BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,122
- 4,060
...Shukurani ya Punda ni Mateke!...Wewe Dada Nyerere alikufanya nini? mahaba yako kwakwe ni makubwa sana. Yule mzee alitulostisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Shukurani ya Punda ni Mateke!...Wewe Dada Nyerere alikufanya nini? mahaba yako kwakwe ni makubwa sana. Yule mzee alitulostisha sana
Nakuunga Mkono. Zimbabwe, Afrika Kusini na Congo zilimbilia Ubapari, Sasa zina Amani??Kama tu nchi ina wasomi wengi kwa sasa lakini UBEPARI unaitafuna nchi sijui miaka ile nyerere angekimbilia ubepari nchi ingekuwa na hali mbaya kiasi gani yani mali nyingi zingekuwa chini ya wazungu na mambo ya vita ya madini yanayoendelea CONGO yangekuwepo hadi leon tz maana wazungu wasingekubali kutolewa kiboya na kwa umaskini wa enzi zile tungeuzwaa aisee so NYERERE alitumia akili sana kuukataa ubepari ila kilichomuangusha ni UJAMAA kufail...!! NYERERE angkuwa na ubepari bhasi amini hakuna Rais wa afrika angemfikia utajiriii hata nusu ila ajabu mzee yule hakuacha hata hisa yoyote sio kwamba alishindwa ila alifanya alichokihubiri UJAMAA jambo waliloshindwa viongozi asilimi 98 wenye asili ya kiafrika.
...Na angeishi vizuri Kwa Kodi TU...!Kwa eneo lilivyo lile angekuwa mwingine pale angeporomosha maghorofa ya kufa mtu
Ova
Si unaona mama Nyerere anaishi vizuri,hataki mambo ya kujilimbikizia...Na angeishi vizuri Kwa Kodi TU...!
halafu kuna watu flani wana propose awe mtakatifu.Kama kwenye siasa kuna watakatifu anastahili lakini sio kwenye dini.Lakini Kambona kaonekana ndie aliyekuwa sahihi kuliko Mwalimu. Yafanyikayo sasa ni mawazo ya Kambona ya Nyerere yalishakufa kibudu
na tupo wap ss baada ya kufuata sera za kambona ?Lakini Kambona kaonekana ndie aliyekuwa sahihi kuliko Mwalimu. Yafanyikayo sasa ni mawazo ya Kambona ya Nyerere yalishakufa kibudu
tumefikia wap ? mafisad ndo yanashamir , mtu anapata mpk mishahara 40 hlf kuna md anatafuta kaz , sera za nyerere hazikuwai kumuacha mtu mtaani , siasa hadi kwenye elimu , zero kbsMawazo ya Kambona kuhusu uchumi yanaishi hata sasa ya Mwalimu yamekufa
fikra za Kambona ndo zimetufikisha matajir wanapanga bei za bidhaa zipande linj , serikali haina nguvu , siasa hadi kweny elimu hlf baada ya kuhitimu chuo unaenda kuwa houseboy , ukituliza akili Nyerere was doing something amaizing , Mfumo wake ulilenga kumjenga mtu kwa jinsi alivyo sio kwa jins anavyotaka , huba uwezo shulen bas mapema unafelishwa ukalime au ukawe mpongo au mjeda , leo hii mkulima anafaulisha mpk chuo kea kozi ya IT then anamaliza anaenda kuwa secretary wa clinic fulani kwa mshahara wa laki 3 huki kodi elf 50 usafir 20k chakula laki 1 , huyu mtu anakuja kustuka amezeeka bado anapanga hana hata uwanja , Lazm tumpongez marehem , kuacha sera zake anangaloa tulipo kila mtu hatak kulima anakimbilia mjini hatuna chakula tunanunnua nje , aibuNyerere alikuwa dikteta uchwara, hoja zake zote alizompinga nazo kambona zilikuja 'kuprove failure',kambona alikuwa anaona mbali kutokana na exposure na elimu, Nyerere alikuwa amemezwa na wachina,akaishia kufeli kwnye kila kitu,azamio la Arusha lilifeli,vijiji vya ujamaa vilifeli, ujamaa wenyewe ulifeli aliachia nchi kwa aibu watu wakiwa hawana chakula Wala mavazi!!
