johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #141
Sawa kabisa mkuu!Watu wengi humu wamebakiza ushabiki na chuki.hawaweki facts.
Maana mchakato mzima wa kuuza hizo nyumba ulikuwa wazi na hoja kubwa ilikuwa kwamba nyumba zimechakaa hivyo serikali inatakiwa ijenge nyumba mpya kwa ajili ya viongozi. Baraza la mawaziri ndio lilikubali kuuzwa nyumba hizi. Waziri mkuu alikuwa F .Sumae
Irrevant question.
Fafanua maelezo yako ili ueleweke.Eti irrelevant. Yote ni makosa ambayo moja mnataka collective wakati lingine anabebeshwa zigo mtu mmoja. Hii haiko sawa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ni collective reponsibility alafu kuna mtu mmoja anabebeshwa zigo! Askari anatakiwa atekeleze amri halali. Hawezi akaamrishwa piga risasi watu wanacheza karata kibazani hawana kosa loloteFafanua maelezo yako ili ueleweke.
Sasa Sumaye alaumiwe Kwa kipi wakati mmesema ni uamuzi wa baraza na mwenyekiti wao alikuwa MkapaKwanza kabisa muelewa wadau.ulikuwa ni uamuzi wa baraza la mawaziri. Alafu kila nyumba iliuzwa kulingana na thamani yake na eneo ilipo. Hizi nyumba mfano kule mwanza isamilo nyingi zilikuwa zimechakaa na hata zilikuwa zinavuja maana zilikuwa zimeezekwa kwa vigae. Alafu walipita wataalamu kufanya valuation ya kila nyumba ili kupanga bei. Kumhusisha mkuu na hili suala ni kumuonea tu. Wa kulaumiwa ni Sumae ambae alikuwa waziri mkuu
Kazi za waziri mkuu wa JMT unazifahamu?Sasa Sumaye alaumiwe Kwa kipi wakati mmesema ni uamuzi wa baraza na mwenyekiti wao alikuwa Mkapa
Kama muasisi wa hili zoezi alimua kufukua makaburi waziri nae angeanzia huko kama kweli ana nia ya kweliWaziri wa Ardhi Mh Lukuvi amemtaka Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai kuwashughulikia watendaji wa NHC na NIC waliouza kifisadi nyumba mbili za Serikali kinyume cha utaratibu.
Naye DCI amemhakikishia Waziri Lukuvi kuwa atalishughulikia suala hilo kwa haraka na kuhakikisha nyumba hizo mbilu zinarudi serikalini.
Source: ITV Habari
Hata Lukuvi na yeye kajiuzia ghorofa la mabilioni Kwa milioni 50Mupe muruke
Mbn Kuna viongozi nao wamejimilikisha nyumba za serikali
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah ndio maana Mungu katuumba kila mtu na mawazo na akili yake.. tatizo lako unadhani kila mtu anafikiri kama unavyofikiri wewe...inawezekanaje hii.imposibo.jomba.Omba sana Mungu akupe akili japo kidogo. Anayeweza kuandika hiki ulichoandika hapa ni mtu mwenye akili za kuvukia barabara tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia soma katiba vizuri. Mwenyekiti wa baraza la mawaziri anaweza kuwa Rais, makamu wa Rais au Waziri mkuu. Ibara ya 54 (2) ya katiba ya JMT. Waziri mkuu ndio msimamizi mkuu wa shughuli zote za kila siku za serikali. Kama kuna mtu alikuwa anatekeleza madudu alipaswa kumzuiaSasa Sumaye alaumiwe Kwa kipi wakati mmesema ni uamuzi wa baraza na mwenyekiti wao alikuwa Mkapa
Eti alipaswa kumzuia nyoko unaweza kumzuia mtu usiyemteua?Pia soma katiba vizuri. Mwenyekiti wa baraza la mawaziri anaweza kuwa Rais, makamu wa Rais au Waziri mkuu. Ibara ya 54 (2) ya katiba ya JMT. Waziri mkuu ndio msimamizi mkuu wa shughuli zote za kila siku za serikali. Kama kuna mtu alikuwa anatekeleza madudu alipaswa kumzuia
Kwa hiyo wakati WA hicho kikao Sumaye ndiyo alikuwa mwenyekiti?Pia soma katiba vizuri. Mwenyekiti wa baraza la mawaziri anaweza kuwa Rais, makamu wa Rais au Waziri mkuu. Ibara ya 54 (2) ya katiba ya JMT. Waziri mkuu ndio msimamizi mkuu wa shughuli zote za kila siku za serikali. Kama kuna mtu alikuwa anatekeleza madudu alipaswa kumzuia
Ok hata kama hawara, unataka kusema hawara hana haki ya kununua.. au unavyoona neno hawara halina haki ya kupata nyumba kwani inayonunua ni neno hawara au majina kamili ya mtu.. hahahah na huyo ndugu yake unayemsema kwani sio Mtanzania, nini kitamnyima haki yake ya kununua kama uwezo anao...sijui huwa mnawaza kwa kutumia matakoo au shingo ya kizazi..mpaka tunatoa lugha mbaya sababu yenu...hamna akili kabisa...Na kumuuzia hawara na ndugu yake ilikuwa maamuzi ya baraza la mawaziri?
