Nyumba ninayoishi imeanza kuwa na vioja usiku

Nyumba ninayoishi imeanza kuwa na vioja usiku

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
1. Siku za karibuni nimekuwa mtu wa kushtuka saa tisa na nusu nikitoka katika ndoto ambayo huwa siikumbuki ilikuaje, nakuwa na hofu na woga sana wakati huo.

2. Kuna wakati unashtuka unahisi kabisa hauko peke yako katika chumba.

3. Leo nimeshtushwa na kishindo cha kwenye dirisha, yaani ni kama vile mtu hakuona kioo cha alminium akajidunda kichwa, ila baada ya hapo sikusikia kinachoendelea.

Chanzo chaweza kuwa nini? Nifanyeje?
 
Just pay attention kwa kila kitu soon uta overcome hilo tatizo.

Unajua tatizo la kama la uchawai sio lakuoogopa n wewe kumlia timing adui yako kwa ku study pattern zake ila kuna siku ataingia kwenye 18 zako hapo utakuwa na experience ya hali ilivyokuwa na way's zaku overcome iyo challenge. But ukiogopa ndio unakaribisha mvua ikunyeshee kwakuogopa matonematone
 
1. siku za karibuni nimekua mtu wa kushtuka saa tisa na nusu nikitoka katika ndoto ambayo hua siikumbuki ilikuaje, nakua na hofu na woga sana wakati huo.

2. Kuna wakati unashtuka unahisi kabisa hauko pekeako katika chumba,

3. Leo nimeshtushwa na kishindo cha kwenye dirisha, yani ni kama vile mtu hakuona kioo cha alminium akajidunda kichwa, ila baada ya hapo sikusikia kinachoendelea.

Chanzo chaweza kua nini? Nifanyeje?

Acha woga. Fanya sala fupi kabla ujalala.
 
Wenge lako tu linakudatisha.
Bado kodi ya muda gani nije nikupe nusu hasara uhame uniachie.
 
1. Siku za karibuni nimekuwa mtu wa kushtuka saa tisa na nusu nikitoka katika ndoto ambayo huwa siikumbuki ilikuaje, nakuwa na hofu na woga sana wakati huo.

2. Kuna wakati unashtuka unahisi kabisa hauko peke yako katika chumba.

3. Leo nimeshtushwa na kishindo cha kwenye dirisha, yaani ni kama vile mtu hakuona kioo cha alminium akajidunda kichwa, ila baada ya hapo sikusikia kinachoendelea.

Chanzo chaweza kuwa nini? Nifanyeje?
ni nyumba yako?
 
nielezee vizuri ndugu mshana elimu hiyo sina kabisa
Wanga na wachawi huwa na sherehe za mwaka na huanzia October mpaka December, sasa mara nyingi sherehe kama hizi hupenda kuzifanyia nje ya vilinge vyao wanavyokutania kila wakati..
Hizi sherehe kulingana na uhitaji wao hupenda kuzifanyia kwenye majumba ya watu hasa kama nyumba baadhi ya vyumba havina wakaaji ama kama mazingira ya nje yanawafaa

Kuna watu wana utulivu na nguvu za kiroho sasa wanapopita kwenye hizo nyumba zao hupigwa shoti ama hupata upinzani hivyo hawarejei tena hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Siku za karibuni nimekuwa mtu wa kushtuka saa tisa na nusu nikitoka katika ndoto ambayo huwa siikumbuki ilikuaje, nakuwa na hofu na woga sana wakati huo.

2. Kuna wakati unashtuka unahisi kabisa hauko peke yako katika chumba.

3. Leo nimeshtushwa na kishindo cha kwenye dirisha, yaani ni kama vile mtu hakuona kioo cha alminium akajidunda kichwa, ila baada ya hapo sikusikia kinachoendelea.

Chanzo chaweza kuwa nini? Nifanyeje?
Hahhaha kazi Yao ndogo mbn unawakamata simple tu🤣🤣🤣
 
Wanga na wachawi huwa na sherehe za mwaka na huanzia October mpaka December, sasa mara nyingi sherehe kama hizi hupenda kuzifanyia nje ya vilinge vyao wanavyokutania kila wakati..
Hizi sherehe kulingana na uhitaji wao hupenda kuzifanyia kwenye majumba ya watu hasa kama nyumba baadhi ya vyumba havina wakaaji ama kama mazingira ya nje yanawafaa

Kuna watu wana utulivu na nguvu za kiroho sasa wanapopita kwenye hizo nyumba zao hupigwa shoti ama hupata upinzani hivyo hawarejei tena hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa kwangu naishi, japo nilipojenga ilikaa muda kadhaa bila ya kuishi mtu, ingawa hapa kwangu hapana vurungu nyingi mana familia sio kubwa, nifanyenye kaka? naomba suluhisho lisilohusisha tunguli wala lamli
 
Back
Top Bottom