Nyumba anayodai Polepole imevunjwa siyo makazi yake ya kibunge, analaghai Umma akishirikiana na aliowakuza awamu iliyopita

Nyumba anayodai Polepole imevunjwa siyo makazi yake ya kibunge, analaghai Umma akishirikiana na aliowakuza awamu iliyopita

Nyumba ya Polepole kuvunjwa haijalishi iwe ya kibunge au ya kiraia huo ni uhalifu na unatakiwa kufanyiwa kazi na jeshi la polisi bila kujali chochote.

Kusema Polepole anajikweza kisa nyumba yake haikuwa na mali nao ni ushamba tu, ingekuwa na mali nyingi naamini pia ungesema Polepole fisadi, kuwa na mali nyingi au chache ni life style ya mtu yeyote anajiamulia, sio kigezo cha uzalendo, na sio kila mwenye mali nyingi au chache ni mwizi au mtakatifu, hizi sababu nyepesi ulizo leta hapa hazina mashiko.

Kuhusu majirani sidhani kama Polepole ameajiri majirani zake wawe walinzi wake, nao wanakazi zao, una hakika wakati wa tukio hao majirani walikuwepo nyumbani? na kama walikuwepo hawakuwa na shughuli nyingine wakawa wametega macho na masikio yao kwa Polepole tu?

"Ushuani" ni tofauti na "uswahilini" ambapo kila anaeingia na kutoka huonekana, hata ukila maharage kwako majirani wote wanajua, usikariri maisha yako ukayahamishia kwa mwenzako.

Siku hizi watu wanapanda ndege wanazunguka karibia nchi nzima kwa siku moja, wewe unashangaa umbali kati ya Manyara na Dodoma ambao hata kwa gari mtu anafika? hizi mindset zenu....

Hicho kikao walichokaa Polepole na CCM wenzake ili watuondoe kwenye lengo la msingi [Katiba Mpya] kilifanyika lini na wapi? Kila siku mnalilia mikutano ya kisiasa irudishwe kwa wote, ila Polepole kutoa maoni yake apuuzwe!, hamkumbuki anayemnyima Polepole ndie anaewanyima nyie.

Sio kwasababu Polepole ni mwanasiasa mwenye mawazo tofauti na kambi yake ndio aanze kutengwa na kutafutiwa sababu za kila aina, ajibiwe hoja zake maisha yaendelee, kwasababu ni haki yake kutoa maoni na wanaoulizwa sharti wamjibu wasimtishe, kumkejeli, au vyovyote vingine.

Haiwezekani leo kutaka Polepole apuuzwe kwa kutoa hoja zake, ila nyie "wana demokrasia" mkitoa hoja zenu mtake zijibiwe, hii ni double standard, haki haina mipaka na haichagui sura, kama mnaona Polepole ana makosa nendeni mahakamani na hao wenzenu mliowaunga mkono bila kujitambua, opposition is an art.
Uko na globally connected knowledge and brain full of inclusiveness in thinking, uko vizuri sana Mwamba validity na relevance ya maudhui umeipiga mwingi.
 
Nyumba ya Polepole kuvunjwa haijalishi iwe ya kibunge au ya kiraia huo ni uhalifu na unatakiwa kufanyiwa kazi na jeshi la polisi bila kujali chochote.

Kusema Polepole anajikweza kisa nyumba yake haikuwa na mali nao ni ushamba tu, ingekuwa na mali nyingi naamini pia ungesema Polepole fisadi, kuwa na mali nyingi au chache ni life style ya mtu yeyote anajiamulia, sio kigezo cha uzalendo, na sio kila mwenye mali nyingi au chache ni mwizi au mtakatifu, hizi sababu nyepesi ulizo leta hapa hazina mashiko.

Kuhusu majirani sidhani kama Polepole ameajiri majirani zake wawe walinzi wake, nao wanakazi zao, una hakika wakati wa tukio hao majirani walikuwepo nyumbani? na kama walikuwepo hawakuwa na shughuli nyingine wakawa wametega macho na masikio yao kwa Polepole tu?

"Ushuani" ni tofauti na "uswahilini" ambapo kila anaeingia na kutoka huonekana, hata ukila maharage kwako majirani wote wanajua, usikariri maisha yako ukayahamishia kwa mwenzako.

