Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

Nyumbani ni nyumbani, karibuni Mafia

.
images%20(4).jpg
images%20(1).jpg
20200901_163553.jpg
20200901_163629.jpg
 
Usisahau kunibeba na mimi
There you're... tena tutavuka bahari kwa mara ya pili na kuingia Chole Mjini! But don't worry, hii ya mara pili umbali ni mfupi sana; unaweza hata kuogelea hadi upande wa pili!
 
Ah watu siku zote sehemu yyt sinaga shida nao
Ila hku nlitakaga kurudi kwenye Kazi ya pweza
Maana pweza wengi sana huko, kna Wakat nko hko nlikuwa natuma sana makoki ya pweza feri Sema walikuwa wananopiga nkaachana nao
Nkapataga wasomali fulani walikuwa pugu road
Walikuwa na kampuni yao inaitwa Asmara, walikuwa wanataka nunua pweza na ku export nje ila badaye mambo yao yakaingiliana, wa kaondoka bongo
Mchongo wa kurudi tena mafia ukafa

Ova
Sawa mpambanaji
 
Hahaa hii safari Chanel wanarudiaga Sana kutangaza vivutio vile vile hata mafia wanaitangaza Sana...

niliwahi kusema hili humu,ile channel wanapaswa waige Discovery channel au National Geographic.yani kwa kifupi hiyo channel hata mimi nikikabidhiwa kwa muda wa mwezi mmoja tu itavutia
wanapaswa kurusha vipindi vya usiku na mchana pamoja na kufanya utafiti kama wanaofanya National Geographic hadi mtu unavitiwa kutizama
 
Mkija kutembea mtatuingizia chochote kwenye wilaya yetu ukinunua chochote unakuwa umesaidia katika kukuza uchumi na pia hata ikiwa sio Mimi basi itakuwa kwa mwenye duka karibuni kutalii Mafia atakae na aje ukiwa MTU wa amani

View attachment 1554182View attachment 1554183View attachment 1554184View attachment 1554186View attachment 1554188View attachment 1554189View attachment 1554190View attachment 1554191View attachment 1554192View attachment 1554193View attachment 1554195View attachment 1554196View attachment 1554197View attachment 1554198
[
Kama nataka nije kufanya biashara huko, nakuja kuuza au kununua nini ili tukuze uchumi?
 
niliwahi kusema hili humu,ile channel wanapaswa waige Discovery channel au National Geographic.yani kwa kifupi hiyo channel hata mimi nikikabidhiwa kwa muda wa mwezi mmoja tu itavutia
wanapaswa kurusha vipindi vya usiku na mchana pamoja na kufanya utafiti kama wanaofanya National Geographic hadi mtu unavitiwa kutizama

Kila siku yaleyale .watakuambia hawana budget...na huku wanawalipa upinzan na kuwalipa wanamuziki 200! Utopolo mno hii nchi
 
Kila siku yaleyale .watakuambia hawana budget...na huku wanawalipa upinzan na kuwalipa wanamuziki 200! Utopolo mno hii nchi

umesema kweli kabisa.hapo ndipo wanakwama,yani unakuta kipindi kinarudiwa mara 20, alafu wao wamekalili kwamba utalii ni wanyama tu wakati tuna vivutio vingi vya Utalii
 
umesema kweli kabisa.hapo ndipo wanakwama,yani unakuta kipindi kinarudiwa mara 20, alafu wao wamekalili kwamba utalii ni wanyama tu wakati tuna vivutio vingi vya Utalii
Kwakweli tuna vivutio vingi Sana ..mno mno! Basi tu wenye nchi wameamua kuchukulia poa..
 
Back
Top Bottom