Nyumba mpya ya Ally Kiba yadaiwa kufunika ya Diamond

Nyumba mpya ya Ally Kiba yadaiwa kufunika ya Diamond

Ms.Lincoln embu njoo tu hapa manake mimi hata sijui niseme nini tena, nimesema team kiba mnamatatizo ukanipandishia povu, huyu aliyetuita mbwa hapa LIKES kwa sana, teeena wale wote vinara wa kujiita wastaarabu kutwa kuchwa kuninyooshea vidole mtoto wa mwenzenu wewe paula wewe unaroho mbaya sana, zenu ndio nzurii kwa kusupport matusi kama hayaaaaa????? hahahahahahaaaaaaaa embu mnipisheeeee mie!!! kujitambua na kwenyewe ni shdraaaaaaa!!!!

Mi nakushangaa sana.Ukiona mtu katukana deal naye yeye wacha kupandwa mizuka na mashetani! Kama hujamzoea warumi basi pole.
 
Last edited by a moderator:
Mi nakushangaa sana.Ukiona mtu katukana deal naye yeye wacha kupandwa mizuka na mashetani! Kama hujamzoea warumi basi pole.

Jamani hawajanizoea, wanisamehe bure, mimi ni mtu mzuri tu nawapenda wote, this is just a game, we have fun, jokes na ivo
 
Last edited by a moderator:
Mi nakushangaa sana.Ukiona mtu katukana deal naye yeye wacha kupandwa mizuka na mashetani! Kama hujamzoea warumi basi pole.

mimi warumi walaaaaa hajanikera, kachangia kishabiki wala hajanitukana mimi kama paula, na nikisema nimjibu nitamjibu kishabiki vilele siwezi mjibu yeye kama warumi. upo?? and let me put this very clear for whoever think she/he can pick a fight with me as paula, hapa jf s/he rather serve his/her energy. hapa nipo kiteam mimi ni team diamond nampenda diamond kufaaaaaaa, team kiba mkimponda diamond team diamond tutamponda kiba, team kiba mkituponda sisi team diamond, and the vice versa will just be very true. kwani sh. ngapi????
 
Last edited by a moderator:
Mama ukiendeleza huo mtazamo wa hisia kali sijui chuki, husda sijui dharau kwa mambo ya ushabiki ambayo hata huyo msanii hakujui utakonda kabisa.
Huwa unachukuli mambo ya ushabiki too personal.Nakusihi ubadilike.

nyie ndio mnayoyaendekeza, ningekuwa siwaoni team kiba mnazojaza comments za chuki dhidi ya diamond ningejipeleka mirembe mwenyeweeeeee. kumbe nyie mlitakaje labda, muumtukane diamond tuuuuuuu, sisi tukae kimya au vipi??? kuna mtu humu ndani anatukamwa kama diamond??? tena bila sababu, Aau labda yeye sio Mtanzania??? kuna mtu humu alisema anatamani sana diamond afulie na wala hajui ni kwanini anatamani hivyo, IMAGINE watu wakampa like kibao, acheni hizo banaaa, diamond nae anamoyo wa nyama, mpeni pumziko la moyo mtoto wa mwenzenu, juzi hapa ukuta wake ulidondoka watu wakacheza mdundiko kwa furaha, unasema nini wewe, mimi paula nitamtetea diamond na kumsupport kwa kila jambo, kama inakukeraa am soleeeee!!!
 
Mama ukiendeleza huo mtazamo wa hisia kali sijui chuki, husda sijui dharau kwa mambo ya ushabiki ambayo hata huyo msanii hakujui utakonda kabisa.
Huwa unachukuli mambo ya ushabiki too personal.Nakusihi ubadilike.

