Nyumba zaidi ya 30 za Kitanzania ambazo waweza chagua kujenga kulingana na bajeti yako

Nyumba zaidi ya 30 za Kitanzania ambazo waweza chagua kujenga kulingana na bajeti yako

Mkuu unamaanisha hiyo milioni 16 nyumba inatoka kama hiyo ya kwenye picha...?

Nikimaanisha kila kitu kinakuwa tayari bado kuhamia tu au inakuwa bado finishing kiongozi...?
Hiyo inakuwa MSINGI, KUTA, PLASTA na PAA tuu

Bila finishing
Pia
(Hiyo bei ni jumla ya vifaa+ufundi)

PIA TUNAZO RAMANI ZA NYUMBA NYINGINE ZAIDI YA 300 UNAZOWEZA PATA NA UZIJENGE POPOTE TANZANIA NA AFRIKA

Tunazo Ramani nyingi zaidi ya 300 zenye picha, michoro, makisio gharama ambazo unaweza chagua na kuzinunua... Ramani zetu tunauza nchi zote Afrika na baadhi worldwide kwa kupitia website zetu... siwezi weka link hapa sababu nitakuwa-banned

Ila

Fanya Hivi Kuchagua na Kupata Ramani Zetu

[emoji116][emoji116][emoji116]

[emoji117] Nenda Google search: MAKAZI RAMANI

[emoji117] Nenda Play Store pakua App yetu: MAKAZI RAMANI

[emoji117] Nenda YouTube channel: MAKAZI NETWORK

Au

Nione WhatsApp nikupe links ktk namba: +255-657-685-268
 
PIA TUNAZO RAMANI ZA NYUMBA NYINGINE ZAIDI YA 300 UNAZOWEZA PATA NA UZIJENGE POPOTE TANZANIA NA AFRIKA
Tunazo Ramani nyingi zaidi ya 300 zenye picha, michoro, makisio gharama ambazo unaweza chagua na kuzinunua.....
 
sasa kweli chumba kimoja cha kulala, dining ya nini sasa?
ukiwa single lia ata kitandani kwako tu.

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Boss hiyo nafasi ya dining ni ndogo fulani


PATA RAMANI ZA NYUMBA
Tunazo Ramani nyingi zaidi ya 300 zenye picha, michoro, makisio gharama ambazo unaweza chagua na kuzinunua... Ramani zetu tunauza nchi zote Afrika na baadhi worldwide kwa kupitia website zetu... siwezi weka link hapa sababu nitakuwa-banned
Ila
Fanya Hivi Kuchagua na Kupata Ramani Zetu
👇👇👇

👉 Nenda Google search: MAKAZI RAMANI
👉 Nenda Play Store pakua App yetu: MAKAZI RAMANI
👉 Nenda YouTube channel: MAKAZI NETWORK

Au

Nione WhatsApp nikupe links ktk namba: +255-657-685-268
 
Good idea...

Kwamba 8m inajenga nyumba imara kabisa
Yes boss... Ila pia tunazo nyumba nyingine kubwa

PIA TUNAZO RAMANI ZA NYUMBA NYINGINE ZAIDI YA 300 UNAZOWEZA PATA NA UZIJENGE POPOTE TANZANIA NA AFRIKA
Tunazo Ramani nyingi zaidi ya 300 zenye picha, michoro, makisio gharama ambazo unaweza chagua na kuzinunua... Ramani zetu tunauza nchi zote Afrika na baadhi worldwide kwa kupitia website zetu... siwezi weka link hapa sababu nitakuwa-banned
Ila
Fanya Hivi Kuchagua na Kupata Ramani Zetu
👇👇👇

👉 Nenda Google search: MAKAZI RAMANI
👉 Nenda Play Store pakua App yetu: MAKAZI RAMANI
👉 Nenda YouTube channel: MAKAZI NETWORK

Au

Nione WhatsApp nikupe links ktk namba: +255-657-685-268
 
Wazo zuri...
Karibu boss


PIA TUNAZO RAMANI ZA NYUMBA NYINGINE ZAIDI YA 300 UNAZOWEZA PATA NA UZIJENGE POPOTE TANZANIA NA AFRIKA
Tunazo Ramani nyingi zaidi ya 300 zenye picha, michoro, makisio gharama ambazo unaweza chagua na kuzinunua... Ramani zetu tunauza nchi zote Afrika na baadhi worldwide kwa kupitia website zetu... siwezi weka link hapa sababu nitakuwa-banned
Ila
Fanya Hivi Kuchagua na Kupata Ramani Zetu
👇👇👇

