kumlalamikia mwanaume mwenzako eti hajakusaidia ili ufanikiwe.
Mavoko ni msanii mzuri, kumlaumu Diamond ni uzezeta wa hali ya juu sana hivyo kama Diamond kaweza kuwasaini kina yeye kwanini na yeye asikomae amsaini Diamond ili ajipangie cha kufanya?
Alichokifata pale amekipata, kama alitarajia mteremko kwenye mafanikio ya mwanaume mwenzake basi alikosea, ukishakubali kuingia kwenye himaya ya mtu basi tarajia kuwekewa mipaka. Huyu mtu akitambua umuhimu wake basi anaweza na yeye kuanzisha kikubwa zaid ya WCB ila kama ataendelea kuamini WCB ndio kila kitu basi asubirie kampeni za CCM atawika.
kwani umemsikia wapi magical akitoa malalamiko kuwa diamond hamsaidii " tuanzie hapo kwanza
 
Mambo ya nyuma ya pazia ukiayapga chabo unaweza kupatwa na upofu....
 
Akitoa nyimbo zake nitazisikilizaaaaa

Nampenda alivyo
Kama kaona kuondoka kunamfaa bora aondoke kuliko kukaa pale na bila furaha na kuja kuishia kuugua magonjwa bure.

Ana nyota fulani ya alivyo wanawake wengi tunaipenda.. atuimbie nyimbo bomba tupo nae kama kawa.

Dee siku hizi anajijua alipo sio kama enzi za Zee. Chozi la mwanamke sio la mchezo mchezo
Wee nae
Eti chozi la zee
Hata hueleweki
 
Huu Uzi unakila sifa zakufutwa hauna la maana zaidi ya udini
 
Ukiwa chini ya lebo hivi ndivyo bosi wako anavyokufanya
37583231_1168540639954492_3745912386414968832_n.jpg
 
Niliwahi kuandika hapa uzi ukilezea kwa kina hilo suala ila wenye huu mtandao kwa sababu zao za kuamua tu wenyewe wakaifuta tena niliweka zaidi ya mara 2 anyway uhuru sasa si mkubwa tumeelewa.

Tukirudi kwenye mada, Mavoko ndani ya WCB alikuwa anapata tabu sana na suala la udini walikuwa wanamtemga sana

Ricardo alivo na roho mbaya alikuwa anamlazimsha kipindi cha mwezi mtukufu na yeye kufunga ama kutoonekana na chakula akiwa pale WCB.

Diamond alipoanza ujenzi wake wa msikiti alilazimisha na yeye aupost na siku ya kuuzindua aende.

Account za WCB wasanii karibia zote insta zina blue tick ila yeye hawakumuhangaikia kuipata kila akiuliza wanadai insta hawarespond

Ile nyimbo ya rudi Diamond aliitaka iwe yake jamaa akakaza mondi alimind sana maana huwa pia anapenda nyimbo nzuri either apewe au ashirikishwe kumbuka hata Kwangwaru alilazimisha ashirikishwe yeye sio Davido.

Rayvann anajijua kuwa anayefuata ni yeye ni jambo la wakati tu maana kuna kipindi alijaribu kuhoji kwanini hamna usawa akaambiwa kama vipi arudi tip top hata yeye kakatazwa kuoa kikirsto anaambiwa sababu mpenzi wake ni muislam basi abadirishe dini na ndio maana rayvan ameanza kujijenga nje ya WCB kaanza kujenga studio yake.

Sallam Salam kumlazimisha kuwa kwenye mapato yote Mavoko kupata 50% wakati wengine wanapata 70 nakila alipouliza anaambiwa mkataba ulisainiwa kimakosa so asubiri ukiisha ndio wauboreshe tena kuna kipindi yeye wanampangia kuingia studio j2 asubuhi ili aisende kanisani

Jamaa ameshangaa kutopewa share kwenye WCB wakati yeye ni mmoja wa watoa wazo na pia alihakikishiwa matokeo yake waliopata hisa ni
Mzee tyson 50
Diamond 20
Sallam 5
Fella 2
Tale 3
Harmonize 2
Paulo kupitia mke wake 15
Janson 3
Naamini 95% wcB wana katabia ka utapeli na ubaguzi hivi.
 
