House4Sale Nyumba inauzwa Kibaha

House4Sale Nyumba inauzwa Kibaha

Wazee mwendokasi inafika Kibaha stendi mpya. Changamkieni huu mjengo.
Binafsi nakaa maeneo ya Visiga. Kuna amani Sana hasa siku za weekend, maji ya kumwaga, umeme haukatiki kwasababu huku Kuna viwanda, hakuna kelele za bar Wala vyangudoa.
Najivunia kuishi Visiga japo ofisi iko Morocco.
Hakika mkuu,hewa nzuri,hakuna fujo nyingi,pametulia,ukiwa na muda siku ,tutafune mkuu
 
Wazee mwendokasi inafika Kibaha stendi mpya. Changamkieni huu mjengo.
Binafsi nakaa maeneo ya Visiga. Kuna amani Sana hasa siku za weekend, maji ya kumwaga, umeme haukatiki kwasababu huku Kuna viwanda, hakuna kelele za bar Wala vyangudoa.
Najivunia kuishi Visiga japo ofisi iko Morocco.
Sasa hakuna bar, hakuna vyangu doa, wengine bila sehemu za shamra shamra huwa shida kweli, duh.
 
Sasa hakuna bar, hakuna vyangu doa, wengine bila sehemu za shamra shamra huwa shida kweli, duh.
Sikatai.
Kuna watu ukiwatoa Kigogo, Mburahati, Vingunguti na kwa mnyamani hakika hawakuelewi. Ila Kama unataka ulee wanao kwa maadili mema, njoo Kibaha.
Kule O'bay na Masaki mitoto Ni nyoronyoro haijui hata kupanda daladala.
Mwisho kabisa.
Ukitaka kununua nyumba, hiki kipindi Cha mvua ndio kipindi muafaka.
Kiabgazi unaweza kuuziwa nyumba kumbe sehemu yenyewe inajaa maji au paa linavuja.
 
Sikatai.
Kuna watu ukiwatoa Kigogo, Mburahati, Vingunguti na kwa mnyamani hakika hawakuelewi. Ila Kama unataka ulee wanao kwa maadili mema, njoo Kibaha.
Kule O'bay na Masaki mitoto Ni nyoronyoro haijui hata kupanda daladala.
Mwisho kabisa.
Ukitaka kununua nyumba, hiki kipindi Cha mvua ndio kipindi muafaka.
Kiabgazi unaweza kuuziwa nyumba kumbe sehemu yenyewe inajaa maji au paa linavuja.
Sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom