WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 963
SOURCE? iTS FROM me, myself and I!understood!nipe source ya info zako!TOO THEORETICAL!umekula SENKSI ANYWAYS
Kama wanawake wanapenda sana quarrels ndio maana mnaenda nyumba ndogo, hizo nyumba ndogo siyo wanawake?
Kama ni wanawake, je kuna kozi maalum ya kusomea kuwa nyumba ndogo - in other words is NN a profession, kama ndio basi mjue mnaibiwa tu.Its a matter of time jamani.
Nitamalizia hivi, binadamu kwa hulka aliyoumbwa nayo, anayo tabia ya kupenda mabadiliko. Na hii ni kwa wote wanawake na wanaume.Tofauti iko kwenye mifumo ya maisha,mila, desturi na imani za kidini zenye kutuwekea mipaka.Mipaka hii inafanya watu wawe na kiasi, wajizuie kufanya mambo fulani kwa kuogopa Mungu, jamii, serikali n.k.
Hii mipaka isingekuwepo, basi si ajabu hakuna mwanaume wala mwanamke angebakia na ndoa yake kwa vile kungekuwepo na alternatives za kukimbia kero na kutafuta furaha na faraja.
Inashangaza kuona ati akina kaka walio wengi wanadhani wao wanayo haki kukiuka mipaka lakini wanaamini kabisa kuwa wanawake wao hawapaswi kukiuka. Wanasahau hakuna binadamu mwenye roho y achuma na mwingine ya sufi. Kumbuka usitende usichopenda kutendewa na hii ndio golden rule.Ukijua kuwa kitu fulani kinakuumiza wewe ujue ukimfanyia mwenzio naye utamuumiza. Je ni sawa?
haya!nitakua na kuyaona mamaangu!SOURCE? iTS FROM me, myself and I!
Hakuna theory hapo... ni tested wisdom from life experience.Kua utayaona kama bado hujayaona ukajua kuwa ni application ya maisha na siyo theory.
ukishadhani mkeo hakuridhihi, basi jua hata yeye humfikishi, then THINK BIG!
inafika mahala mwanamke anavua ch...i KWA KUTIMIZA WAJIBU TU!hakuna anachokifanya zaidi ya kutimiza wajibu!kidume akishaona huo upuuzi,basi anaanza kushinda baa,mara mabaa medi mara nyumba ndogo!
Ha ha ha ha!mpwa mpwaaaaaaaaaaaaaaaaaaHe! He! Carmel? Hahaha! Huu mjadala umethibitisha jambo moja. Wanaume wote isipokuwa nguli wanaunga mnkono nyumba ndogo to stay. Wanawake wote wanapinga! Mnataka kujua nini zaidi ya hapo? Stukeni jamani. Wanaume hawataacha nyumba ndogo! Thats there to STAY. Hapa najua ntapata senksi za wanaume tu! Isipokuwa nguli...
haya!nitakua na kuyaona mamaangu!
one last request,nipe msimamo wako kuhusu hili:ARE THEY HERE TO STAY?(nategemea utasema YES!experience inakuhukumu)
He! He! Carmel? Hahaha! Huu mjadala umethibitisha jambo moja. Wanaume wote isipokuwa nguli wanaunga mnkono nyumba ndogo to stay. Wanawake wote wanapinga! Mnataka kujua nini zaidi ya hapo? Stukeni jamani. Wanaume hawataacha nyumba ndogo! Thats there to STAY. Hapa najua ntapata senksi za wanaume tu! Isipokuwa nguli...
Mpwa mi nimegonga senks kisha nikairemove! they are not here to stay...we make them stay mpwa! stuka!
tehe tehe mi nashauri ili kupunguza misuguano ziwe official kabisa, yaani mwenye ubavu amtambulishe kwa mamsapu kuwa huyu ndo anakusaidia kisha tuone kama zitaendeela kuwa na the same 'effect'.
FL1...noted with thanks!
hakunaga sababu ya kwenda kwa nyumba ndogo jamani, kama leo nimefanya sio kwamba nitafanya kesho na keshokutwa, na ukumbuke kuna uchovu pia sasa kama nimechoka na wewe unataka nikikataa utasema umenyimwa unyumba nikifanya unasema wajibu, lipi jema.
mwanamke akininyima unyumba ni sawa na kunipa tiketi ya kuongeza NYUMBA NDOGO,naitafutia plot bagamoyo na ujenzi utaanza MARA MOJAhakunaga sababu ya kwenda kwa nyumba ndogo jamani, kama leo nimefanya sio kwamba nitafanya kesho na keshokutwa, na ukumbuke kuna uchovu pia sasa kama nimechoka na wewe unataka nikikataa utasema umenyimwa unyumba nikifanya unasema wajibu, lipi jema.
na wewe ni mwanaume, so ukioa utafanya hayo just bcoz they are ther to stay?
Well!UMESHASEMA NI NECESSARY EVIL.... it goes without saying that it is evil...EVIL alongside other vices/evils like murder, theft, corruption, ... sasa mnafagilia nini? hivi ni sifa kujifagilia kuwa mnashiriki kwenye uozo? Kama unafanya basi ni wewe na Mungu wako mnayejua kwanini umefanya.Haihitaji kutafuta washirika au supporters.
who cares!mwanamke akininyima unyumba ni sawa na kunipa tiketi ya kuongeza NYUMBA NDOGO,naitafutia plot bagamoyo na ujenzi utaanza MARA MOJA
UMESHASEMA NI NECESSARY EVIL.... it goes without saying that it is evil...EVIL alongside other vices/evils like murder, theft, corruption, ... sasa mnafagilia nini? hivi ni sifa kujifagilia kuwa mnashiriki kwenye uozo? Kama unafanya basi ni wewe na Mungu wako mnayejua kwanini umefanya.Haihitaji kutafuta washirika au supporters.
He! He! Carmel? Hahaha! Huu mjadala umethibitisha jambo moja. Wanaume wote isipokuwa nguli wanaunga mnkono nyumba ndogo to stay. Wanawake wote wanapinga! Mnataka kujua nini zaidi ya hapo? Stukeni jamani. Wanaume hawataacha nyumba ndogo! Thats there to STAY. Hapa najua ntapata senksi za wanaume tu! Isipokuwa nguli...
Ha ha ha ha!mpwa mpwaaaaaaaaaaaaaaaaaa
who cares!