Nimesha kusoma mkuu kama Ulaya nilishawshi kuziona hizo ebu nizifustilie zaidi kama soko linaeleweka.Lengo la mtandao wa airbnb sio ku target wamakonde waliokuzunguka tu, ni kumjulisha kila mtu aliyepo duniani kuwa una nyumba anayoweza kufikia na kufanya shughuli zake kwa siku kadhaa ila unamkodishia kwa kiasi fulani. Locals wengi hupenda kutumia hizi nyumba kama sehemu ya kufanyia starehe tu ama kupata faragha ya mapumziko. Mtu anaweza kuwa anaishi mwenge akatafuta nyumba ya airbnb iliyoko goba aka chill yeye binafsi ama na washkaji zake wakale bata tu.
Mkuu guest hapana na sipendi sijui kwasbb ya watu wa hapa kuzitumia sivyo ndo maana nazichukia.Labda ujenge lodge mzee watu wanadinyana sana..utapata zaidi ya mil2 kwa mwezi
Ingia google andika air bnb utazipata.Naomba unielekeze app zao ni jifunze zaidi naona ni bonge la fursa.
Mkuu inflation ya miaka 10 hapa Tanzania sio mchezo hiyo pesa haitakua na value.500,000*12=6M*10yrs=60M
Real estate kadri muda unavyoenda kwenye eneo potential inaongezeka thamani.500,000*12=6M*10yrs=60M
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti bajaji 10, hapo unamanisha umeajiri vijana wa sumbufu 10, unajua stress za hiyo kozi, uchukue 60m uwape vijana wasio kua na anwani ya kudumu wasio kua na la kupoteza hiyo sio biashara mzee tunakimbia huko huko.Nunua bajaji 10
Kila moja inakupa 20,000 X 10 = 200,000/- per day
Fungua hardwareNi kweli hilo linawezakana ila faida ndogo sana 60m kunipa 1m kila mwenzi tena kuna mantainance ya nyumba nk.
Au unaogopa dhambi unakuta kibinti sana na mwanao anaongozana na libaba kama wewe bila aibu kwenda kufanya ngonoMkuu guest hapana na sipendi sijui kwasbb ya watu wa hapa kuzitumia sivyo ndo maana nazichukia.
Iweke kwenye government bonds ya 25yrs ambayo riba yake Ni 15.26% kwa mwaka. Tumia bond kopa mkopo around 80% benki Jenga nyumba. Anza kula Kodi ya nyumba, na like gawio la bond litalipa mkopo. At the end utakuwa na nyumba na iyo 60M bado utakuwa nayo ukiweka na inflation factor labda inaweza ikawa Ni 35-45M for time to comeWenye kuwekeza uzoefu na ujuzi kwenye real estate bussiness ni kweli 60m naweza kujenga rentals za kunipa 2m per months kama kodi, kiwanja kipo dar es salam maeneo ya Goba.
Nijengo la aina gani ambalo linaweza kuleta faida hiyo chumba sembure au vyumba self. Au compelete house, frames haizekani sio sehemu sahihi.
Nimesha pata app yao ila nyumba wanazo tangaza nikama hotels ziko beach sio za makapuku ziko kwenye dollors na pound £500 na kuendelea makonde wetu hawawezi kutoa na 60m haziwezi kutengeneza zile nyumba ni za kifahari sanaa.Ingia google andika air bnb utazipata.
Zipo dunian nzima ukigoogle za mji wowote duniani unapata.
Play store zipo app zake.
Ni cheap kuliko hotel
Mambo sio rahisi kama mnavo simuliwa ulishawshi kununua hizo bond, miaka mitano unafikiri ni wiki tano.Iweke kwenye government bonds ya 25yrs ambayo riba yake Ni 15.26% kwa mwaka. Tumia bond kopa mkopo around 80% benki Jenga nyumba. Anza kula Kodi ya nyumba, na like gawio la bond litalipa mkopo. At the end utakuwa na nyumba na iyo 60M bado utakuwa nayo ukiweka na inflation factor labda inaweza ikawa Ni 35-45M for time to come
Hardware ya 60M ikupe 100k as profit kwa siku na kwa mwenzi jumla M3 hamna hamna M2 ......utani huu.Hiyo pesa ndogo sanaa bora nifungue hardware shop katika maeneo kama mbezi makabe au mpigi magoe sehemu ambazo azijaendelea sanaa kwa hiyo 60 m huwezi kukosa 100k kama faida kwa siku, mchawi mda au kijana mfanya kazi.
Unataka kufanya biashara unayopenda au biashara yenye hera?Mkuu guest hapana na sipendi sijui kwasbb ya watu wa hapa kuzitumia sivyo ndo maana nazichukia.
Mkuu nyumba ya mil60 kodi haizidi laki5..nyumba ya kulipa mil2 ni nyumba ya kifahari sio chini ya mil200Mkuu guest hapana na sipendi sijui kwasbb ya watu wa hapa kuzitumia sivyo ndo maana nazichukia.
Sio lazima iwe beach kiongozi ila eneo pia linachangiaNimesha pata app yao ila nyumba wanazo tangaza nikama hotels ziko beach sio za makapuku ziko kwenye dollors na pound £500 na kuendelea makonde wetu hawawezi kutoa na 60m haziwezi kutengeneza zile nyumba ni za kifahari sanaa.
Just perception, beliefs and thoughts make us different,I think so.Mambo sio rahisi kama mnavo simuliwa ulishawshi kununua hizo bond, miaka mitano unafikiri ni wiki tano.