Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
.............well!
it sounds like YES to my mind!NYUMBA NDOGOOZ ARE HERE TO STAY!karibu kila mwanaume mwenye ndoa yake lazima awe na ''kazi-ya-nje''.
hata kama ni vipi,au hana ATAHAHA KUITAFUTA!WENGINE NINAWAFAHAMU WANAHAHA KUZITAFUTA!hahahahaha.hapa sijui kama kuna kidume hatagonga senksi!
kuna kisura mmoja baada ya kumpa penzi mumewe asubuhi ya last weekend alimtext ''DIA NAOMBA LEO USIENDE KWA MWANAMKE MWINGINE,KUMBUKA NIMEKUPA PENZI ALFAJIRI''!kwa sisi wataalamu wa hisabati tunathubutu kusema kwamba hata wake zetu wamekubali mapigo kwamba NYUMBA NDOGOOZ ARE HERE TO STAY!
tujadili...........
it sounds like YES to my mind!NYUMBA NDOGOOZ ARE HERE TO STAY!karibu kila mwanaume mwenye ndoa yake lazima awe na ''kazi-ya-nje''.
hata kama ni vipi,au hana ATAHAHA KUITAFUTA!WENGINE NINAWAFAHAMU WANAHAHA KUZITAFUTA!hahahahaha.hapa sijui kama kuna kidume hatagonga senksi!
kuna kisura mmoja baada ya kumpa penzi mumewe asubuhi ya last weekend alimtext ''DIA NAOMBA LEO USIENDE KWA MWANAMKE MWINGINE,KUMBUKA NIMEKUPA PENZI ALFAJIRI''!kwa sisi wataalamu wa hisabati tunathubutu kusema kwamba hata wake zetu wamekubali mapigo kwamba NYUMBA NDOGOOZ ARE HERE TO STAY!
tujadili...........