House4Sale Nyumba ya ghorofa moja inauzwa Mtoni Kijichi

bi mkubwa kashusha bei zaidi, karibuni
 
Yani jumba lote hili linauzwa 350 tu? Basi mimi nakupa JERO hata ukitaka BUKU nakupa, haya sema ntakupataje nimiliki hili jumba?
 
Ninavyopeda nyumba mimi,ningepata wa kuninunulia hiyo nyumba ningempenda kwa moyo wangu wote
Katoe moyo uniletee kwenye bakuli nyumba utapata tu mama hakuna shida...! Sitaki utapeli eti unipe moyo huku unaotumboni mwako..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…