Nyumba ya Oscar Kambona sasa ni Feza Primary. Nini kimetokea?

Nyumba ya Oscar Kambona sasa ni Feza Primary. Nini kimetokea?

Wazoefu wa mitaa ya Mikocheni, kwa Nyerere, kwa Mwinyi, kwa Warioba haya ni majina ya vituo vya daladala. Lakini pia Kuna nyumba ya Oscar Kambona mitaa hiyo ila kwa sasa naona imekuwa shule ya msingi Feza.

Nini kilitokea? Iliuzwa? Je Kambona hakuacha familia? Mke na watoto wake wako wapi? Baba akiwa muasi hadi familia yake inachukuliwa kama waasi?

Je, ilikuwa ni nyumba ya serikali au alijenga mwenyewe Oscar?
Sijui mke na watoto wako wapi. Lakini nyumba ni yao na wameamua kuigeuza kuwa shule.
Mrs. Kambona alikabidhiwa Ile nyumba,akawa analalamika vociferously,"Tazama nyumba yangu walivyoibadilisha kuwa gofu."
 
Oscar Kambona ana mtoto wa kike ni Askari Magereza gereza la Karanga Moshi. Kama sikosei anaitwa Witness.
Huwezi amini mtoto wa Kambona analipwa mshahara usiozidi TSH laki tano.
Huu ni uongo wity namjua vizuri kuanzia mama yake hadi baba yake sio Oscar unaemzungumzia wewe acha kuchafua watu braza. Nimeshangaa sana huyu kambona wa mika ya 60 anakuwaje na binti wa mwaka 98?? Ni fix
 
Mtandaoni wakati mwingine muandishi anaweka yale anayoyajua tu. Je huko mtandaoni kuna taarifa kuwa watoto wake walirudi Tanzania au la? Kuna taarifa wako wapi kwa sasa?
Hii yako sio sahihi uliemtaja namjua in and out.
 
Oscar Kambona ana mtoto wa kike ni Askari Magereza gereza la Karanga Moshi. Kama sikosei anaitwa Witness.
Huwezi amini mtoto wa Kambona analipwa mshahara usiozidi TSH laki tano.
siyo kweli. binti wa kambona ni journalist by profession her name is neema kambona na miaka ya katikati ya 2000 alikuwa anafanya kazi ubalozi wa EU.
 
Huu ni uongo wity namjua vizuri kuanzia mama yake hadi baba yake sio Oscar unaemzungumzia wewe acha kuchafua watu braza. Nimeshangaa sana huyu kambona wa mika ya 60 anakuwaje na binti wa mwaka 98?? Ni fix
Hebu taja hapa majina yake matatu huyo Wity unayemjua? Mie namfahamu Witness Oscar Kambona ambaye ni askari magereza gereza la Karanga Moshi. Huyo unayemjua wewe utajua mwenyewe.
 
Wazoefu wa mitaa ya Mikocheni, kwa Nyerere, kwa Mwinyi, kwa Warioba haya ni majina ya vituo vya daladala. Lakini pia Kuna nyumba ya Oscar Kambona mitaa hiyo ila kwa sasa naona imekuwa shule ya msingi Feza.

Nini kilitokea? Iliuzwa? Je Kambona hakuacha familia? Mke na watoto wake wako wapi? Baba akiwa muasi hadi familia yake inachukuliwa kama waasi?

Je, ilikuwa ni nyumba ya serikali au alijenga mwenyewe Oscar?
Picha baaaassssi
 
siyo kweli. binti wa kambona ni journalist by profession her name is neema kambona na miaka ya katikati ya 2000 alikuwa anafanya kazi ubalozi wa EU.
Uko sawa kabisa alikuja kuolewa na jamaa mmoja Director wa NIT,jamaa akamshindwa akasepa demu Tz na alimzalisha mtoto mmoja
 
Swali kwani kuna shida nyumba ya kambona kupangishiwa watu wa feza!

Hivi mnajua hela anayoingiza kwa mwezi×mwaka ni bei gani?

Ova
 
Uko sawa kabisa alikuja kuolewa na jamaa mmoja Director wa NIT,jamaa akamshindwa akasepa demu Tz na alimzalisha mtoto mmoja
Ohh walishamwagana na yule jamaa? jamaa alikuwa mpole sana asingemuweza. binti ilikuwa akinywa anavurugika kabisa. Na pia neema ana exposure kubwa sana na ile kuwa british ni shida sana
 
Lugha ya hili gazeti mbona ilikuwa kali sana? Yote hayo ni kwa ajili ya kuwafurahisha Nyerere(kuhusu Kambona) na Karume (kuhusu Kassim Hanga)?
Kwa tuliokuwepo kipindi hicho na kusikiliza katika redio, hayo maneno ndiyo yaliyotamkwa na wala si lugha ya gazeti lenyewe. Tukiwa mashuleni tukaimbishwa hata nyimbo zenye maneno hayo hayo.
 
Back
Top Bottom