Pumbavu, hawara na ndugu yake hawakuwa watumishi wa Umma! Nyumba zilipaswa kuuzwa kwa watumishi wa umma! Ndugu wa Jiwe alikuwa mwanafunzi wa chuo na akajipatia nyumba! Hawara hakuwa na ajira serikalini na akajipatia nyumba, shubaamiti kenge!ok hata kama hawara, unataka kusema hawara hana haki ya kununua..au unavyoona neno hawara halina haki ya kupata nyumba.kwani inayonunua ni neno hawara au majina kamili ya mtu..hahahah..na huyo ndugu yake unayemsema kwani sio Mtanzania, nini kita mnyima haki yake ya kununua kama uwezo anao...sijui huwa mnawaza kwa kutumia matakoo au shingo ya kizazi..mpaka tunatoa lugha mbaya sababu yenu...hamna akili kabisa...
hehehehe embu tuletee ushahidi hapa , acheni propaganda za uzushi jomba..mtafungwa kwa uongo,, sheria za mtandao zinakuhusu wewe...tuletee na ripoti ya CAG iliyobaini hayo unayosemaPumbav,hawara na ndugu yake hawakuwa watumishi wa Umma!Nyumba zilipaswa kuuzwa kwa watumishi wa umma!Ndugu wa Jiwe alikuwa mwanafunzi wa chuo na akajipatia nyumba!Hawara hakuwa na ajira serikalini na akajipatia nyumba,shubaamiti kenge!
Si ndiyo hapoHata lukuvi na yeye kajiuzia ghorofa la mabilioni Kwa milioni 50
Mijitu mingine inauzi. Suala kumtukana mtu nyoko linatoka wapi?duuu umeshafilisika hoja kichwani jomba nenda kakojoe ulale sasa
Watoto wa juzi mnatuletea shida sana humu jukwaani! Ungekuwa mdau wa tokea JF inaitwa Jambo forum hili lisingekuwa geni kwako!Tafuta uzi wa miaka hiyo,uzi huo umeshiba ukiwa na nakala ya gazeti lililokuwa la kwanza kureport uchafu huo!Sina muda wa kukutafutia,pambana uupate uongeze maarifa!hehehehe embu tuletee ushahidi hapa , acheni propaganda za uzushi jomba..mtafungwa kwa uongo,, sheria za mtandao zinakuhusu wewe...tuletee na ripoti ya CAG iliyobaini hayo unayosema
..muasisi wa ufisadi wa kuuza nyumba za serikali ni Magufuli wakati akiwa waziri wa ujenzi.
Paskali umesema vyema sana.Linapokuja suala la uwajibikaji kwenye utekelezaji wa maamuzi yoyote ya baraza la mawaziri, then uamuzi huo unatumia kanuni ya a collective responsibility, hapa Magufuli alikuwa ni mtekelezaji tuu na alitimiza wajibu wake kikamilifu.
P