Siku hizi watu wanapanda ndege wanazunguka karibia nchi nzima kwa siku moja, wewe unashangaa umbali kati ya Manyara na Dodoma ambao hata kwa gari mtu anafika? hizi mindset zenu....

Hicho kikao walichokaa Polepole na CCM wenzake ili watuondoe kwenye lengo la msingi [Katiba Mpya] kilifanyika lini na wapi? Kila siku mnalilia mikutano ya kisiasa irudishwe kwa wote, ila Polepole kutoa maoni yake apuuzwe!, hamkumbuki anayemnyima Polepole ndie anaewanyima nyie.

Sio kwasababu Polepole ni mwanasiasa mwenye mawazo tofauti na kambi yake ndio aanze kutengwa na kutafutiwa sababu za kila aina, ajibiwe hoja zake maisha yaendelee, kwasababu ni haki yake kutoa maoni na wanaoulizwa sharti wamjibu wasimtishe, kumkejeli, au vyovyote vingine.

Haiwezekani leo kutaka Polepole apuuzwe kwa kutoa hoja zake, ila nyie "wana demokrasia" mkitoa hoja zenu mtake zijibiwe, hii ni double standard, haki haina mipaka na haichagui sura, kama mnaona Polepole ana makosa nendeni mahakamani na hao wenzenu mliowaunga mkono bila kujitambua, opposition is an art.
Very smart, umeandika kweli unaona kuna ubongo hapa wa binadamu unao reason sawa sawa, angalau nusu ya watz wangekuwa na brain ya namna hii hili taifa lingekuwa mbali sana na labda hili taifa lisingekuwa hivi. Big up, umeandika nimekuelewa with logic.
 
Polepole anatafuta namna ya kuwafanya Wananchi wajinga, anatafuta namna ya kutumia kile chumba anachodai kimevunjwa kuonyesha Wananchi kwamba yeye ni mzalendo na hakujilimbikizia Mali, anataka kuonyesha Wananchi kwamba yeye ni fukara na mtu wa kiwango Cha chini kimaisha. Tumpuuze

Kwanini ameyafanya haya? Kwanza anataka kubadili upepo na agenda za kitaifa ikiwemo katiba Mpya na kutamka kurejea kwenye meza ya mazungumzo ndani ya CCM akionekana mwanamikakati. Hii tabia ya miaka mingi inayotumiwa na walafi wa madaraka.
Pili anataka yeye pamoja na vibaraka wake endapo mfumo utaamua kufungua shauri na kuchunguza MATENDO yake ndani ya chama na adhari zake kwenye serikali basi arudi Kwa Wananchi kupitia picha alizotuma apate uungwaji MKONO kwamba anaonewa. Mfano mzuri WA eneo analojua linaweza kumpeleka mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ni pamoja na kununua wapinzani ambapo mfano wa wazi ni kile kitendo Cha yeye kupeleka milioni 30 mahakamani kumnunua Mashinji.
Tatu, kupitia tukio hili anataka kunyamaza atuaminishe amenyamazishwa kumbe maovu yake huko nyuma yalishamnyamazisha Toka mteule wake wa awali alipoondoka.

Polepole amekuwa live kwenye shule yake sijui ya siasa na mandhari aliyokuwa anarushia matangazo ipo wazi, anamzuga Nani? Wabunge Wana nyumba Dodoma yeye alikwenda kupanga chumba Kwa kukosa Kodi au kwa sababu gani? Mbunge Hana viti Wala kitanda, hizi michezo inatuondoaje kwenye reli? Lakini pia kaongea Dar mara kesho yake anadai alikuwa Manyara na anarudi Dodoma ndo anakuta pamevunjwa je Hana majirani? Hawa watu wanapeana michongo ya kututawala Kwa kupanua magoli , tushtuke uhuni huu.
Mimi sio muumini wa namna hii ya siasa,mlipuuzia uvamizi wa Mbowe hivihivi mkasema kalewa Konyagi,tuwe tunathamini maisha ya watu.
 
hyo shule yake mbona hajafundisha kipindi akiwa ni katibu wa itikadi na uwenezi wa CCM.
Ndo maana tunamuona huyo ni mpiga kelele tu.
Mchumia tumbo lake.
Kwanini hyo shule ianze awamu hii?
Sijui unaelewaaa?
Tukijikita kwenye manufaa ya maudhui pasipo why now na why him? Look at relevance ya maudhui Au jumuisha vyote mpeni haki ya ujumbe wake na wajibu wenu wa kulinda haki yake ya maoni kisha pia toeni hoja za kumkosoa kwa rejea za nyakati za Magufuli na muulizeni maswali yoyote mnayotaka.

