House4Sale Nyumba inauzwa Kibaha

Hakika mkuu,hewa nzuri,hakuna fujo nyingi,pametulia,ukiwa na muda siku ,tutafune mkuu
 
Sasa hakuna bar, hakuna vyangu doa, wengine bila sehemu za shamra shamra huwa shida kweli, duh.
 
Sasa hakuna bar, hakuna vyangu doa, wengine bila sehemu za shamra shamra huwa shida kweli, duh.
Sikatai.
Kuna watu ukiwatoa Kigogo, Mburahati, Vingunguti na kwa mnyamani hakika hawakuelewi. Ila Kama unataka ulee wanao kwa maadili mema, njoo Kibaha.
Kule O'bay na Masaki mitoto Ni nyoronyoro haijui hata kupanda daladala.
Mwisho kabisa.
Ukitaka kununua nyumba, hiki kipindi Cha mvua ndio kipindi muafaka.
Kiabgazi unaweza kuuziwa nyumba kumbe sehemu yenyewe inajaa maji au paa linavuja.
 
Sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…