imani zingine zinamdhalilisha mwanamke kwa hilo:
1 wakorintho 11
5 maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.
6 kwa maana kweli haimpasi mwanamume kufunikwa kichwa, kwa sababu yeye ni mfano na utukufu wa mungu. Lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.
Nothing at all...no motive behind than sharing what i know
kama kuna ukweli vile....!?Kuna mambo ya kushangaza ambayo kwasababu ileile ya kimapokeo na mazoea huwa hatuyahoji au hatuna muda wa kufuatilia na pengine tunaridhika tu na hivyo yalivyo.
Nywele hizi zetu za kichwani zinabeba siri kubwa ambayo ina mawasiliano ya moja kwa moja na kuzimu au na roho zinazotangatanga.
Hebu tujihoji haya;
- Kwanini baadhi ya imani ni marufuku na hairuhusiwi kwa mwanamke kuonyesha nywele zake hadharani?
- Kwanini mchawi/mwanga anapokamatwa hukatwa nywele zote ili kummaliza nguvu zake?
- Kwanini chizi kichaa au mwendawazimu hunyolewa nywele kama sehemu ya tiba?
- Kwanini wachawi na waganga wengi hutumia nywele kama sehemu ya uchawi/ulozi wao?
Historia ya nywele kuhusiana na roho na nguvu za kiza inaanzia mbali sana miaka elfu nyingi iliyopita kwenye habari za Biblia takatifu kisa cha Samsoni na Delilah pale Mwenyezi Mungu alipoweka nguvu isiyomithilika kwenye nywele za Samsoni lakini shetani kupitia Delilah alimrubuni Samsoni na Samsoni akatoa siri ya nguvu zake.
Ni kutoka hapo ile nguvu ya kimungu iliyowekwa kwenye nywele za Samsoni iligeuka na kuwa nguvu ya kishetani na kufanya maangamizi makubwa, tangu hapo nywele imekuwa ni kitu kinachohusishwa na roho chafu na mapepo.
mkuu kuna point naomba unisaidie,kuna mahusiano gani pale mchawi anapotaka kuondolewa uchawi wake hunyolewa nyele,pia kwa upande wa biblia pale samsoni aliponyolewa na nguvu zake kupotea,kwahiyo nguvu kwenye nywele ni ushurikina au nguvu za Mungu?Kuna mambo ya kushangaza ambayo kwasababu ileile ya kimapokeo na mazoea huwa hatuyahoji au hatuna muda wa kufuatilia na pengine tunaridhika tu na hivyo yalivyo.
Nywele hizi zetu za kichwani zinabeba siri kubwa ambayo ina mawasiliano ya moja kwa moja na kuzimu au na roho zinazotangatanga.
Hebu tujihoji haya;
- Kwanini baadhi ya imani ni marufuku na hairuhusiwi kwa mwanamke kuonyesha nywele zake hadharani?
- Kwanini mchawi/mwanga anapokamatwa hukatwa nywele zote ili kummaliza nguvu zake?
- Kwanini chizi kichaa au mwendawazimu hunyolewa nywele kama sehemu ya tiba?
- Kwanini wachawi na waganga wengi hutumia nywele kama sehemu ya uchawi/ulozi wao?
Historia ya nywele kuhusiana na roho na nguvu za kiza inaanzia mbali sana miaka elfu nyingi iliyopita kwenye habari za Biblia takatifu kisa cha Samsoni na Delilah pale Mwenyezi Mungu alipoweka nguvu isiyomithilika kwenye nywele za Samsoni lakini shetani kupitia Delilah alimrubuni Samsoni na Samsoni akatoa siri ya nguvu zake.
Ni kutoka hapo ile nguvu ya kimungu iliyowekwa kwenye nywele za Samsoni iligeuka na kuwa nguvu ya kishetani na kufanya maangamizi makubwa, tangu hapo nywele imekuwa ni kitu kinachohusishwa na roho chafu na mapepo.
Kuna mahusiano kote kote Inategemea motive behindmkuu kuna point naomba unisaidie,kuna mahusiano gani pale mchawi anapotaka kuondolewa uchawi wake hunyolewa nyele,pia kwa upande wa biblia pale samsoni aliponyolewa na nguvu zake kupotea,kwahiyo nguvu kwenye nywele ni ushurikina au nguvu za Mungu?
Aaaaangymurumapo simba....!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe wewe yeboyebo[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Huo wimbo tumeimba zamani sana wakati nikiwa vidudu na bad enough tulilazimishwa na mwalimu wetu wa Sanaa ambaye ni shabiki wa Paka wa Msimbazi!
Wakati nilipo tembelea tanga kwenye semina nilishukia lodge moja hivi inaitwa malindi iliyopo karibu na railway, pale nilipo amka nilikuta nimenyolewa nywele,nilijiuliza maswali mengi sana yasio na majibu.. Mshana jr unataka kuniambia nywele zangu kulikoni kwa maana mimi sio mkazi wa tanga inakuwaje waje kwenye lodge nakubeba nywele zangu bila kunijuwa mimi ni nani......Kuna mambo ya kushangaza ambayo kwasababu ileile ya kimapokeo na mazoea huwa hatuyahoji au hatuna muda wa kufuatilia na pengine tunaridhika tu na hivyo yalivyo.
Nywele hizi zetu za kichwani zinabeba siri kubwa ambayo ina mawasiliano ya moja kwa moja na kuzimu au na roho zinazotangatanga.
Hebu tujihoji haya;
- Kwanini baadhi ya imani ni marufuku na hairuhusiwi kwa mwanamke kuonyesha nywele zake hadharani?
- Kwanini mchawi/mwanga anapokamatwa hukatwa nywele zote ili kummaliza nguvu zake?
- Kwanini chizi kichaa au mwendawazimu hunyolewa nywele kama sehemu ya tiba?
- Kwanini wachawi na waganga wengi hutumia nywele kama sehemu ya uchawi/ulozi wao?
Historia ya nywele kuhusiana na roho na nguvu za kiza inaanzia mbali sana miaka elfu nyingi iliyopita kwenye habari za Biblia takatifu kisa cha Samsoni na Delilah pale Mwenyezi Mungu alipoweka nguvu isiyomithilika kwenye nywele za Samsoni lakini shetani kupitia Delilah alimrubuni Samsoni na Samsoni akatoa siri ya nguvu zake.
Ni kutoka hapo ile nguvu ya kimungu iliyowekwa kwenye nywele za Samsoni iligeuka na kuwa nguvu ya kishetani na kufanya maangamizi makubwa, tangu hapo nywele imekuwa ni kitu kinachohusishwa na roho chafu na mapepo.
Walichukua malighafi pale relini kuna kilinge hata ukilala pale Amazon lazima upate mauzauzaWakati nilipo tembelea tanga kwenye semina nilishukia lodge moja hivi inaitwa malindi iliyopo karibu na railway, pale nilipo amka nilikuta nimenyolewa nywele,nilijiuliza maswali mengi sana yasio na majibu.. Mshana jr unataka kuniambia nywele zangu kulikoni kwa maana mimi sio mkazi wa tanga inakuwaje waje kwenye lodge nakubeba nywele zangu bila kunijuwa mimi ni nani......
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka, ila nimezidi kukushanga mzee unajuwa siri za hivi, mshana ehh taratibu unazingua wewe ni wakala ama.... Ahhh unanitisha mkuuWalichukua malighafi pale relini kuna kilinge hata ukilala Amazon lazima upate mauzauza