Nyumba za 60m zinaweza kuleta 2m kila mwezi kama kodi?

Nyumba za 60m zinaweza kuleta 2m kila mwezi kama kodi?

Sio lazima iwe beach kiongozi ila eneo pia linachangia
Mfano kama una kiwanja tayari maeneo kama mikocheni kigamboni etc unaweza kujenga nyumba 2 ukaweka airbnb kwa $75 kwa siku @ ndani ya mwaka miaka 2 unakuwa upo pazuri
Airbnb kwa mwezi mzima unaweza pata wateja kwa siku 7 tu, kukata mwezi bila wateja inawezekana. Alafu maintenance cost ya Airbnb ni kubwa sana, kila siku wanaingia wavuta shisha, mashoga, wasagaji, wapenzi, wazinzi, wahuni, matapeli na wachache ndio raia wema hapa kibongobongo. Hao kuvunja na kufanya uharibifu ni rahisi tu, si anakaa siku mbili tatu.

Unavyopiga hesabu ya mwaka sivyo.
 
Wenye kuwekeza uzoefu na ujuzi kwenye real estate bussiness ni kweli 60m naweza kujenga rentals za kunipa 2m per months kama kodi, kiwanja kipo dar es salam maeneo ya Goba.
Nijengo la aina gani ambalo linaweza kuleta faida hiyo chumba sembure au vyumba self. Au compelete house, frames haizekani sio sehemu sahihi.
In short term huwez recover au break even hio investment ako, hardly ni 400k per month
 
Airbnb kwa mwezi mzima unaweza pata wateja kwa siku 7 tu, kukata mwezi bila wateja inawezekana. Alafu maintenance cost ya Airbnb ni kubwa sana, kila siku wanaingia wavuta shisha, mashoga, wasagaji, wapenzi, wazinzi, wahuni, matapeli na wachache ndio raia wema hapa kibongobongo. Hao kuvunja na kufanya uharibifu ni rahisi tu, si anakaa siku mbili tatu.

Unavyopiga hesabu ya mwaka sivyo.
Nilivyosema kwa mwaka siku maanisha kwamba kila siku itakuwa inajaa
Siku 7 kwa mwezi kwa nyumba 2 za $75 kwa siku bado ni pesa nzuri tuu
 
20240405_160115_063025.jpg

kuna hiki kiwanja hapa kipo... karibia na kitunda, kivule kilomita chache ukiwa unatokea banana.... kina ukubwa wa MITA 25*30 kinahitaji 25m tu...!

20240405_160232_062744-jpg.2955808


urefu wake ni kuanzia hiyo nguzo u nayo iona hadi ile nguzo ya juu kule ya umeme...namba za anae uza ni 0759170794
 

Attachments

  • 20240405_160232_062744.jpg
    20240405_160232_062744.jpg
    2.6 MB · Views: 30
Nilivyosema kwa mwaka siku maanisha kwamba kila siku itakuwa inajaa
Siku 7 kwa mwezi kwa nyumba 2 za $75 kwa siku bado ni pesa nzuri tuu
Hapo unataka mtu alipe 180,000 per day kwa chumba ambacho bado hajapika, kipo Goba ndanindani uko ambapo bado hajasafiri. Wakati muda huohuo angechukua 4 star hotel akalala juu na akiwa na breakfast na sehemu ya karibu kufikika. Ngumu kiasi chake
 
Hapo unataka mtu alipe 180,000 per day kwa chumba ambacho bado hajapika, kipo Goba ndanindani uko ambapo bado hajasafiri. Wakati muda huohuo angechukua 4 star hotel akalala juu na akiwa na breakfast na sehemu ya karibu kufikika. Ngumu kiasi chake
Sijasema chumba bali nyumba
 
Iweke kwenye government bonds ya 25yrs ambayo riba yake Ni 15.26% kwa mwaka. Tumia bond kopa mkopo around 80% benki Jenga nyumba. Anza kula Kodi ya nyumba, na like gawio la bond litalipa mkopo. At the end utakuwa na nyumba na iyo 60M bado utakuwa nayo ukiweka na inflation factor labda inaweza ikawa Ni 35-45M for time to come
Bond za serikali zinasoma 12%
 
Iweke kwenye government bonds ya 25yrs ambayo riba yake Ni 15.26% kwa mwaka. Tumia bond kopa mkopo around 80% benki Jenga nyumba. Anza kula Kodi ya nyumba, na like gawio la bond litalipa mkopo. At the end utakuwa na nyumba na iyo 60M bado utakuwa nayo ukiweka na inflation factor labda inaweza ikawa Ni 35-45M for time to come
Nimepitia comment nyingi...hapa Jamaa umetumia akili Mingi sana

Ukiweka bond unaendelea Pata maokoto mfano umempigia Kwa miaka Kumi Kwa laki5 anaweza kupata hiyo 60mio aliyowekeza

Then ana baki Na principal amount yake..Na nyumba zake zipo
 
Inakua kama guest house sawa nimekuelewa ila hapa wamakonde wa kwetu hapa sidhani kama wanaweza kukodi nyumba kwa wiki hiyo haitawezekana tutaua mtaji bure mkuu
Wabongo maskini wapo ila kwenye pesa za starehe wengi wanazo mkuu wala hata usitilie shaka. Maana airbnb hapo target ni usafi tu na privacy. Nyumba ikiwekwa online ukawa ume set mauzo yako yawe weekends unapiga pesa vizuri tu. Tena gharama wala isiwe kubwa ili hata watoto wa chuo wawe wanamudu.

Jengo la kisasa room kubwa moja self na sebule ya open kitchen hapo umemaliza. Mtu akija kulala aache 50k ya kitanzania kila siku moja anayolala kila kitu kimo ndani.
 
Back
Top Bottom