khaaaaa!!! give me a break, have i ever attack anybody in here personally????????? come again miss, nyie baadhi ya team kiba ndio huwa ninawashangaa sana nikichangia kitu kishabiki anakuja mtu huko anaanza kunishambulia, mimi kama paula, nikiuliza why your coming to me as I, nitajibiwa umetuita team kiba sijui kitu gani, sasa aliyeleta hisia za kipersonal hapo ni nani, wala tusiende mbali nimesema team kiba mnamatatizo is this personal??? wewe ukanijibu mimi as paula, sasa hapo anayetaka kupick a personal fight hapo nani?? unless u educating me some, uniambie comments zenye team elements zinafananaje na zenye personal elements zinafananaje, am here to learn as well, but so far so good I HAD NEVER EVER ATTACK ANY PERSON IN HERE PERSONALLY. usitake kunizushia tafadhali, wewe ni mtu wanne sijui unatoka team kiba with personal attacks ukireview back to what i have commented before your attack utakuta nilimzungumzia kiba au team kiba in general, labda uni preview on those comments nilizomuatack individual person.
 
chige your too clever to argue with this people comments zako huwa zinaempty brain yangu naamanisha zina ujazo wa kutosha lakini hawa watu hunishangaza sana ni kwa jinsi gani walivyona na vichwa vigumu kuelewa,
kitu kinaonekana kabisa ni fake, nilitegemea kabisa hawa wanaojiita wenye mapenzi ya dhati na kiba wakemee, kumbe na wenyewe hawajielewi, maskinii, unawaona wanavyochekelea??

Mimi hapa nimegundua kitu kimoja chige, endapo ikitolewa habari yoyote njema kuhusu kiba huwa inawapa faraja kubwa sanaaa, regardless kuwa hiyo habari ni ya kweli au uongo, utawaona wanavyoshangilia wenyeweee, hata akili ya kupima ukweli wa habari yenyewe wanakuwa hawana tena, kumbuka habari ya BBC fake walivyoichezea ngoma mtaa wao ukawa nifull chereko, now this get me to prove something is wrong with this people so called team kiba, amekosekana hata mmoja aliyesoma mwenye uwezo wa kusoma picha akagungua kuna picha hapo ni type za majengo ya kaleeee??? hizo nyumba zimechukuliwa sehemu tofauti tofauti, na kama kuna nyumba ya kiba hapo labda hizo mbili za mwanzo, lakini kwa hiyo ya tatu, common guys mtakeni kiba radhi plzzz!!


Wewe huyo katika ubora wako! Btw ulipotelea wapi , mic u ..
 
Last edited by a moderator:
Jamani hawajanizoea, wanisamehe bure, mimi ni mtu mzuri tu nawapenda wote, this is just a game, we have fun, jokes na ivo

Binamu hiyo nyumba gharama za garden 2 hataziweza bill ya maji kunyeshea garden n hatari.huo ukuta gharama yake kuujenga nayo c mchezo
 
nyie ndio mnayoyaendekeza, ningekuwa siwaoni team kiba mnazojaza comments za chuki dhidi ya diamond ningejipeleka mirembe mwenyeweeeeee. kumbe nyie mlitakaje labda, muumtukane diamond tuuuuuuu, sisi tukae kimya au vipi??? kuna mtu humu ndani anatukamwa kama diamond??? tena bila sababu, Aau labda yeye sio Mtanzania??? kuna mtu humu alisema anatamani sana diamond afulie na wala hajui ni kwanini anatamani hivyo, IMAGINE watu wakampa like kibao, acheni hizo banaaa, diamond nae anamoyo wa nyama, mpeni pumziko la moyo mtoto wa mwenzenu, juzi hapa ukuta wake ulidondoka watu wakacheza mdundiko kwa furaha, unasema nini wewe, mimi paula nitamtetea diamond na kumsupport kwa kila jambo, kama inakukeraa am soleeeee!!!