Guys Kwani hakuna mambo Samia anafanya tofauti na Magufuli? Mbona watanzania hamsikiki mkimnanga kama snitch Au msaliti Au kigeugeu kwa nini elimu ya Polepole inaumiza, Uongozi kuna kitu huitwa integrity we don't criticise bosses anyhow ukiwa subordinate. Believe kama ilivo kwa Samia kuna vitu Polepole hakuvikubali nyakati za Magufuli, ila kimiiko na kimaadili hakupaswa kusema. Hasa ukiwa na boss mpenda sifa na kugezwa.
 
Hata ya 5 .ndo usiseme plaiz zimetembea sana.
Viongozi wa upinzani kukaa rumande ilikuwa kawaida.
Ukipishana tu na mamlaka wewe NI adui.
Alafu Leo mtu anakuja kutufundisha "shule ya UONGOZI"
wakati yeye mwenyewe alikuwa kiongozi na akachemka.
Polepole alikuwa mwenezi wa chama. SAMIA alikuwa nani wakati hayo yanatokea?
 
Tukijikita kwenye manufaa ya maudhui pasipo why now na why him? Look at relevance ya maudhui Au jumuisha vyote mpeni haki ya ujumbe wake na wajibu wenu wa kulinda haki yake ya maoni kisha pia toeni hoja za kumkosoa kwa rejea za nyakati za Magufuli na muulizeni maswali yoyote mnayotaka.

Guys Kwani hakuna mambo Samia anafanya tofauti na Magufuli? Mbona watanzania hamsikiki mkimnanga kama snitch Au msaliti Au kigeugeu kwa nini elimu ya Polepole inaumiza, Uongozi kuna kitu huitwa integrity we don't criticise bosses anyhow ukiwa subordinate. Believe kama ilivo kwa Samia kuna vitu Polepole hakuvikubali nyakati za Magufuli, ila kimiiko na kimaadili hakupaswa kusema. Hasa ukiwa na boss mpenda sifa na kugezwa.
Hyo shule ya UONGOZI Kuna wenzie waliifanya kipindi yeye ni mmoja wa viongozi wa CCM.
UNAKUMBUKA YALIYOWAPATA?
Ila yeye alikenua meno maana hayakumuhusu.
Awamu ya 5 ulikuwa mlamba miguu ukapata cheo,leo awamu ya 6 umefungua shule ya UONGOZI Nani atamuamini?
Shida alishakosea tayari.yeye alikuwa NI mmoja wao.
 
Polepole alikuwa mwenezi wa chama. SAMIA alikuwa nani wakati hayo yanatokea?
Na ndo maana Samia anaona aibu hata kusema yeye ni rais wa awamu ya 5.yaliyotokea NI makubwa ndo maana anajitenga nayo.
"MUWE MNASOMA NYAKATI"
Samia anaelewa ile serikali ilikuwa mbovu.
Na huyu pole pole alikuwa mmoja wapo.na hakuwahi kuikosoa Wala kufungua hyo shule ya UONGOZI.
 
Lakini pia kaongea Dar mara kesho yake anadai alikuwa Manyara na anarudi Dodoma ndo anakuta pamevunjwa je Hana majirani? Hawa watu wanapeana michongo ya kututawala Kwa kupanua magoli , tushtuke uhuni huu.[emoji23]
CCM ni takataka kabisa
 
Na ndo maana Samia anaona aibu hata kusema yeye ni rais wa awamu ya 5.yaliyotokea NI makubwa ndo maana anajitenga nayo.
"MUWE MNASOMA NYAKATI"
Samia anaelewa ile serikali ilikuwa mbovu.
Na huyu pole pole alikuwa mmoja wapo.na hakuwahi kuikosoa Wala kufungua hyo shule ya UONGOZI.
Tuna shukuru dikteta mkuu alikufa
 
Na ndo maana Samia anaona aibu hata kusema yeye ni rais wa awamu ya 5.yaliyotokea NI makubwa ndo maana anajitenga nayo.
"MUWE MNASOMA NYAKATI"
Samia anaelewa ile serikali ilikuwa mbovu.
Na huyu pole pole alikuwa mmoja wapo.na hakuwahi kuikosoa Wala kufungua hyo shule ya UONGOZI.

