Sasa hayo maeneo kiwanja unakipataje bila kuwa na million 300?factor kubwa ya kupanga nyumba kwa kodi kubwa ni location.
milioni 60 ukijenga vyumba master maeneo ya kurasini, sinza, ubungo, mwenge, kinondoni una uwezo wa kupata kodi zaidi ya milioni 3 kwa mwezi.
sababu kuu ni location ina wateja wengi
Lodge ndio hesabu nyepesi ila still itakuwa na vyumba vichache. Huwezi kujenga lodge ya vyumba 10 kwa hio pesa. Hio hela ni hardly 4 bedrooms.Labda ujenge lodge mzee watu wanadinyana sana..utapata zaidi ya mil2 kwa mwezi
Bajaji moja ni 12M kwa sasa how the hell atapata bajaji 10? Akipambana sana atapata 6 bajaji mpya kwa bei ya kiwandani.Nunua bajaji 10
Kila moja inakupa 20,000 X 10 = 200,000/- per day
Anachukulia simple sana😂 kijana anawaza apate 20k akagonge malaya na kunywa visungura. Mtaumizana vichwa tu. Bajaji mpe mtu mzima mwenye majukumu utaipenda.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti bajaji 10, hapo unamanisha umeajiri vijana wa sumbufu 10, unajua stress za hiyo kozi, uchukue 60m uwape vijana wasio kua na anwani ya kudumu wasio kua na la kupoteza hiyo sio biashara mzee tunakimbia huko huko.
Sasa hapo kuvunja maana yake si lazma uwalipishe uharibifu. Bila hivyo utafanya biashara kichaa tuAirbnb kwa mwezi mzima unaweza pata wateja kwa siku 7 tu, kukata mwezi bila wateja inawezekana. Alafu maintenance cost ya Airbnb ni kubwa sana, kila siku wanaingia wavuta shisha, mashoga, wasagaji, wapenzi, wazinzi, wahuni, matapeli na wachache ndio raia wema hapa kibongobongo. Hao kuvunja na kufanya uharibifu ni rahisi tu, si anakaa siku mbili tatu.
Unavyopiga hesabu ya mwaka sivyo.
Boss, bajaji ni 12m? tangu liniBajaji moja ni 12M kwa sasa how the hell atapata bajaji 10? Akipambana sana atapata 6 bajaji mpya kwa bei ya kiwandani.
Nazungumzia bajaji sio TVSBoss, bajaji ni 12m? tangu lini
Bwashee Bajaj moja si 7m auNazungumzia bajaji sio TVS
500000 ilikuwa enzi zile za JK.Hapo utapata maximum 500,000 Kwa mwezi
Kwenye hardware faida ya 100k inawezekana hasa ukiiiweka kwenye maeneo ya saiti watu wanapojenga.Hardware ya 60M ikupe 100k as profit kwa siku na kwa mwenzi jumla M3 hamna hamna M2 ......utani huu.
Hiyo 500000 ni maximum500000 ilikuwa enzi zile za JK.
Kwa sasa nyumba ya milioni 60 itamletea kati ya 250k-300k
Ni bei gani kwasiku au kwa mwezi?Zipo bongo.
Diaspora wanazijenga sana Arusha na maeneo yanayopokea wanafunzi wa kizungu wanaokuja field bongo miezi miwili au mitatu
Kwahiyo uko zako Mbezi kila aliyekodi Airbnb yako akiondoka Bunju unaenda kagua sinki na vyoo kama havijaziba. Kifaa kikiharibika hata huoni kirahisi, au aki-abuse vifaa mfano umeweka maji anafungulia mpaka mwisho au kaja amelewa anaacha yanamwagika.Sasa hapo kuvunja maana yake si lazma uwalipishe uharibifu. Bila hivyo utafanya biashara kichaa tu
Bond za serikali zinasoma 12%hapana kwa miaka 25 ni 15.95 pct
Jenga danguroWenye kuwekeza uzoefu na ujuzi kwenye real estate bussiness ni kweli 60m naweza kujenga rentals za kunipa 2m per months kama kodi, kiwanja kipo dar es salam maeneo ya Goba.
Nijengo la aina gani ambalo linaweza kuleta faida hiyo chumba sembure au vyumba self. Au compelete house, frames haizekani sio sehemu sahihi.
Danguro tena mkuu, hapana hiyo sio option.Jenga danguro
Utt huwa ni miaka mingap mkuu?Ukiweka UTT Liquid Fund hapo unakunja 600k kwa mwezi😂