Maneno mengiiii pointless!
"The more u speak the less they listen!"-Abrahman Quvert.
 
khaaaaa!!! give me a break, have i ever attack anybody in here personally????????? come again miss, nyie baadhi ya team kiba ndio huwa ninawashangaa sana nikichangia kitu kishabiki anakuja mtu huko anaanza kunishambulia, mimi kama paula, nikiuliza why your coming to me as I, nitajibiwa umetuita team kiba sijui kitu gani, sasa aliyeleta hisia za kipersonal hapo ni nani, wala tusiende mbali nimesema team kiba mnamatatizo is this personal??? wewe ukanijibu mimi as paula, sasa hapo anayetaka kupick a personal fight hapo nani?? unless u educating me some, uniambie comments zenye team elements zinafananaje na zenye personal elements zinafananaje, am here to learn as well, but so far so good I HAD NEVER EVER ATTACK ANY PERSON IN HERE PERSONALLY. usitake kunizushia tafadhali, wewe ni mtu wanne sijui unatoka team kiba with personal attacks ukireview back to what i have commented before your attack utakuta nilimzungumzia kiba au team kiba in general, labda uni preview on those comments nilizomuatack individual person.

Too much energy kwa vitu vya kishabiki kama ivi.Huruma sana!
Take a chill! Relax sio vita ni starehe!
Mimi unanichosha na videsa vyako😀😀😀
Watu mnajijua mnapressure ya kushuka afu mnataka ushabiki mtazimikia nyuma ya keyboard bureeeee!
I can see unavotweta kwa hasiraaa! Yan unawekea moyoniii mwenyewe comments za humu.Pole sana shabiki wa diamond.😛
 
Jamani hawajanizoea, wanisamehe bure, mimi ni mtu mzuri tu nawapenda wote, this is just a game, we have fun, jokes na ivo

Binamu huu ushabiki mabunda huu utatoa watu roho wallahii! Kaah yani watu hadi leo hawajazoea? Koh koh koh!
 
Maneno mengiiii pointless!
"The more u speak the less they listen!"-Abrahman Quvert.
thats all you can say, u said am to personal with my comments, i asked u one little thing, show were have i attack any jf member personally, mjadala uishe ukianza mipasho badala ya kuja na facts there is the point we missed each other, and i just cant help.
 
Too much energy kwa vitu vya kishabiki kama ivi.Huruma sana!
Take a chill! Relax sio vita ni starehe!
Mimi unanichosha na videsa vyako😀😀😀
Watu mnajijua mnapressure ya kushuka afu mnataka ushabiki mtazimikia nyuma ya keyboard bureeeee!
I can see unavotweta kwa hasiraaa! Yan unawekea moyoniii mwenyewe comments za humu.Pole sana shabiki wa diamond.😛

take me were i have been too personal with my comments thats all i want, mimi mzaramo maneno mengi asili yangu, kazi kwako wewe mstaarabu, maneno machache and still u cant not show your point straight.
 
thats all you can say, u said am to personal with my comments, i asked u one little thing, show were have i attack any jf member personally, mjadala uishe ukianza mipasho badala ya kuja na facts there is the point we missed each other, and i just cant help.

Sasa mpasho hapa shogangu uko wapi? Una maneno mengii mie yamenichosha.
 
take me were i have been too personal with my comments thats all i want, mimi mzaramo maneno mengi asili yangu, kazi kwako wewe mstaarabu, maneno machache and still u cant not show your point straight.

When you use worda such as;'husda',''roho mbaya' huwa naona una exxagurate sana.Maneno mengine mazito sana unakumbuka ulishawah kutamka mambo ya kifo na roho mbaya, sijui nyeusi eti ndo wanayo mashabiki wa Kiba.Kisa ushabiki! Thats way too much...uwii unataka kuwa kama wale wa IG.
Haya we mzaramo.Kumbe hatutamaliza hata mie mzaramo.
 
When you use worda such as;'husda',''roho mbaya' huwa naona una exxagurate sana.Maneno mengine mazito sana unakumbuka ulishawah kutamka mambo ya kifo na roho mbaya, sijui nyeusi eti ndo wanayo mashabiki wa Kiba.Kisa ushabiki! Thats way too much...uwii unataka kuwa kama wale wa IG.
Haya we mzaramo.Kumbe hatutamaliza hata mie mzaramo.