Na ndo maana Samia anaona aibu hata kusema yeye ni rais wa awamu ya 5.yaliyotokea NI makubwa ndo maana anajitenga nayo.
"MUWE MNASOMA NYAKATI"
Samia anaelewa ile serikali ilikuwa mbovu.
Na huyu pole pole alikuwa mmoja wapo.na hakuwahi kuikosoa Wala kufungua hyo shule ya UONGOZI.
Unajua maana ya UNAFIKI? nani manafiki kati ya Polepole na SAMIA
 
Polepole anatafuta namna ya kuwafanya Wananchi wajinga, anatafuta namna ya kutumia kile chumba anachodai kimevunjwa kuonyesha Wananchi kwamba yeye ni mzalendo na hakujilimbikizia Mali, anataka kuonyesha Wananchi kwamba yeye ni fukara na mtu wa kiwango Cha chini kimaisha. Tumpuuze

Kwanini ameyafanya haya? Kwanza anataka kubadili upepo na agenda za kitaifa ikiwemo katiba Mpya na kutamka kurejea kwenye meza ya mazungumzo ndani ya CCM akionekana mwanamikakati. Hii tabia ya miaka mingi inayotumiwa na walafi wa madaraka.
Pili anataka yeye pamoja na vibaraka wake endapo mfumo utaamua kufungua shauri na kuchunguza MATENDO yake ndani ya chama na adhari zake kwenye serikali basi arudi Kwa Wananchi kupitia picha alizotuma apate uungwaji MKONO kwamba anaonewa. Mfano mzuri WA eneo analojua linaweza kumpeleka mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ni pamoja na kununua wapinzani ambapo mfano wa wazi ni kile kitendo Cha yeye kupeleka milioni 30 mahakamani kumnunua Mashinji.
Tatu, kupitia tukio hili anataka kunyamaza atuaminishe amenyamazishwa kumbe maovu yake huko nyuma yalishamnyamazisha Toka mteule wake wa awali alipoondoka.

Polepole amekuwa live kwenye shule yake sijui ya siasa na mandhari aliyokuwa anarushia matangazo ipo wazi, anamzuga Nani? Wabunge Wana nyumba Dodoma yeye alikwenda kupanga chumba Kwa kukosa Kodi au kwa sababu gani? Mbunge Hana viti Wala kitanda, hizi michezo inatuondoaje kwenye reli? Lakini pia kaongea Dar mara kesho yake anadai alikuwa Manyara na anarudi Dodoma ndo anakuta pamevunjwa je Hana majirani? Hawa watu wanapeana michongo ya kututawala Kwa kupanua magoli , tushtuke uhuni huu.
Daah! Huwezi kuwa na sura ya vile kama polepole halafu ukose makando kando
 
Polepole anatafuta namna ya kuwafanya Wananchi wajinga, anatafuta namna ya kutumia kile chumba anachodai kimevunjwa kuonyesha Wananchi kwamba yeye ni mzalendo na hakujilimbikizia Mali, anataka kuonyesha Wananchi kwamba yeye ni fukara na mtu wa kiwango Cha chini kimaisha. Tumpuuze

Kwanini ameyafanya haya? Kwanza anataka kubadili upepo na agenda za kitaifa ikiwemo katiba Mpya na kutamka kurejea kwenye meza ya mazungumzo ndani ya CCM akionekana mwanamikakati. Hii tabia ya miaka mingi inayotumiwa na walafi wa madaraka.
Pili anataka yeye pamoja na vibaraka wake endapo mfumo utaamua kufungua shauri na kuchunguza MATENDO yake ndani ya chama na adhari zake kwenye serikali basi arudi Kwa Wananchi kupitia picha alizotuma apate uungwaji MKONO kwamba anaonewa. Mfano mzuri WA eneo analojua linaweza kumpeleka mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ni pamoja na kununua wapinzani ambapo mfano wa wazi ni kile kitendo Cha yeye kupeleka milioni 30 mahakamani kumnunua Mashinji.
Tatu, kupitia tukio hili anataka kunyamaza atuaminishe amenyamazishwa kumbe maovu yake huko nyuma yalishamnyamazisha Toka mteule wake wa awali alipoondoka.

