Nyuma ya Rais kuna great thinkers ambao hutawaona majukwaani, mtandaoni au kwenye runinga. Nawaza tu

Mnakumbuka makonda alivyozuiliwa kuingia jukwaa kuu kipindi cha uzindizi wa kampemi, and from there hakuwahi kukumbukwa,

Hii inaweza kuwa yeye alikuwa shabiki tu anafanya mambo kwa kuangalia upepo

Na hii ni inaweza kuashiria kuwa hakuwa sehemu ya ma mastermind na wala hakujua kama kuna magreat thinker ambao hutawaona pipote pale hadharani
 
Quality ya thinking process ya hao "mathinker" walioko nyuma ya rais ni ya hovyo mno aisee

Yaani maamuzi yanafanyika mpaka mwananchi wa kawaida unashangaa kabisa,whats this nonsense?
Huwezi kujua, pennine kushangaa kwako huko ni bora kuliko wangefanya maamuzi ambayo ungeyashangilia
 
Mtoa uzi umejitahidi kutupa uzi mzuri,ila hukulitendea haki neno "great thinkers" mimi naona ungewaita hao watu "watoa maamuzi" ,mimi ninaushahidi hao watu maamuzi yao huwa siyo ya kuumiza kichwa mpaka uwaite "great thinkers" ,mfano ni pale wanapoamua mtu fulani atekwe au apotezwe hivi suala hilo linahitaji kuwa great thinker kweli
 
hata zile pushup za meko pale jukwaani wakati akitaka kura zetu ulikuwa ni mpango kabambe ili aje apige pushups mioyoni na mifukoni mwetu..
 
Kuna wakati Bwana MUSIBA naye alikuwa great thinker.
 

You should define maana ya great thinkers? Nothing in CCM represent a thinker, leave alone great thinker, sijui simtank thinker, Hakuna! Kuna PhD za unafiki!
 
Hakuna great thinker anayejielewa atafanya kazi na serikali ya Tanzania. Sifa kubwa ya great thinker ni kuukumbatia ukweli hata kama atabaki peke yake kimtazamo. Haya labda tu yapo kwa wazungu tena wachache hapa kwetu kuna wachumia tumbo, wambea na wanafiki.
 

 
Huenda tuna watu SMART nchi hii ndio maana hamna fujo wala maandamano miaka yote

Hii inaweza kuwa ushahidi kuwa kuna ma great thinker ambao huja na plans za kutuliza mambo mabaya
Mim nadhani ni mabogus siio Ma GT hatuwezi kua maskini hivi wao kazi yao eti ni kuzuia maandamano ambayo hata mimi ukinipa makuruta haandamani mtu
 
Dahh...ile 1.5 tr kila nikiikumbuka inaniuma kama ndo ilichukuliwa jana [emoji24][emoji24][emoji24],jamaa alikuwa anakoga pesa sio kuiba[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
 
Sorry kiongozi. kwa kuwa madam ilikuwa inahusu mambo ya great thinking, basi nami nikachangia kwa kuegemea huko. Hata hakuna haja ya kupanic kiongozi, badala yake jaribu kuziendea comments kiu-great thinker tu unaweza kupata jambo
 
Rais ni mtu lakini Urais ni taasisi hivyo majukumu ya Rais yanatoka kwenye urais yaani taasisi. Je, unazani ataweza kumonitor kila kitu mtu mmoja? Jibu ni Hapana.
Bila shaka umepata majibu.
Nyongeza: sema kwa sasa mama watu smart alio nao ni akina Pascal Mayalla
 
Hivi kweli unawaita smart?
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…