Nyumba ninayoishi imeanza kuwa na vioja usiku

Nyumba ninayoishi imeanza kuwa na vioja usiku

Acha wenge ila pia ungetumia chumvi ya mawe ipo poah sana
 
Mbona jambo la msingi kuwa umejenga hukuweka ktk Uzi wako...

Unatakiwa uikomboe ardhi na maagano...
baada ya kumaliza ujenzi na kufikia hatua ambayo inafaa kuhamia nilihamia tu, hakuna nilichofanya na niliishi kwa amani kwa muda wote huo, haya mambo yameanza katikaki ya mwezi wa nane na huu watisa wote umekua wamoto,
 
1. Siku za karibuni nimekuwa mtu wa kushtuka saa tisa na nusu nikitoka katika ndoto ambayo huwa siikumbuki ilikuaje, nakuwa na hofu na woga sana wakati huo.

2. Kuna wakati unashtuka unahisi kabisa hauko peke yako katika chumba.

3. Leo nimeshtushwa na kishindo cha kwenye dirisha, yaani ni kama vile mtu hakuona kioo cha alminium akajidunda kichwa, ila baada ya hapo sikusikia kinachoendelea.

Chanzo chaweza kuwa nini? Nifanyeje?
Kuna radio nyingi sana zinafanya maombi usiku kucha. Chagua mojawapo uwe Unafanya maombi pia ....
 
Hapa kwangu naishi, japo nilipojenga ilikaa muda kadhaa bila ya kuishi mtu, ingawa hapa kwangu hapana vurungu nyingi mana familia sio kubwa, nifanyenye kaka? naomba suluhisho lisilohusisha tunguli wala lamli
Ukishajenga jitahidi uhamie haraka, nyumba tupu huvutia nguvu za giza..
Hakikisha vyumba tupu vinakuwa safi na katika mpangilio muda wote, pia jitahidi kuvinyunyia chumvi kidogo kila wakati kuvipa uhai chanya na utakaso wa kiroho kwenye ulimwengu usioonekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Siku za karibuni nimekuwa mtu wa kushtuka saa tisa na nusu nikitoka katika ndoto ambayo huwa siikumbuki ilikuaje, nakuwa na hofu na woga sana wakati huo.

2. Kuna wakati unashtuka unahisi kabisa hauko peke yako katika chumba.

3. Leo nimeshtushwa na kishindo cha kwenye dirisha, yaani ni kama vile mtu hakuona kioo cha alminium akajidunda kichwa, ila baada ya hapo sikusikia kinachoendelea.

Chanzo chaweza kuwa nini? Nifanyeje?
Elezea vizuri mkuu...

Unatumia kilevi chochote maana ukitumia vilevi kama pombe nyingi au BANGI, MADAWA YA KULEVYA.....

Unaanza kua na MAONO YASIYO YA KAWAIDA..

UCHAWI UPO NA UNAFANYA KAZI PIA MUNGU YUPO NA JINA LA YESU LINATENDA KAZI NA LINA MAMLAKA YOTE HAPA DUNIANI...
 
1. Siku za karibuni nimekuwa mtu wa kushtuka saa tisa na nusu nikitoka katika ndoto ambayo huwa siikumbuki ilikuaje, nakuwa na hofu na woga sana wakati huo.

2. Kuna wakati unashtuka unahisi kabisa hauko peke yako katika chumba.

3. Leo nimeshtushwa na kishindo cha kwenye dirisha, yaani ni kama vile mtu hakuona kioo cha alminium akajidunda kichwa, ila baada ya hapo sikusikia kinachoendelea.

Chanzo chaweza kuwa nini? Nifanyeje?
... umepanga? Mwenye nyumba ni mfuga majini? If yes; liitie Jina Kuu la Yesu nawe utapona! Huo upuuzi utakuwa historia kwako for ever and ever.
 
Elezea vizuri mkuu...

Unatumia kilevi chochote maana ukitumia vilevi kama pombe nyingi au BANGI, MADAWA YA KULEVYA.....

Unaanza kua na MAONO YASIYO YA KAWAIDA..

UCHAWI UPO NA UNAFANYA KAZI PIA MUNGU YUPO NA JINA LA YESU LINATENDA KAZI NA LINA MAMLAKA YOTE HAPA DUNIANI...
... huyo anaishi chimbo moja na wafuga majini lazima wamsumbue kama hana kinga ya Jina lipitalo majina yote.
 
