Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,930
- 2,118
Kula basi hizo pumba we bataUmeandika pumba no other way about it.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula basi hizo pumba we bataUmeandika pumba no other way about it.
Hakufeli kwa kila kitu, acha kupotoasha. Tazara railway, viwanda vya nguo kila mkoa, hospital kila wilaya,free education for all, n.k mwacheni mwl. Apumzike he didn't commit anything wrong purposely!Nyerere alikuwa dikteta uchwara, hoja zake zote alizompinga nazo kambona zilikuja 'kuprove failure',kambona alikuwa anaona mbali kutokana na exposure na elimu, Nyerere alikuwa amemezwa na wachina,akaishia kufeli kwnye kila kitu,azamio la Arusha lilifeli,vijiji vya ujamaa vilifeli, ujamaa wenyewe ulifeli aliachia nchi kwa aibu watu wakiwa hawana chakula Wala mavazi!!
Ok huyu Jamaa naona alijiweka stand by kuhamia London.Huu ni uongo, ndoa ya Oscar na Morio ilifanyikia London na msamizi alikuwa JK Nyerere.
Uongo mwingine bana,Majasusi waingie mpk Uingereza waishie kuua mtoto badala ya Target baba yake.Mtoto mmoja aliuwawa huko UK na majasusi wa TZ
Kwani hili gazeti la musiba mbona linatukana watu hivi
Nyerere kafa lini? Alipojiuzulu lini? Mbona hamkuendelea na ni muda mrefu tangu aondoke? Nchi za jirani kama Kongo na Kenya zilizofuata siasa za Kambona zina hali gani? Badala ya kuona kuwa uvivu na uzembe na ufisadi wetu ndiyo umekutudisha nyuma, endelea kulaumu Nyerere.Yule mzee sasa ndio watu wanajua alikuwa miyeyusho tu. Na ndio katurudisha sana nyuma.
Mmoja wa kiume alipigwa risasi na watu wasio julikana, serikali ya UK! haikuchukua hatua zozote!! lkn ilisadikika kijana alikuwa anamuonea wivu Mama yake! hakupenda tabia ya Mama yake kumsaliti Baba yake!Ukiangalia taarifa zake mtandaoni wanasema alikimbia kwenda London mwaka 1967 na mke na watoto wake wawili
Siyo nyie mnao lilia tozo nyie?? ajira hakuna?? mboni hamueleweki ndo maana shetani aliwapiga kiberiti iviviviYafanyikayo sasa ni mawazo ya Kambona ya Nyerere yalishakufa kibudu
ndo ilivyo mpaka leo! malaya wa kisiasa! malaya ni nini...siyo sex tu usipokuwa na msiimamo kutamani kitu cha mtu kwa malipo ya juu! bila kumpenda!..Msaliti..ni kweli si aliyageuka makubaliano yao ya awali ya A/arusha??Kambona akaitwa msaliti, mwizi na malaya
Kisha hanga akaambiwa ni mpumbavu
Sio kweli hili tango pori...Kambona alikua mnyasa na Kawawa ntu ya kusini huko...wapi na wapi???Kwa msiolijua, Rashid Mfaume Kawawa alikuwa mjomba wake Oscar Kambona na ndiye aliyesimamia harusi yake Kambona, wote asili yao Wanyasa. Enzi hizo miaka ya sitini kila mwanaume na mwanamke alipenda afanane muonekano wa Oscar Kambona, the guy was extremely smart.
Tatizo la ukosefu wa ajira linasolvika shida hatuna viongozi wanaofikiriSiyo nyie mnao lilia tozo nyie?? ajira hakuna?? mboni hamueleweki ndo maana shetani aliwapiga kiberiti ivivivi
Mbona watanzania wa sasa ndio chenga zaidi wamekazania kujadili ngono tu huku ma tozo kibao yanaletwa!!! kuna kipi cha ajabu wamekifanya?? Si bora hata hao wa zamani waliweza kutaka kuleta hata machafuko kuliko hawa dot.com wapumbavu kabisa na akili hawana kutwa kujadili upuuzi jamiiforum wakati matendo ni zero.Mzee wa butiama alikuwa chenga na wananchi kipindi walikuwa chenga
Kwa hiyo kambona nae alikuwa Mzee wa 10%?Kambona hakuwahi kuwa waziri wa fedha, hivyo asingeweza kuhongwa ila alishinda bahati nasibu Uingereza iliyomuwezesha kupata pesa.
Kufikiria kuwa tumekosa maendeleo kisa baba wa taifa ni kuukosea na kuudhihaki ubongo wako.Yule mzee sasa ndio watu wanajua alikuwa miyeyusho tu. Na ndio katurudisha sana nyuma.
Waliogopa angerudi kupindua nchi?Mtoto mmoja aliuwawa huko UK na majasusi wa TZ
Imagine, na bi harusi hajapakwa makeup Wala kuchongwa nyusi, na KUWEKWA kope za bandia... dah! Kumbe zamani kulikuwa na wazuri sio mchezo!
Duuuh aiseee
Kama mzalendo magufuli.Kambona aliamini siasa za ubepari na akiwa Waziri akishaingia mikataba mingi na wawekezaji wa Kiingereza na walimpa cha juu chake. Kwenye account yake alikua na pesa nyingi sana.
Wakati Nyerere aliamini katika Ujamaa, hakuwa na tamaa ya pesa na mpaka anastaafu hakuwa na hekalu alilojimilisha.