Gautten Potten
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 1,642
- 3,426
Kuna mtu anavizia ndg hy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa unamaanisha nini mkuuWanatest mitambo kwa ajili ya location ya sherehe za jumuiko la mwaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
TUMIA CHUMVI YA MAWE TU1. Siku za karibuni nimekuwa mtu wa kushtuka saa tisa na nusu nikitoka katika ndoto ambayo huwa siikumbuki ilikuaje, nakuwa na hofu na woga sana wakati huo.
2. Kuna wakati unashtuka unahisi kabisa hauko peke yako katika chumba.
3. Leo nimeshtushwa na kishindo cha kwenye dirisha, yaani ni kama vile mtu hakuona kioo cha alminium akajidunda kichwa, ila baada ya hapo sikusikia kinachoendelea.
Chanzo chaweza kuwa nini? Nifanyeje?
utaweza tuu.sasahivi nihakiyako kusema huwezi😁Bado binti wamama😁Nipo home, lkn kuishi mwenyewe siwezi,
Achome udi unaonukia au marashi usiku..wale viumbe wabaya wataondoka nakubakia wale wazuri pekee..otherwise mtafute MshanaJR and Mzizimkavu watakusaidiaWanatest mitambo kwa ajili ya location ya sherehe za jumuiko la mwaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utaweza tuu.sasahivi nihakiyako kusema huwezi[emoji16]Bado binti wamama[emoji16]
Kila kitu kipo nenda machimjioni na pesa yako utapata.Kumbe Kuna madume yanayo nyonyesha 🙄🙄🙄🤔🤔🤔🤔
fanya kweli basi au unasoma😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
1. Siku za karibuni nimekuwa mtu wa kushtuka saa tisa na nusu nikitoka katika ndoto ambayo huwa siikumbuki ilikuaje, nakuwa na hofu na woga sana wakati huo.
2. Kuna wakati unashtuka unahisi kabisa hauko peke yako katika chumba.
3. Leo nimeshtushwa na kishindo cha kwenye dirisha, yaani ni kama vile mtu hakuona kioo cha alminium akajidunda kichwa, ila baada ya hapo sikusikia kinachoendelea.
Chanzo chaweza kuwa nini? Nifanyeje?
Bado sijakua mkubwa.fanya kweli basi au unasoma[emoji16]
Kitimoto sili, bangi kuipata sio rahisi na ni risk, ntajaribu chunvi ya mawe kama nilivyoshauriwaKama unatumia bangi choma ndani humo chumbani na kama ni nyumba choma kote pia pika sana kitimoto ndani humo utakuja kunishukuru badae!
Ubarikiwe kakaBado unaweza kuitakasa kwa kuipiga chumvi.. Vyumba visivyolaliwa hakikisha vinahudumiwa walau mara mbili kwa wiki kuvipa uhai
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawambia we chunguza wanao ongoza kuongea zaidi ni watu maskini ila sauti zao kama mbu wakitishwa kimya.Kaka yake shetani, waambie wafuasi wa mdogo wako waache vurugu,