Nyumba dogos!....:are they necessary evils?

understood!nipe source ya info zako!TOO THEORETICAL!umekula SENKSI ANYWAYS
SOURCE? iTS FROM me, myself and I!
Hakuna theory hapo... ni tested wisdom from life experience.Kua utayaona kama bado hujayaona ukajua kuwa ni application ya maisha na siyo theory.
 

Kwenye hiyo blue ndugu,wenye nyumba ndogo wanatakiwa kulielewa hili.In a statement NEWTON akasema,"TO EVERY ACTION THERE IS AN EQUAL AND OPPOSITE REACTION"
 
SOURCE? iTS FROM me, myself and I!
Hakuna theory hapo... ni tested wisdom from life experience.Kua utayaona kama bado hujayaona ukajua kuwa ni application ya maisha na siyo theory.
haya!nitakua na kuyaona mamaangu!
one last request,nipe msimamo wako kuhusu hili:ARE THEY HERE TO STAY?(nategemea utasema YES!experience inakuhukumu)
 
ukishadhani mkeo hakuridhihi, basi jua hata yeye humfikishi, then THINK BIG!

He! He! Carmel? Hahaha! Huu mjadala umethibitisha jambo moja. Wanaume wote isipokuwa nguli wanaunga mnkono nyumba ndogo to stay. Wanawake wote wanapinga! Mnataka kujua nini zaidi ya hapo? Stukeni jamani. Wanaume hawataacha nyumba ndogo! Thats there to STAY. Hapa najua ntapata senksi za wanaume tu! Isipokuwa nguli...
 
inafika mahala mwanamke anavua ch...i KWA KUTIMIZA WAJIBU TU!hakuna anachokifanya zaidi ya kutimiza wajibu!kidume akishaona huo upuuzi,basi anaanza kushinda baa,mara mabaa medi mara nyumba ndogo!



hakunaga sababu ya kwenda kwa nyumba ndogo jamani, kama leo nimefanya sio kwamba nitafanya kesho na keshokutwa, na ukumbuke kuna uchovu pia sasa kama nimechoka na wewe unataka nikikataa utasema umenyimwa unyumba nikifanya unasema wajibu, lipi jema.
 
Ha ha ha ha!mpwa mpwaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
haya!nitakua na kuyaona mamaangu!
one last request,nipe msimamo wako kuhusu hili:ARE THEY HERE TO STAY?(nategemea utasema YES!experience inakuhukumu)

Obviously hii pamoja na uozo mwingine wowote - iwe ni wizi, ujambazi, ufisadi etc vitabakia tu as long as weakedness ya binadamu haitafutika!
It will come to pass when this world comes to pass.
 

na wewe ni mwanaume, so ukioa utafanya hayo just bcoz they are ther to stay?
 

Kuu ikimbulishwa haiitwi nyumba ndogo anakuwa mke mdogo hivyo utatakiwa kutafuta nyumba nyingine ili mambo yaende sawa.
 
hakunaga sababu ya kwenda kwa nyumba ndogo jamani, kama leo nimefanya sio kwamba nitafanya kesho na keshokutwa, na ukumbuke kuna uchovu pia sasa kama nimechoka na wewe unataka nikikataa utasema umenyimwa unyumba nikifanya unasema wajibu, lipi jema.

Ahaa! Sasa kama umechoka na mwenzio anataka, huoni kuna kila sababu ya mwenzio kukutafutia msaidizi ili asikuchoshe zaidi?
 
hakunaga sababu ya kwenda kwa nyumba ndogo jamani, kama leo nimefanya sio kwamba nitafanya kesho na keshokutwa, na ukumbuke kuna uchovu pia sasa kama nimechoka na wewe unataka nikikataa utasema umenyimwa unyumba nikifanya unasema wajibu, lipi jema.
mwanamke akininyima unyumba ni sawa na kunipa tiketi ya kuongeza NYUMBA NDOGO,naitafutia plot bagamoyo na ujenzi utaanza MARA MOJA
 
UMESHASEMA NI NECESSARY EVIL.... it goes without saying that it is evil...EVIL alongside other vices/evils like murder, theft, corruption, ... sasa mnafagilia nini? hivi ni sifa kujifagilia kuwa mnashiriki kwenye uozo? Kama unafanya basi ni wewe na Mungu wako mnayejua kwanini umefanya.Haihitaji kutafuta washirika au supporters.
 
na wewe ni mwanaume, so ukioa utafanya hayo just bcoz they are ther to stay?

Ufafanuzi kidogo. Nimeshaoa, a very successiful marriage. Of course kanyumba kadogo hakajawahi kustukiwa kwa sababu niko makini sana. Hapo ni nje ya vibaamed ambavyo najituliza pale inapotokea dharura.
 
Well!
it sounds like UMESHAUMIZWA!nakusaidia kujibu kwa namna ninavyoona uandishi wako.............THEY ARE HERE TO STAY!
 

At last: BINGOOOOO! There to stay! Hahaha! Nimekugongea SENKSI vera city. Nenda kathibitishe
 

Da!

Ha ha ha ha!mpwa mpwaaaaaaaaaaaaaaaaaa

“Sometimes I'm confused by what I think is really obvious. But what I think is really obvious obviously isn't obvious...”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…