Nyumba za 60m zinaweza kuleta 2m kila mwezi kama kodi?

Nyumba za 60m zinaweza kuleta 2m kila mwezi kama kodi?

factor kubwa ya kupanga nyumba kwa kodi kubwa ni location.

milioni 60 ukijenga vyumba master maeneo ya kurasini, sinza, ubungo, mwenge, kinondoni una uwezo wa kupata kodi zaidi ya milioni 3 kwa mwezi.

sababu kuu ni location ina wateja wengi
Sasa hayo maeneo kiwanja unakipataje bila kuwa na million 300?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti bajaji 10, hapo unamanisha umeajiri vijana wa sumbufu 10, unajua stress za hiyo kozi, uchukue 60m uwape vijana wasio kua na anwani ya kudumu wasio kua na la kupoteza hiyo sio biashara mzee tunakimbia huko huko.
Anachukulia simple sana😂 kijana anawaza apate 20k akagonge malaya na kunywa visungura. Mtaumizana vichwa tu. Bajaji mpe mtu mzima mwenye majukumu utaipenda.
 
Airbnb kwa mwezi mzima unaweza pata wateja kwa siku 7 tu, kukata mwezi bila wateja inawezekana. Alafu maintenance cost ya Airbnb ni kubwa sana, kila siku wanaingia wavuta shisha, mashoga, wasagaji, wapenzi, wazinzi, wahuni, matapeli na wachache ndio raia wema hapa kibongobongo. Hao kuvunja na kufanya uharibifu ni rahisi tu, si anakaa siku mbili tatu.

Unavyopiga hesabu ya mwaka sivyo.
Sasa hapo kuvunja maana yake si lazma uwalipishe uharibifu. Bila hivyo utafanya biashara kichaa tu
 
Hardware ya 60M ikupe 100k as profit kwa siku na kwa mwenzi jumla M3 hamna hamna M2 ......utani huu.
Kwenye hardware faida ya 100k inawezekana hasa ukiiiweka kwenye maeneo ya saiti watu wanapojenga.
Bidhaa za kwenye hardware faida yake ni kubwa sana ukipata sehemu yenye mzunguko mzuri laki 1 kwa siku ni hela ndogo sana
 
Sasa hapo kuvunja maana yake si lazma uwalipishe uharibifu. Bila hivyo utafanya biashara kichaa tu
Kwahiyo uko zako Mbezi kila aliyekodi Airbnb yako akiondoka Bunju unaenda kagua sinki na vyoo kama havijaziba. Kifaa kikiharibika hata huoni kirahisi, au aki-abuse vifaa mfano umeweka maji anafungulia mpaka mwisho au kaja amelewa anaacha yanamwagika.

Ni sawa na kugawa gari lako hovyo kwa mikono tofauti ukiamini kila atakayerudisha utakagua. Subiri majibu kwenye maintenance cost
 
Ritani ya real estate bongo ipo chini sana labda kama upo kwenye "prime area" au uwe eneo la biashara kama hizi frames barabarani tofauti na hapo pesa huwa inarudi kuanzia miaka 10 huko yaani 10% kwa mwaka, (Duniani kote average return on investment kwenye real estate is 8 to 10%).

Maana yake nyumba ya 60m utapata maximum ya 6m kwa mwaka ambayo ni 500k kwa mwezi. Haina tofauti na UTT.

Ila kama una mtaji mkubwa na unazo nyingi sio tatizo maana ni low risk investment isiyo na usumbufu ila sio ya kukupa faida kubwa Inasaidia pia kukuza mtaji unaweza kukopea ukaongeza nyingine.
 
Wenye kuwekeza uzoefu na ujuzi kwenye real estate bussiness ni kweli 60m naweza kujenga rentals za kunipa 2m per months kama kodi, kiwanja kipo dar es salam maeneo ya Goba.
Nijengo la aina gani ambalo linaweza kuleta faida hiyo chumba sembure au vyumba self. Au compelete house, frames haizekani sio sehemu sahihi.
Jenga danguro
 
Back
Top Bottom