👉 Nenda Google search: MAKAZI RAMANI
👉 Nenda Play Store pakua App yetu: MAKAZI RAMANI
👉 Nenda YouTube channel: MAKAZI NETWORK

Au

Nione WhatsApp nikupe links ktk namba: +255-657-685-268
 
Kwa nilivyosoma hapo, hiyo bei iliyowekwa inajumuisha Design+Map+Foundation+Wall+Roof. Kwa kifupi hizo gharama zinaishia kwenye kupaua tu.
Upo sahihi boss...

Ni jumla ya VIFAA+UFUNDI kujenga MSINGI, KUTA, PLASTA NA PAA

ila
Haijumuishi Ramani ya nyumba


PIA TUNAZO RAMANI ZA NYUMBA NYINGINE ZAIDI YA 300 UNAZOWEZA PATA NA UZIJENGE POPOTE TANZANIA NA AFRIKA

Tunazo Ramani nyingi zaidi ya 300 zenye picha, michoro, makisio gharama ambazo unaweza chagua na kuzinunua... Ramani zetu tunauza nchi zote Afrika na baadhi worldwide kwa kupitia website zetu... siwezi weka link hapa sababu nitakuwa-banned

Ila

Fanya Hivi Kuchagua na Kupata Ramani Zetu

[emoji116][emoji116][emoji116]


[emoji117] Nenda Google search: MAKAZI RAMANI

[emoji117] Nenda Play Store pakua App yetu: MAKAZI RAMANI

[emoji117] Nenda YouTube channel: MAKAZI NETWORK


Au


Nione WhatsApp nikupe links ktk namba: +255-657-685-268
 
Heading amesema unahamia kwa gharama ya 8m.

Sasa hii hoja yako hebu inyooshe
Hello mkuu

Kitanzania ukishajenga MSINGI, KUTA, PLASTA NA PAA yaani BOMA la nyumba unaweza hamia kisha
Finishing ukawa unaifanya huku upo ndani

Binafsi naona maelezo na heading ya thread yangu yapo sawa na yapo zaidi kumpa mtu hamasa aone anaweza jenga

PIA TUNAZO RAMANI ZA NYUMBA NYINGINE ZAIDI YA 300 UNAZOWEZA PATA NA UZIJENGE POPOTE TANZANIA NA AFRIKA

Tunazo Ramani nyingi zaidi ya 300 zenye picha, michoro, makisio gharama ambazo unaweza chagua na kuzinunua... Ramani zetu tunauza nchi zote Afrika na baadhi worldwide kwa kupitia website zetu... siwezi weka link hapa sababu nitakuwa-banned

Ila

Fanya Hivi Kuchagua na Kupata Ramani Zetu

[emoji116][emoji116][emoji116]


[emoji117] Nenda Google search: MAKAZI RAMANI

[emoji117] Nenda Play Store pakua App yetu: MAKAZI RAMANI

[emoji117] Nenda YouTube channel: MAKAZI NETWORK

Au

Nione WhatsApp nikupe links ktk namba: +255-657-685-268
 
Mkuu kwa uzoefu wangu katika ujenzi siku zote gharama za ujenzi hutegemea;
1. Landscape ya kiwanja chako kama kipo tambarare, bondeni au kilimani.
2. Umbali na upatikanaji wa materials kama maji, mchanga, kokoto, cements, mbao, mabati, nondo n.k hadi kufika hapo site kwako.

ANGALIZO.
Usiaminishe watu bei za kitonga mwisho wa siku ukaja kuonekana tapeli na ukizingatia bei ya materials hivisasa ipo juu.
Upo sahihi boss... Hizo kitaalamu zinaitwa variations na haziepukiki...
Ila
Variations hazitakiwi kuwa kikwazo cha kutowapatia Wateja wetu HINTS za nyumba zetu ambazo tumeandaa

Kikawaida mteja akija kwako kuuliza bei ya kujenga nyumba fulani ambayo umeandaa alafu ukasema sijui au ukaanza kuleta utaalamu mwingi... Itakuwa sio njia njema ya kudeal na mteja wako wa kawaida...