Ukishajenga jitahidi uhamie haraka, nyumba tupu huvutia nguvu za giza..
Hakikisha vyumba tupu vinakuwa safi na katika mpangilio muda wote, pia jitahidi kuvinyunyia chumvi kidogo kila wakati kuvipa uhai chanya na utakaso wa kiroho kwenye ulimwengu usioonekana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo labda ndo nimekosea, nyimba ilikaa almost mwaka bila mtu baad ya kukamilika, vipi kama kuna vyumba havilali watu navyo pia ni hatari?
 
Elezea vizuri mkuu...

Unatumia kilevi chochote maana ukitumia vilevi kama pombe nyingi au BANGI, MADAWA YA KULEVYA.....

Unaanza kua na MAONO YASIYO YA KAWAIDA..

UCHAWI UPO NA UNAFANYA KAZI PIA MUNGU YUPO NA JINA LA YESU LINATENDA KAZI NA LINA MAMLAKA YOTE HAPA DUNIANI...
Situmii kilevi chochote na sijawahi tumia,
 
... umepanga? Mwenye nyumba ni mfuga majini? If yes; liitie Jina Kuu la Yesu nawe utapona! Huo upuuzi utakuwa historia kwako for ever and ever.
Sijapanga mkuu, shukran ntajitahidi kwa maombi
 
Kwa imani yako fanya maombi hasa kabla ya kulala na ni maombi ya kufunika nyumba na ulinzi
 
baada ya kumaliza ujenzi na kufikia hatua ambayo inafaa kuhamia nilihamia tu, hakuna nilichofanya na niliishi kwa amani kwa muda wote huo, haya mambo yameanza katikaki ya mwezi wa nane na huu watisa wote umekua wamoto,
Kama Mkristo tafuta maji ya baraka, au kama unaimani na Manabii tumia maji ya mfuniko mweupe yanapatika a kwa Kuhani Musa...

Mwaga nyumba yako na eneo lote la kuzunguka kiwanja...

Ukuze Imani. Omba kwa jila la YESU wakati unamwaga.

Ujiandae maana unaweza ona mchawi live..
 
1. Siku za karibuni nimekuwa mtu wa kushtuka saa tisa na nusu nikitoka katika ndoto ambayo huwa siikumbuki ilikuaje, nakuwa na hofu na woga sana wakati huo.

2. Kuna wakati unashtuka unahisi kabisa hauko peke yako katika chumba.

3. Leo nimeshtushwa na kishindo cha kwenye dirisha, yaani ni kama vile mtu hakuona kioo cha alminium akajidunda kichwa, ila baada ya hapo sikusikia kinachoendelea.

Chanzo chaweza kuwa nini? Nifanyeje?
Siku hizi TV station na redio station kibao zinakesha watumishi wakiombea watu, achana na manyimbo ya kina Zuchu, Wewe tune station za injiri all night long utaona tofauti.

Chumvi ya mawe pia muhimu kumwagia ndani, kudekia na hata kuchanganya kwenye maji kuongea.

Ukienda beach jitahidi uoge maji ya baharini kwa kupiga mbizi uzaliwe upya.
 
1. Siku za karibuni nimekuwa mtu wa kushtuka saa tisa na nusu nikitoka katika ndoto ambayo huwa siikumbuki ilikuaje, nakuwa na hofu na woga sana wakati huo.

2. Kuna wakati unashtuka unahisi kabisa hauko peke yako katika chumba.

3. Leo nimeshtushwa na kishindo cha kwenye dirisha, yaani ni kama vile mtu hakuona kioo cha alminium akajidunda kichwa, ila baada ya hapo sikusikia kinachoendelea.

Chanzo chaweza kuwa nini? Nifanyeje?
Kata pua nne za nguruwe dume(nakazia tena, dume) anayenyonyesha kisha zifunge kwenye kona nne za nyumba yako.
 
kunamjomba alikuja home muoga kama wewe.jioni nimemuacha nikaenda kutafuta msosi yupo sebleni anacheki tv akataka kuingia jikoni kuchukua maji Sasa sijui Aliona mawenge Gani akatimua mbio nje kukaa

nilivyoludi namkuta yupo nje namuuliza vipi akasema wakati anataka kuingia jikoni Aliona kama MTU anamwangalia mlango wachooni. akanipa presha kidogo namimi niogope

ilakibishi nikamwambia twende ndani nikachukua kisu jikoni nikaanza kutafuta kilachumba nyumba mzima sikuona chochote.nikagundua dogo muoga hajazoea kukaa nyumba mzima mwenyewee.
 
Back
Top Bottom