hata mimi nimegundua kuna pahala tunapishana kiswahili, ndio maana inakuwa tabu kuelewana, wewe na mimi sio wageni humu ndani hasa kwenye hizi team team, now tell me kuwa hujawahi ona jinsi watu wanavyomponda diamond kwa kila jambo liwe baya au nzuri, tellme hujawahi ona comment zenye matusi towards diamond, hujawahi ona comment zenye maneno kama NATAMANI DIAMOND AFULIE, NA SIKU SI NYINGI ATAMPFUATA MR. NICE KIJIWENI, na mengine moyo ambayo kimsingi ni mabaya, bahati mbaya sana hiki kitecno changu sijakijulia i could take you through all the comments sasa haya sio maneno ya chuki na husda???mbona sijawahi ona mkiwanyooshelea vidole, hao watu??? zaidi sana mnawagongea likes.
 
hata mimi nimegundua kuna pahala tunapishana kiswahili, ndio maana inakuwa tabu kuelewana, wewe na mimi sio wageni humu ndani hasa kwenye hizi team team, now tell me kuwa hujawahi ona jinsi watu wanavyomponda diamond kwa kila jambo liwe baya au nzuri, tellme hujawahi ona comment zenye matusi towards diamond, hujawahi ona comment zenye maneno kama NATAMANI DIAMOND AFULIE, NA SIKU SI NYINGI ATAMPFUATA MR. NICE KIJIWENI, na mengine moyo ambayo kimsingi ni mabaya, bahati mbaya sana hiki kitecno changu sijakijulia i could take you through all the comments sasa haya sio maneno ya chuki na husda???mbona sijawahi ona mkiwanyooshelea vidole, hao watu??? zaidi sana mnawagongea likes.

Sasa jamani mie namfagilia Kiba, wanaomponda diamond nikigonga like inatosha tu, sina haja ya kuanza kubwabwaja au kuwavaa au kumkandia kwa kila jambo coz deep within my heart sina chuki naye, ule ni uhasimu wa kimziki tu.So siwez kuwavaa team diamond wote kwa kumsema Kiba vibaya iyo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.Uhasimu upo tu.Ila usiwe ulopitiliza utazani tunalipwa kah!
Haya wanaomtukana Chibu wotee jela mwaka mzima.
 
Hizi ni picha za kwenye mtandao. Mleta mada anatakiwa ajipange upya sio kwa ulaghai kama huu.
 
Sasa jamani mie namfagilia Kiba, wanaomponda diamond nikigonga like inatosha tu, sina haja ya kuanza kubwabwaja au kuwavaa au kumkandia kwa kila jambo coz deep within my heart sina chuki naye, ule ni uhasimu wa kimziki tu.So siwez kuwavaa team diamond wote kwa kumsema Kiba vibaya iyo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.Uhasimu upo tu.Ila usiwe ulopitiliza utazani tunalipwa kah!
Haya wanaomtukana Chibu wotee jela mwaka mzima.

yes ukigonga like no problem, kishabiki zaidi, ukimaanisha umeyakubali maneno ya mpondaji, ikitokea team kiba kawatukana team diamond no problem kishabiki zaidi, mnagonga like na kumsupport, and toka mwanzo i used to live with this situation kiteam zaidi, now nisipoelewa mimi ni why count a problem when its towards kiba??? na hapo ndipo nilipoanza kutofautiana kauli na baadhi ya team kiba, SIJAWAHI MWAMBIA MTU BINAFSI KUWA ANAROHO MBAYA AU KUMTUKANA MTU KAMA YEYE, but kuna team kiba did that to me kisa nimemponda kiba why msiichukulie kishabiki kama vile mnavyochukulia kupondwa kwa diamond ni kishabiki??? kuna mtu alishawahi kunitukana mimi kama paula and you all support that, kuna mtu alishawahi niambia wewe paula weweee unaroho mbaya sana, nikamjibu nimechangia kishabiki kama ambavyo wengine wote huchangia kishabiki akaniambia nooo hapa nakuongelea wewe kama paula, akhaaa!!! sasa my dear katika mazingira kama haya who is taking thing to emotional and personal??? and you all support that, now am asking have i ever did that to any of you??? hata uniambie huwa natake vitu too personal unless sijui maana ya hili neno 'personal'
 
Back
Top Bottom