Nia ya diamond kumleta mavoko WCB ilikuwa kumshusha tu chini kimziki
Mimi mshabiki sana wa diamond,ila nakuunga mkono 100% jamaa anamtumia ili kumnyonya na kumshusha kimuziki.
 
Akitoa nyimbo zake nitazisikilizaaaaa

Nampenda alivyo
Kama kaona kuondoka kunamfaa bora aondoke kuliko kukaa pale na bila furaha na kuja kuishia kuugua magonjwa bure.

Ana nyota fulani ya alivyo wanawake wengi tunaipenda.. atuimbie nyimbo bomba tupo nae kama kawa.

Dee siku hizi anajijua alipo sio kama enzi za Zee. Chozi la mwanamke sio la mchezo mchezo
Uko sahihi mkuu
 
Niliwahi kuandika hapa uzi ukilezea kwa kina hilo suala ila wenye huu mtandao kwa sababu zao za kuamua tu wenyewe wakaifuta tena niliweka zaidi ya mara 2 anyway uhuru sasa si mkubwa tumeelewa.

Tukirudi kwenye mada, Mavoko ndani ya WCB alikuwa anapata tabu sana na suala la udini walikuwa wanamtemga sana

Ricardo alivo na roho mbaya alikuwa anamlazimsha kipindi cha mwezi mtukufu na yeye kufunga ama kutoonekana na chakula akiwa pale WCB.

Diamond alipoanza ujenzi wake wa msikiti alilazimisha na yeye aupost na siku ya kuuzindua aende.

Account za WCB wasanii karibia zote insta zina blue tick ila yeye hawakumuhangaikia kuipata kila akiuliza wanadai insta hawarespond

Ile nyimbo ya rudi Diamond aliitaka iwe yake jamaa akakaza mondi alimind sana maana huwa pia anapenda nyimbo nzuri either apewe au ashirikishwe kumbuka hata Kwangwaru alilazimisha ashirikishwe yeye sio Davido.

Rayvann anajijua kuwa anayefuata ni yeye ni jambo la wakati tu maana kuna kipindi alijaribu kuhoji kwanini hamna usawa akaambiwa kama vipi arudi tip top hata yeye kakatazwa kuoa kikirsto anaambiwa sababu mpenzi wake ni muislam basi abadirishe dini na ndio maana rayvan ameanza kujijenga nje ya WCB kaanza kujenga studio yake.

Sallam Salam kumlazimisha kuwa kwenye mapato yote Mavoko kupata 50% wakati wengine wanapata 70 nakila alipouliza anaambiwa mkataba ulisainiwa kimakosa so asubiri ukiisha ndio wauboreshe tena kuna kipindi yeye wanampangia kuingia studio j2 asubuhi ili aisende kanisani

Jamaa ameshangaa kutopewa share kwenye WCB wakati yeye ni mmoja wa watoa wazo na pia alihakikishiwa matokeo yake waliopata hisa ni
Mzee tyson 50
Diamond 20
Sallam 5
Fella 2
Tale 3
Harmonize 2
Paulo kupitia mke wake 15
Janson 3
It is just business nothing personal,na mwenyewe atoke aanzishe Kampuni yake,ndio tunavyokuwa hivyo,sidhan kama fifty cents,bado yupo kwenye Kampuni ileile iliyomtoa,amekuwa,ametoka,na yeye ametoa wengine,
Hayo ndio maendeleo,masuala ya kulalamika kwamba kuna udini,ni utoto mtupu,ubaguzi kwenye dunia yetu utakuwepo milele,
Wafaransa licha ya kushinda kombe LA dunia,lakini ukweli kwamba timu INA waafrika(weusi wengi)limewakereketa sana,furaha yao(baadhi),ingekuwa maradufu kama timu nzima ingekuwa na weupe(Anglo Saxon)watupu wenye asili ya ulaya na america,
 
Dini kivipi mzee wapi na wapi mzee unayumba huyo rich mavoko ata kanisani anakujua?muulize alienda lini
 
Back
Top Bottom