Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke wake si yule Mchagga alimshauri wajenge Lushoto, Tanga njia ya kwenda kwao.Watu wameamua kutumia fursa, muhimu ni MAOKOTO.
Kwani mkewe anaishi nyumba ipi? Na iko sehemu gani?
Chai ya saa kumiTujadili Mgodi wa GGM? Ambako anahisa na alipewa gold 90 kgs
Mke wake si yule Mchagga alimshauri wajenge Lushoto, Tanga njia ya kwenda kwao.
Atakuwa anakaa Lushoto.
Thankskusema hii nyumba alikuwa nayo enzi na enzi Sio kweli. Mkapa hajui hata bei ya tofali la hiyo nyumba.
Hiyo nyumba ilikuwa mali ya serikali ilikuwa inatumika kama kota ya bosi wa TPA.
Mkapa alivyokuwa Rais ndipo alijiuzia ikawa mali yake binafsi
Thanks
Kwahiyo hii siyo aliyojengewa na serikali baada ya kustaafu
At least we agree on that