Polepole amekuwa live kwenye shule yake sijui ya siasa na mandhari aliyokuwa anarushia matangazo ipo wazi, anamzuga Nani? Wabunge Wana nyumba Dodoma yeye alikwenda kupanga chumba Kwa kukosa Kodi au kwa sababu gani? Mbunge Hana viti Wala kitanda, hizi michezo inatuondoaje kwenye reli? Lakini pia kaongea Dar mara kesho yake anadai alikuwa Manyara na anarudi Dodoma ndo anakuta pamevunjwa je Hana majirani? Hawa watu wanapeana michongo ya kututawala Kwa kupanua magoli , tushtuke uhuni huu.
Kwa hiyo wewe unapingana na polisi?. Unafanya siasa za kihuni sana.

 
Nyumba ya Polepole kuvunjwa haijalishi iwe ya kibunge au ya kiraia huo ni uhalifu na unatakiwa kufanyiwa kazi na jeshi la polisi bila kujali chochote.

Kusema Polepole anajikweza kisa nyumba yake haikuwa na mali nao ni ushamba tu, ingekuwa na mali nyingi naamini pia ungesema Polepole fisadi, kuwa na mali nyingi au chache ni life style ya mtu yeyote anajiamulia, sio kigezo cha uzalendo, na sio kila mwenye mali nyingi au chache ni mwizi au mtakatifu, hizi sababu nyepesi ulizo leta hapa hazina mashiko.

Kuhusu majirani sidhani kama Polepole ameajiri majirani zake wawe walinzi wake, nao wanakazi zao, una hakika wakati wa tukio hao majirani walikuwepo nyumbani? na kama walikuwepo hawakuwa na shughuli nyingine wakawa wametega macho na masikio yao kwa Polepole tu?

"Ushuani" ni tofauti na "uswahilini" ambapo kila anaeingia na kutoka huonekana, hata ukila maharage kwako majirani wote wanajua, usikariri maisha yako ukayahamishia kwa mwenzako.

Siku hizi watu wanapanda ndege wanazunguka karibia nchi nzima kwa siku moja, wewe unashangaa umbali kati ya Manyara na Dodoma ambao hata kwa gari mtu anafika? hizi mindset zenu....

Hicho kikao walichokaa Polepole na CCM wenzake ili watuondoe kwenye lengo la msingi [Katiba Mpya] kilifanyika lini na wapi? Kila siku mnalilia mikutano ya kisiasa irudishwe kwa wote, ila Polepole kutoa maoni yake apuuzwe!, hamkumbuki anayemnyima Polepole ndie anaewanyima nyie.

Sio kwasababu Polepole ni mwanasiasa mwenye mawazo tofauti na kambi yake ndio aanze kutengwa na kutafutiwa sababu za kila aina, ajibiwe hoja zake maisha yaendelee, kwasababu ni haki yake kutoa maoni na wanaoulizwa sharti wamjibu wasimtishe, kumkejeli, au vyovyote vingine.

Haiwezekani leo kutaka Polepole apuuzwe kwa kutoa hoja zake, ila nyie "wana demokrasia" mkitoa hoja zenu mtake zijibiwe, hii ni double standard, haki haina mipaka na haichagui sura, kama mnaona Polepole ana makosa nendeni mahakamani na hao wenzenu mliowaunga mkono bila kujitambua, opposition is an art.
Hii ndio JF sasa ninayoijua mimi.
 
  • Thanks
Reactions: RMC
Nyumba ya Polepole kuvunjwa haijalishi iwe ya kibunge au ya kiraia huo ni uhalifu na unatakiwa kufanyiwa kazi na jeshi la polisi bila kujali chochote.

