Cetshwayo Kampande
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,295
- 2,973
- Thread starter
- #61
Ongeza kidogo mkuu,nakuja pm tuzungumze28mil vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongeza kidogo mkuu,nakuja pm tuzungumze28mil vipi?
Tayari mkuuNimekucheck pm ila kimya
Kila la heri ndugu yangu, miaka 10 ilihopita niliuza nyumba yangu kwa 25m.
Kiwanja cha hiyo Nyumba kilikuwa 20m cash nilinunua, na nyumba ilikuwa lenter, zipo 2.
Thamani yake halisi ilikuwa 40m, bila masihara, ulikuwa wakati mgumu sana kwangu.
Kila nikiona Nyumba inauzwa inanikumbusha kwamba kuna nyakati kwenye maisha zilikuwa ngumu.
Pole sana mkuu
Duh we jamaa nilijua utani bwana bonge la fursa.
Kabisa mkuuDuh we jamaa nilijua utani bwana bonge la fursa.
[emoji23][emoji23]usije ukawa wew ndiye MZEE KESHO YETU
usije ukawa wew ndiye MZEE KESHO YETU
Hapana mkuu24M mfuko wa shati
Mzee KYusije ukawa wew ndiye MZEE KESHO YETU
Nyumba nzuri,eneo kubwa na bei ni more than reasonable
Ndio mkuuNyumba nzuri,eneo kubwa na bei ni more than reasonable
Kama vile Kwa mbali nimeona vyupi au sioni vizuri?
Macho yako mkuuKama vile Kwa mbali nimeona vyupi au sioni vizuri?
Na bei pia iko poa,ila isije kuwa zile nyumba zenye mauza uza.Nyumba nzuri,eneo kubwa na bei ni more than reasonable
Sawa sawaNa bei pia iko poa,ila isije kuwa zile nyumba zenye mauza uza.