sw Nyerere ni mbaya , ila Kambona alijali mfuko wake ni mzur , Afrika haitakuja kuwa na kiongoz bora sabab vichwa vyetu vinawaza wizi so tuansifiana wez kwa wez , Nyerere aliweza kuifanya Tz kama Kenyetta alivyoifanya Kenya ila hakutaka , Nyerere aliweza kuibia nchi kama Mobutu alivyoiibia Zaire ila hakujali pesa , Nyerere aliweza kutembea na hazina ya nchi mfukoni kama Nguema wa Guinea ya Bissau ila hakuwaza , Nyerere aliweza kuwa mkali kama Iddi Amini ila hakutaka iwe hivyo , leo hii tunamkashif mzalendo ambae hakujali kuijengea familia yake nyumba ulaya bali akawazia kuijenga nchi , hakiwazia kuwaingizia familia yake kwenye mfumo bali aliwaza kutengeneza watu sahihi kwa taifa miaka ya baadae ila bado tuna mkashif , ili bara limelaaniwa , Enzi za Nyerere tulikuwa na influence kubwa sana ukanda wetu huu ila leo hii Rwanda iko mbali sana kiushawish , aibu hii ,ila yote haya sababu ya kushabikia wanafungua milango ya wiz wa hazina ya taifa , pray for Ngoro x 2 , pray for Kibiti , kitaya , Amboni , Richmond , Wafanyakaz hewa , Mirad fake , walipwa mishahara zaid ya 2 , all this done in this eraNyerere usimuamini sana, alikuwa akimuchukia atakuita majina yote mabaya, alisema Iddi Amin ni joka, sijui anakula nyama za watu, kumbe wapi
hakuna cha kuilamu serikali hapo , ingekuwa serikali imefungua ofisi humo tungekuelewa ila Feza ni taasis binafs hatuez mnyooshea kidole yyt mpk tuthibitishe serikali ndo imewakodisha au kuwauzia FezaKwa matawi yote ya Feza Tanzania hakuna hata tawi moja walilokodi yote ni ya kwao kwa kujenga au kununua.
hii picha inaonesha kbs jins alivyo kibaraka wa Mabeberu huyo jamaa , how comes unasimamia sera za unyonyaj wkt taifa ndo linaamka , bila sera za ujamaa tz ingekuwa km india ni taifa kubwa ila kuna large difference kati thos who hav and hav notNyerere hakusimamia harusi ya Kambona....
Presidential historians tulishalisemea hili....
![]()
dada yetu ana ni RIPJee, unamaanisha mshahara wake uendane na hadhi yake ya kuwa mtoto wa Kambona na si kulingana na kazi anayofanya na CV yake? Namfahamu mtoto wa Nyerere, Anna, anabangaiza tu. Pia nilisoma na Rehema, mtoto wa Kawawa. Naye ni mtu wa kawaida tu kama mimi. Sasa huyo mtoto wa Kambona apewe mshahara tofauti na wengine kwa kuwa tu baba yake ni Kambona?
Ufisadi sio sera ya mfumo wowote duniani, fisadi anatakiwa auwawe si kwenye mfumo wa ujamaa wala ubepari,thus ulaya chezea mshahara wako na sio kodi ya wananchi au mwananchi usilipe kodi mtapotea.tumefikia wap ? mafisad ndo yanashamir , mtu anapata mpk mishahara 40 hlf kuna md anatafuta kaz , sera za nyerere hazikuwai kumuacha mtu mtaani , siasa hadi kwenye elimu , zero kbs
Tofautisha sera na uozo,mfumo sasa umeooza tunajiendea tupo kwenye autopilot hatuna mfumo wowote tunaoufuata kwa sasa,zaidi KILA mtu apambane na hali yake KILA mtu anawaza kukimbiza mkate.Hatuna dora kama taifa tunajiendea tu bora hata ya wakoloni walikuwa na dira nasi.na tupo wap ss baada ya kufuata sera za kambona ?
Alianza harakati za chini chini amaMtoto mmoja aliuwawa huko UK na majasusi wa TZ
Kleruu alimuiga sabaya au sabaya alimuiga kleruu?[emoji23]Kleruu alimuiga sabaya akavuna alichopanda
Kambona alikuwa na watoto wa wiwili tu Amos na neema, Amos alipigwa risasi uingereza miaka ya 90 na neema bado yupo huko UK ni mtu mzm sasa, huyo witness sidhani. Kambona alioa mwanamke kutoka kilimanjaro ambaye pia aliwahi kuwa miss tanganyika miss Flora moriyo, harusi ilifanyika St Paul cathedral Church ilikuwa ndio harusi ya kwanza ya watu weusi ilikuwa ni 19.11.1960 na nyerere alikuwa kama mpambe wa kambona kwenye harusi hiyo, jamaa alikuwa kichwa sana ila shida yake aliwakumbatia sn mabeberu kiasi cha kumchafua rafiki yake mpendwa waliyekutana huko tabora kwa mara ya kwanza. Mambo ni mengi muda mchacheUlitaka alipwe shingapi?
Unataka watu waanze kulipwa mamilioni just cos ni watoto wa fulani? Kina Ridh, Pinda, Sokoine, Makongoro nk ni wabunge na nafasi zingine kadha wa kadha na yeye apambane ashike wadhifa hakuna free lunch.
Waliigana sababu wapo kwenye mawimbi ya tabia sawaKleruu alimuiga sabaya au sabaya alimuiga kleruu?[emoji23]