Kusema Polepole anajikweza kisa nyumba yake haikuwa na mali nao ni ushamba tu, ingekuwa na mali nyingi naamini pia ungesema Polepole fisadi, kuwa na mali nyingi au chache ni life style ya mtu yeyote anajiamulia, sio kigezo cha uzalendo, na sio kila mwenye mali nyingi au chache ni mwizi au mtakatifu, hizi sababu nyepesi ulizo leta hapa hazina mashiko.

Kuhusu majirani sidhani kama Polepole ameajiri majirani zake wawe walinzi wake, nao wanakazi zao, una hakika wakati wa tukio hao majirani walikuwepo nyumbani? na kama walikuwepo hawakuwa na shughuli nyingine wakawa wametega macho na masikio yao kwa Polepole tu?

"Ushuani" ni tofauti na "uswahilini" ambapo kila anaeingia na kutoka huonekana, hata ukila maharage kwako majirani wote wanajua, usikariri maisha yako ukayahamishia kwa mwenzako.

Siku hizi watu wanapanda ndege wanazunguka karibia nchi nzima kwa siku moja, wewe unashangaa umbali kati ya Manyara na Dodoma ambao hata kwa gari mtu anafika? hizi mindset zenu....

Hicho kikao walichokaa Polepole na CCM wenzake ili watuondoe kwenye lengo la msingi [Katiba Mpya] kilifanyika lini na wapi? Kila siku mnalilia mikutano ya kisiasa irudishwe kwa wote, ila Polepole kutoa maoni yake apuuzwe!, hamkumbuki anayemnyima Polepole ndie anaewanyima nyie.

Sio kwasababu Polepole ni mwanasiasa mwenye mawazo tofauti na kambi yake ndio aanze kutengwa na kutafutiwa sababu za kila aina, ajibiwe hoja zake maisha yaendelee, kwasababu ni haki yake kutoa maoni na wanaoulizwa sharti wamjibu wasimtishe, kumkejeli, au vyovyote vingine.

Haiwezekani leo kutaka Polepole apuuzwe kwa kutoa hoja zake, ila nyie "wana demokrasia" mkitoa hoja zenu mtake zijibiwe, hii ni double standard, haki haina mipaka na haichagui sura, kama mnaona Polepole ana makosa nendeni mahakamani na hao wenzenu mliowaunga mkono bila kujitambua, opposition is an art.
Umewajibu vizuri sana hao wanafiki. Kwa sabsbu walimchukia JPM basi yeyote aliyekuwa anaonekana kuwa mfuasi mwaminifu wa JPM basi naye ni adui yao.

Polepole ana haki zote kama walizo nazo wao.

Eti mtu anadai Poleoole anaweza kushtakiwa kwa kumnunua mahakamani Mashinji kwa milioni 30! Aende basi akafungue hiyo kesi wanafikiri mahakama inaendeshwa kwa mihemuko.
 
Nyumba ya Polepole kuvunjwa haijalishi iwe ya kibunge au ya kiraia huo ni uhalifu na unatakiwa kufanyiwa kazi na jeshi la polisi bila kujali chochote.

Kusema Polepole anajikweza kisa nyumba yake haikuwa na mali nao ni ushamba tu, ingekuwa na mali nyingi naamini pia ungesema Polepole fisadi, kuwa na mali nyingi au chache ni life style ya mtu yeyote anajiamulia, sio kigezo cha uzalendo, na sio kila mwenye mali nyingi au chache ni mwizi au mtakatifu, hizi sababu nyepesi ulizo leta hapa hazina mashiko.

Kuhusu majirani sidhani kama Polepole ameajiri majirani zake wawe walinzi wake, nao wanakazi zao, una hakika wakati wa tukio hao majirani walikuwepo nyumbani? na kama walikuwepo hawakuwa na shughuli nyingine wakawa wametega macho na masikio yao kwa Polepole tu?

"Ushuani" ni tofauti na "uswahilini" ambapo kila anaeingia na kutoka huonekana, hata ukila maharage kwako majirani wote wanajua, usikariri maisha yako ukayahamishia kwa mwenzako.

Siku hizi watu wanapanda ndege wanazunguka karibia nchi nzima kwa siku moja, wewe unashangaa umbali kati ya Manyara na Dodoma ambao hata kwa gari mtu anafika? hizi mindset zenu....

