Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye bangi asingeleta hata uzi hapa, bangi inacontrol hofu kwa asilimia 100%Elezea vizuri mkuu...
Unatumia kilevi chochote maana ukitumia vilevi kama pombe nyingi au BANGI, MADAWA YA KULEVYA.....
Unaanza kua na MAONO YASIYO YA KAWAIDA..
UCHAWI UPO NA UNAFANYA KAZI PIA MUNGU YUPO NA JINA LA YESU LINATENDA KAZI NA LINA MAMLAKA YOTE HAPA DUNIANI...
Bado unaweza kuitakasa kwa kuipiga chumvi.. Vyumba visivyolaliwa hakikisha vinahudumiwa walau mara mbili kwa wiki kuvipa uhaiHapo labda ndo nimekosea, nyimba ilikaa almost mwaka bila mtu baad ya kukamilika, vipi kama kuna vyumba havilali watu navyo pia ni hatari?
Weka ear plugs wakafi wa kulala hautasikia vishindo vya wachawi1. Siku za karibuni nimekuwa mtu wa kushtuka saa tisa na nusu nikitoka katika ndoto ambayo huwa siikumbuki ilikuaje, nakuwa na hofu na woga sana wakati huo.
2. Kuna wakati unashtuka unahisi kabisa hauko peke yako katika chumba.
3. Leo nimeshtushwa na kishindo cha kwenye dirisha, yaani ni kama vile mtu hakuona kioo cha alminium akajidunda kichwa, ila baada ya hapo sikusikia kinachoendelea.
Chanzo chaweza kuwa nini? Nifanyeje?
Too much of anything is harmful....Hapo kwenye bangi asingeleta hata uzi hapa, bangi inacontrol hofu kwa asilimia 100%
Upo sahihi mkuu ni akili tuJust pay attention kwa kila kitu soon uta overcome hilo tatizo.
Unajua tatizo la kama la uchawai sio lakuoogopa n wewe kumlia timing adui yako kwa ku study pattern zake ila kuna siku ataingia kwenye 18 zako hapo utakuwa na experience ya hali ilivyokuwa na way's zaku overcome iyo challenge. But ukiogopa ndio unakaribisha mvua ikunyeshee kwakuogopa matonematone
Chumvi hii, ndio ile hutumiwa na waislam kama ubani?Ukishajenga jitahidi uhamie haraka, nyumba tupu huvutia nguvu za giza..
Hakikisha vyumba tupu vinakuwa safi na katika mpangilio muda wote, pia jitahidi kuvinyunyia chumvi kidogo kila wakati kuvipa uhai chanya na utakaso wa kiroho kwenye ulimwengu usioonekana
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23],huyo kama mie tu,kunamjomba alikuja home muoga kama wewe.jioni nimemuacha nikaenda kutafuta msosi yupo sebleni anacheki tv akataka kuingia jikoni kuchukua maji Sasa sijui Aliona mawenge Gani akatimua mbio nje kukaa
nilivyoludi namkuta yupo nje namuuliza vipi akasema wakati anataka kuingia jikoni Aliona kama MTU anamwangalia mlango wachooni. akanipa presha kidogo namimi niogope
ilakibishi nikamwambia twende ndani nikachukua kisu jikoni nikaanza kutafuta kilachumba nyumba mzima sikuona chochote.nikagundua dogo muoga hajazoea kukaa nyumba mzima mwenyewee.
🤣🤣ukiachiwa nyumba unafanyaje?[emoji23][emoji23][emoji23],huyo kama mie tu,
usiku kukaa mwenyewe ndani ni bora ni kakae nje nina kuwa na Amani.
Usiku sipati usingizi,labda unipitie tu kwa bahati mbaya[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]ukiachiwa nyumba unafanyaje?
ulivyo olewa uliienda nawadogozako nini?😁😁au mumeo sio mtu wakusafiriUsiku sipati usingizi,labda unipitie tu kwa bahati mbaya[emoji23][emoji23]
Haunted house.. Yameshaweka kambi hapoMkuu yako ndogo! Mimi nikilala saa nane usiku naskia mlango wa chumbani unagongwa! Na mchana nashangaa mlango wa nje unagongwa ila nikitoka sioni mtu.
Nipo home, lkn kuishi mwenyewe siwezi,ulivyo olewa uliienda nawadogozako nini?[emoji16][emoji16]au mumeo sio mtu wakusafiri
Kumbe Kuna madume yanayo nyonyesha 🙄🙄🙄🤔🤔🤔🤔Kata pua nne za nguruwe dume(nakazia tena, dume) anayenyonyesha kisha zifunge kwenye kona nne za nyumba yako.