Lkn cha mwisho gharama za ujenzi Tanzania mikoa yote haziyofautiani sana... Average zipo sawa.
- tulishawahi andaa design moja ya nyumba na tukaandaa kabisa BoQ yake
--- kujenga Dar ilikuwa 42Mil
--- kujenga Mwanza ilikuwa 40Mil
--- kujenga Njombe ilikuwa 39Mil
So, kwa nyumba ile mteja akiiulizia gharama za awali sio mbaya kumwambia 40Mil

Have nice work sir

PIA TUNAZO RAMANI ZA NYUMBA NYINGINE ZAIDI YA 300 UNAZOWEZA PATA NA UZIJENGE POPOTE TANZANIA NA AFRIKA
Tunazo Ramani nyingi zaidi ya 300 zenye picha, michoro, makisio gharama ambazo unaweza chagua na kuzinunua... Ramani zetu tunauza nchi zote Afrika na baadhi worldwide kwa kupitia website zetu... siwezi weka link hapa sababu nitakuwa-banned

Ila

Fanya Hivi Kuchagua na Kupata Ramani Zetu

[emoji116][emoji116][emoji116]


[emoji117] Nenda Google search: MAKAZI RAMANI

[emoji117] Nenda Play Store pakua App yetu: MAKAZI RAMANI

[emoji117] Nenda YouTube channel: MAKAZI NETWORK

Au

Nione WhatsApp nikupe links ktk namba: +255-657-685-268
 
M8 kwa room moja sawa
Yes... 8Mil unajenga CHUMBA KIMOJA, SEBULE-DINING-JIKO na CHOO

Pia hiyo ni jumla ya gharama za VIFAA+UFUNDI






PIA TUNAZO RAMANI ZA NYUMBA NYINGINE ZAIDI YA 300 UNAZOWEZA PATA NA UZIJENGE POPOTE TANZANIA NA AFRIKA

Tunazo Ramani nyingi zaidi ya 300 zenye picha, michoro, makisio gharama ambazo unaweza chagua na kuzinunua... Ramani zetu tunauza nchi zote Afrika na baadhi worldwide kwa kupitia website zetu... siwezi weka link hapa sababu nitakuwa-banned

Ila

Fanya Hivi Kuchagua na Kupata Ramani Zetu

[emoji116][emoji116][emoji116]


[emoji117] Nenda Google search: MAKAZI RAMANI

[emoji117] Nenda Play Store pakua App yetu: MAKAZI RAMANI

[emoji117] Nenda YouTube channel: MAKAZI NETWORK


Au


Nione WhatsApp nikupe links ktk namba: +255-657-685-268
 
Ila nyie watu wa ajabu Sana,wateja wenu Ni waswahili wa bongo ,lakini kwenye matangazo ya Bei eti umeweka dola!!
Tumeweka TANZANIA SHILINGI na DOLA...

Pia sisi tunatoa huduma za Ramani za nyumba kwa nchi za Afrika zote... So nao wanapenda kujua makisio gharama kabla ya kujenga. Nchi kama Kenya, Uganda, DRC, Equatorial Guinea, Ghana....

PIA TUNAZO RAMANI ZA NYUMBA NYINGINE ZAIDI YA 300 UNAZOWEZA PATA NA UZIJENGE POPOTE TANZANIA NA AFRIKA

Tunazo Ramani nyingi zaidi ya 300 zenye picha, michoro, makisio gharama ambazo unaweza chagua na kuzinunua... Ramani zetu tunauza nchi zote Afrika na baadhi worldwide kwa kupitia website zetu... siwezi weka link hapa sababu nitakuwa-banned

Ila

Fanya Hivi Kuchagua na Kupata Ramani Zetu

[emoji116][emoji116][emoji116]

[emoji117] Nenda Google search: MAKAZI RAMANI

[emoji117] Nenda Play Store pakua App yetu: MAKAZI RAMANI

[emoji117] Nenda YouTube channel: MAKAZI NETWORK

Au

Nione WhatsApp nikupe links ktk namba: +255-657-685-268
 
Mkuu nimeenda playstore nikisearch sipati makazi ramani, na makazi na nyingine nyingine
Hivi hapa
Screenshot_2022-01-12-10-06-25.jpg
 
Back
Top Bottom