Hicho kikao walichokaa Polepole na CCM wenzake ili watuondoe kwenye lengo la msingi [Katiba Mpya] kilifanyika lini na wapi? Kila siku mnalilia mikutano ya kisiasa irudishwe kwa wote, ila Polepole kutoa maoni yake apuuzwe!, hamkumbuki anayemnyima Polepole ndie anaewanyima nyie.

Sio kwasababu Polepole ni mwanasiasa mwenye mawazo tofauti na kambi yake ndio aanze kutengwa na kutafutiwa sababu za kila aina, ajibiwe hoja zake maisha yaendelee, kwasababu ni haki yake kutoa maoni na wanaoulizwa sharti wamjibu wasimtishe, kumkejeli, au vyovyote vingine.

Haiwezekani leo kutaka Polepole apuuzwe kwa kutoa hoja zake, ila nyie "wana demokrasia" mkitoa hoja zenu mtake zijibiwe, hii ni double standard, haki haina mipaka na haichagui sura, kama mnaona Polepole ana makosa nendeni mahakamani na hao wenzenu mliowaunga mkono bila kujitambua, opposition is an art.
Umemaliza kila kitu.

Kumbe Dodoma Kuna nyumba special za wabunge na hawatakiwi kupanga sehemu nyingine? ndo nasikia.
 
Polepole anatafuta namna ya kuwafanya Wananchi wajinga, anatafuta namna ya kutumia kile chumba anachodai kimevunjwa kuonyesha Wananchi kwamba yeye ni mzalendo na hakujilimbikizia Mali, anataka kuonyesha Wananchi kwamba yeye ni fukara na mtu wa kiwango Cha chini kimaisha. Tumpuuze

Kwanini ameyafanya haya? Kwanza anataka kubadili upepo na agenda za kitaifa ikiwemo katiba Mpya na kutamka kurejea kwenye meza ya mazungumzo ndani ya CCM akionekana mwanamikakati. Hii tabia ya miaka mingi inayotumiwa na walafi wa madaraka.
Pili anataka yeye pamoja na vibaraka wake endapo mfumo utaamua kufungua shauri na kuchunguza MATENDO yake ndani ya chama na adhari zake kwenye serikali basi arudi Kwa Wananchi kupitia picha alizotuma apate uungwaji MKONO kwamba anaonewa. Mfano mzuri WA eneo analojua linaweza kumpeleka mahakamani kwa makosa ya Uhujumu uchumi ni pamoja na kununua wapinzani ambapo mfano wa wazi ni kile kitendo Cha yeye kupeleka milioni 30 mahakamani kumnunua Mashinji.
Tatu, kupitia tukio hili anataka kunyamaza atuaminishe amenyamazishwa kumbe maovu yake huko nyuma yalishamnyamazisha Toka mteule wake wa awali alipoondoka.

Polepole amekuwa live kwenye shule yake sijui ya siasa na mandhari aliyokuwa anarushia matangazo ipo wazi, anamzuga Nani? Wabunge Wana nyumba Dodoma yeye alikwenda kupanga chumba Kwa kukosa Kodi au kwa sababu gani? Mbunge Hana viti Wala kitanda, hizi michezo inatuondoaje kwenye reli? Lakini pia kaongea Dar mara kesho yake anadai alikuwa Manyara na anarudi Dodoma ndo anakuta pamevunjwa je Hana majirani? Hawa watu wanapeana michongo ya kututawala Kwa kupanua magoli , tushtuke uhuni huu.
Ni kwamba aliwatuma wale wavunjaji feki ili aonewe huruma, akajifanya hayupo ili ionekane kuna shida imetokea, yeye akiwa hayupo. Asitafute huruma huyo mchuuzi, mtesaji, mtekaji na muuaji.
 
Can you provide vivid and non-repudiation evidences to subsistence your claims against polepole?
Are you a newcomer in Tanzania? Were you following Polepole beliefs and philosophy during constitutional assembly in 2014/15?

Didn't you witness his wrong deeds during Magufuli era in 2015-20 when he officiated as CCM head of propaganda?
 
Back
Top Bottom