binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Mtutoroke huu uchumi wa kati mnamuachia nani? Na deni la taifa je ? Hebu bakini tusaidiane kulilipa 😂Ndege hatutaenjoy ..twende na boat naskia Sasa hivi Kuna boat sijui meli.mie usafiri wa maji nimeshazoea siogopi. ...twende 28th oct
Haahhaa uchumi wa katiiii...lol...aibu naona Mimi😀😀..hosp kwenyewe dawa hakuna..huo uchumi wakati vipMtutoroke huu uchumi wa kati mnamuachia nani? Na deni la taifa je ? Hebu bakini tusaidiane kulilipa 😂
There you're... tena tutavuka bahari kwa mara ya pili na kuingia Chole Mjini! But don't worry, hii ya mara pili umbali ni mfupi sana; unaweza hata kuogelea hadi upande wa pili!Usisahau kunibeba na mimi
Kuna sehemu sasa wanafanya kama machinjio.Miaka ya 80 nilikuwa daktar wa mifugo hapo lakini hapakuwa na abbatoir yaani machinjio ,!
Mkuu ndo naona hii nw. .duh...mbona kupishana namna hii!..tuko kwa Lisu mkuu ....naomba nije pmLeo mi nipo kiabakari musoma
Sawa mpambanajiAh watu siku zote sehemu yyt sinaga shida nao
Ila hku nlitakaga kurudi kwenye Kazi ya pweza
Maana pweza wengi sana huko, kna Wakat nko hko nlikuwa natuma sana makoki ya pweza feri Sema walikuwa wananopiga nkaachana nao
Nkapataga wasomali fulani walikuwa pugu road
Walikuwa na kampuni yao inaitwa Asmara, walikuwa wanataka nunua pweza na ku export nje ila badaye mambo yao yakaingiliana, wa kaondoka bongo
Mchongo wa kurudi tena mafia ukafa
Ova
Leo mi nipo kiabakari musoma
Hahaa hii safari Chanel wanarudiaga Sana kutangaza vivutio vile vile hata mafia wanaitangaza Sana...
Kama nataka nije kufanya biashara huko, nakuja kuuza au kununua nini ili tukuze uchumi?Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani
View attachment 1554182View attachment 1554183View attachment 1554184View attachment 1554186View attachment 1554188View attachment 1554189View attachment 1554190View attachment 1554191View attachment 1554192View attachment 1554193View attachment 1554195View attachment 1554196View attachment 1554197View attachment 1554198
[
niliwahi kusema hili humu,ile channel wanapaswa waige Discovery channel au National Geographic.yani kwa kifupi hiyo channel hata mimi nikikabidhiwa kwa muda wa mwezi mmoja tu itavutia
wanapaswa kurusha vipindi vya usiku na mchana pamoja na kufanya utafiti kama wanaofanya National Geographic hadi mtu unavitiwa kutizama
Mimi ningekuwa na hela ningeenda kufungua kiwanda Cha samaki...unaachana na mishe za uchuuzi ..!Kama nataka nije kufanya biashara huko, nakuja kuuza au kununua nini ili tukuze uchumi?
Kila siku yaleyale .watakuambia hawana budget...na huku wanawalipa upinzan na kuwalipa wanamuziki 200! Utopolo mno hii nchi
Kwamba unanunua samaki na kusindika ama?Mimi ningekuwa na hela ningeenda kufungua kiwanda Cha samaki...unaachana na mishe za uchuuzi ..!
Kwakweli tuna vivutio vingi Sana ..mno mno! Basi tu wenye nchi wameamua kuchukulia poa..umesema kweli kabisa.hapo ndipo wanakwama,yani unakuta kipindi kinarudiwa mara 20, alafu wao wamekalili kwamba utalii ni wanyama tu wakati tuna vivutio vingi vya Utalii
Yes ...Kw
Kwamba unanunua samaki na kusindika ama?
Kwamba hiyo hotel ipo Mafia?
Sisi wa chato tunao mkuu wasalimie hapo ulipo Waambie chato kunogileee....Hahahahhahha...uchumi wa Kati kwio
Kwakweli tuna vivutio vingi Sana ..mno mno! Basi tu wenye nchi wameamua kuchukulia poa..