House4Sale Nyumba inauzwa Kibaha

House4Sale Nyumba inauzwa Kibaha

Kila la heri ndugu yangu, miaka 10 ilihopita niliuza nyumba yangu kwa 25m.

Kiwanja cha hiyo Nyumba kilikuwa 20m cash nilinunua, na nyumba ilikuwa lenter, zipo 2.

Thamani yake halisi ilikuwa 40m, bila masihara, ulikuwa wakati mgumu sana kwangu.

Kila nikiona Nyumba inauzwa inanikumbusha kwamba kuna nyakati kwenye maisha zilikuwa ngumu.

Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom