raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
8biln alafu bado niendelee kukwepa maguta barabarani hapana aisee ππ π π π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
8biln alafu bado niendelee kukwepa maguta barabarani hapana aisee ππ π π π
Utaki kua jirani na Mama mkuuπ π π8biln alafu bado niendelee kukwepa maguta barabarani hapana aisee π
Masaki unangoa nyumba 2 na plot size ya sqmt 4060 yani eka moja..kwa 8bn unamiliki eka 2 masaki$ 3 million ni kama bilioni 8 Tshs. π€Έπ€Έ
Pesa sio mchezoMasaki unangoa nyumba 2 na plot size ya sqmt 4060 yani eka moja..kwa 8bn unamiliki eka 2 masaki
Hapana mkuu 320 utoboiHii nyumba hata tshs bil 1 huwezi pata mteja na sio nyumba ya kifahari hii, nyumba kama godown kwa nje, hivi hata kujua thamani halisi ya nyumba hamjui..!! Hii nyumba najenga kwa tshs mil 320 tena yenye structure nzuri kuliko hiiβ¦!!
Naunga mkono hoja ila milion 320M pengine kiwanja tu cha squre metre 2000 , Mbweni hupatiHii nyumba hata tshs bil 1 huwezi pata mteja na sio nyumba ya kifahari hii, nyumba kama godown kwa nje, hivi hata kujua thamani halisi ya nyumba hamjui..!! Hii nyumba najenga kwa tshs mil 320 tena yenye structure nzuri kuliko hiiβ¦!!
Naunga mkono hoja hili tangazo apeleke Twitter kule naona Kuna madon wengi humu Kuna ma keyboard warriors tuKapunguza ukali wa Namba, usione kama anakufokea, kwa hio figure ungehisi anaingilia utu wako.
ExactlyNaunga mkono hoja ila milion 320M pengine kiwanja tu cha squre metre 2000 , Mbweni hupati
Uko sawa kabisa mkuu, huku Kuna makabwela na wajuaji sana plus matapeliNaunga mkono hoja hili tangazo apeleke FB kule naona Kuna madon wengi humu Kuna ma keyboard warriors tu