kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,094
- 3,108
unamaanisha bado ipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unamaanisha bado ipo?
Ndio mkuu,ipounamaanisha bado ipo?
DuhKila la heri ndugu yangu, miaka 10 ilihopita niliuza nyumba yangu kwa 25m.
Kiwanja cha hiyo Nyumba kilikuwa 20m cash nilinunua, na nyumba ilikuwa lenter, zipo 2.
Thamani yake halisi ilikuwa 40m, bila masihara, ulikuwa wakati mgumu sana kwangu.
Kila nikiona Nyumba inauzwa inanikumbusha kwamba kuna nyakati kwenye maisha zilikuwa ngumu.
Designer wa ndani tu ndio amekuangusha ila ni bonge la jumba wacha nije tuyajenge aiseeIpo kibaha visiga,nyumba ya kisasa,
Vyumba viwili,kimoja master,sebule ,dinning,jiko,
Uwanja mkubwa squire meter 800
Ina fensi ya kisasa.
Umeme na maji vipo,
Umbali km moja kutoka morogoro road,
Bei milioni 35.negotiable
Karibu sana mkuuDesigner wa ndani tu ndio amekuangusha ila ni bonge la jumba wacha nije tuyajenge aisee
Mkuu ni mikopo au?Kila la heri ndugu yangu, miaka 10 ilihopita niliuza nyumba yangu kwa 25m.
Kiwanja cha hiyo Nyumba kilikuwa 20m cash nilinunua, na nyumba ilikuwa lenter, zipo 2.
Thamani yake halisi ilikuwa 40m, bila masihara, ulikuwa wakati mgumu sana kwangu.
Kila nikiona Nyumba inauzwa inanikumbusha kwamba kuna nyakati kwenye maisha zilikuwa ngumu.
Daah mimi kuishi mile moja naona mbali kwenda Morocco kumbe wewe unatokea Visiga mkuuWazee mwendokasi inafika Kibaha stendi mpya. Changamkieni huu mjengo.
Binafsi nakaa maeneo ya Visiga. Kuna amani Sana hasa siku za weekend, maji ya kumwaga, umeme haukatiki kwasababu huku Kuna viwanda, hakuna kelele za bar Wala vyangudoa.
Najivunia kuishi Visiga japo ofisi iko Morocco.
Sawa mkuuMkuu naomba mawasiliano yako kama bado ipo.
Sio wanaume tu matatizo hayana Jinsia ila wakat mwingine unaweza ukauza sehem kwa matatizo ila km n mpambanaji utapata zaid ya ulichokipoteza kipind kile cha babu wa loriondo jiran yetu aliizaga nyumba yake akaenda na mkewe akiwa na tumain angepona alivyorud alipanga kwa waliokua wapangaji wake kabla hawajafanikiwa kujenga kwa sasahiv kajenga tena nyumba kubwa zaid ya ile ya mwanzo na eneo n kubwa na usafiri anao hua inanifundisha some time matatizo hua yanaambatana na Neema ndan yke maana kabla hajayumba alikua muuza vyombo baada ya mambo kuyumba akajiripua mgodin na huko ndo alikokuja kufanikiwa zaidi ya mwanzo.Duh
Nimesimama nilichokua nafanya,nikapumua,then nikawaza haya maisha kwa mapana yake
Wanaume tunapitia moto wa ajabu maisha yetu yote
Wanaume tunapumzika tukiwa tumekufa tu
This is so deep...thanks for sharing!