Nyumba ya Serikali yenye thamani ya Sh 1.2 bilioni yauzwa kwa mfanyabiashara kwa Milioni 130. Waziri Lukuvi alia na watendaji, amkabidhi DCI

Nyumba ya Serikali yenye thamani ya Sh 1.2 bilioni yauzwa kwa mfanyabiashara kwa Milioni 130. Waziri Lukuvi alia na watendaji, amkabidhi DCI

wewe kwenye mambo serious unaleta utani, jinga sana. Magufuli aliuza nyumba chini ya maelekezo ya nani,kama sio baraza la mawaziri na waziri Mkuu..kwani yalikuwa maamuzi yake.binafsi..wapi kwenye report za CAG kulionekana kuna.ufisadi..? hivi inawezekana kweli Magufuli alikuwa akijipangia bei za kila nyumba..acheni chuki binafsi st.u..pi..d...
Na kumuuzia hawara na ndugu yake ilikuwa maamuzi ya baraza la mawaziri?
 
Omba sana Mungu akupe akili japo kidogo. Anayeweza kuandika hiki ulichoandika hapa ni mtu mwenye akili za kuvukia barabara tu.
waliompiga TLissu anawajua yeye mwenyewe na dereva wake aliyemficha nadhani..aje polisi atoe ushahidi atuambie hata sura zai zinafananaje basi..amebaki anarukaruka kama kishada kwenye nchi za watu tu.. sijawahi sikia kashfa ya uuzaji wa nyumba kuhusiana na bei..wengi wanalalamikia maamuzi tu ya kuamua kuuza nyumba za serikali labda hayakuwa maamuzi sahihi kwa.wakati ule..huo ni mtazamo wa nje huku sisi wananchi..lakini inawezekana kwa mtazamo wa ndani wa serikali inawezekana walikuwa na sababu za msingi. za kwanini. walifanya.hivyo..sawa jomba

Sent using Jamii Forums mobile app
 

CAG hakumtaja Sumaye... Hayo ni mawazo ya kwako
Kwanza kabisa muelewa wadau.ulikuwa ni uamuzi wa baraza la mawaziri. Alafu kila nyumba iliuzwa kulingana na thamani yake na eneo ilipo. Hizi nyumba mfano kule mwanza isamilo nyingi zilikuwa zimechakaa na hata zilikuwa zinavuja maana zilikuwa zimeezekwa kwa vigae. Alafu walipita wataalamu kufanya valuation ya kila nyumba ili kupanga bei. Kumhusisha mkuu na hili suala ni kumuonea tu. Wa kulaumiwa ni Sumae ambae alikuwa waziri mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

CAG hakumtaja Sumaye... Hayo ni mawazo ya kwako
Kwanza kabisa muelewa wadau.ulikuwa ni uamuzi wa baraza la mawaziri. Alafu kila nyumba iliuzwa kulingana na thamani yake na eneo ilipo. Hizi nyumba mfano kule mwanza isamilo nyingi zilikuwa zimechakaa na hata zilikuwa zinavuja maana zilikuwa zimeezekwa kwa vigae. Alafu walipita wataalamu kufanya valuation ya kila nyumba ili kupanga bei. Kumhusisha mkuu na hili suala ni kumuonea tu. Wa kulaumiwa ni Sumae ambae alikuwa waziri mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

CAG hakumtaja Sumaye... Hayo ni mawazo ya kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
Usikurupuke hayo mahojiano ya CAG ni ya mwaka 2014 kabla hata JPM hajaingia madarakani.CAG aliyepita kwenye mahojiano hayo amezungumzia kwa ujumla watu ambao wanaingia kwenye siasa ili kwenda kupiga madili. Kama uuzwaji wa nyumba ulikuwa na kasoro sio lawama apewe JPM maana cabinet ilikubali. Na cabinet ndio chombo chenye mamlaka ya kumshauri rais katika kutekeleza mamlaka yake.

CAG hakumtaja Sumaye... Hayo ni mawazo ya kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 

CAG hakumtaja Sumaye...
Wakati ule boss wa Magufuli alikuwa Sumaye ambae kidogo mmpe madaraka,

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah... wewe unachekesha watu. Kwa huyo wewe ukitumwa ukapige mtu Risasi then wewe hutokuwa na hatia ila yule aliyekutuma?
Usikurupuke hayo mahojiano ya CAG ni ya mwaka 2014 kabala hata JPM hajaingia madarakani.CAG aliyepita kwenye mahojiano hayo amezungumzia kwa ujumla watu ambao wanaingia kwenye siasa ili kwenda kupiga madili. Kama uuzwaji wa nyumba ulikuwa na kasoro sio lawama apewe JPM maana cabinet ilikubali. Na cabinet ndio chombo chenye mamlaka ya kumshauri rais katika kutekeleza mamlaka yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sometime time Lukuvi namuelewa lakini wakati mwingine ni Ngumu kumuelewa
 
Mada iliyoko mezani si ni nyumba za serikali kuuzwa kwa bei ya kutupwa? Wee unaona vizuri mahawara kugawiwa nyumba zetu kama njugu? Nakuuliza wewe chiroptera na duck billed platypus
Ilikuwa huwezi ukapata nyumba ya NHC bila kuwa na pesa. Baadae wakauziwa kwa bei ya kutupwa. Hili halilalamikiwi isipokuwa kwa hawa waliouziwa nyumba hizo ambao ni maskini kiasi kuwa wanalipia deni hilo la ununuzi kutoka pesa ya kustaafu. Zote zilalamikiwe kwa kuuzwa maana zote za serikali
 

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengi humu wamebakiza ushabiki na chuki.hawaweki facts.
Maana mchakato mzima wa kuuza hizo nyumba ulikuwa wazi na hoja kubwa ilikuwa kwamba nyumba zimechakaa hivyo serikali inatakiwa ijenge nyumba mpya kwa ajili ya viongozi. Baraza la mawaziri ndio lilikubali kuuzwa nyumba hizi. Waziri mkuu alikuwa F .Sumaye
 
Back
Top Bottom