Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Una umri gani?Saa ingine mnaingia woga very unnecessary. Namba ya NIDA na uchaguzi wapi na wapi . Wanataka namba sababu ya records zao tu
Ingekuwa wanataka kadi ya mpiga kura labda ungeogopa.
Mwanza?Kanda ya ziwa
Si umesema mmetoa nida Sasa inakuwaje Bure!?mi nimesema mnabahati na hiyo barter trade yenuKupewa vya bure bure ni bahati?
Ni nani huyo anayeogopa kushindwa jamani ili tumtie moyo wa USHINDI ndi ndi ndi !Khaaaa kazi sanaaa kuna mtu mmoja....anaogopa sanaa ......ushindaniiii
Wapunguzwe Bei ya kujaza gesi tu Hilo ndilo suala NYETI.Wife juzi kanipgia simu kuniambia kuna watu wamekuja home wanagawa mitungi ya gas bure nikamkatalia kuchukua.
Sasa Leo ikabidi nimdodose yani ni kina nani mpaka wagawe gasi bure akasema wao wakishakupa gase yao wewe unawapa namba Yako ya NIDA hapo tayari wanakuwa na uhakika wa kura Yako mwezi Oktoba.
Wakuu hii inawezekanaje si rushwa hii? Na kaya nyingi sana zilizofuzu vigezo hivyo zimechukua mitungi
Wala anguko lake siyo kupitia uchaguzi,huyu alama zote za kukataliwa hata na wanaccm ziko wazi,tusubiri tu muda wa Mungu ufike.Wanambinu nyingi boss hawatengemie sanduku liamue
Nadhani hapa itakuwa inatumika kwenda kutengeza kitambulisho feki, kama msimamizi akipewa hela atakuwa anageuka pembeni tu wafanye yao
Yes, exactly .Everything has a price to pay
Safari hii kura zitapigwa kwa kutumia nida!?Wife juzi kanipgia simu kuniambia kuna watu wamekuja home wanagawa mitungi ya gas bure nikamkatalia kuchukua.
Sasa Leo ikabidi nimdodose yani ni kina nani mpaka wagawe gasi bure akasema wao wakishakupa gase yao wewe unawapa namba Yako ya NIDA hapo tayari wanakuwa na uhakika wa kura Yako mwezi Oktoba.
Wakuu hii inawezekanaje si rushwa hii? Na kaya nyingi sana zilizofuzu vigezo hivyo zimechukua mitungi
Ndio kama wanania njema kweli wafanye 15 badala ya 25 wanayotuuzia... Halafu waende kwenye petrol/diesel wafanye 2000 badala ya 2900 uone maisha kama hayabadiliki na bei za nauli zinashukaWapunguzwe Bei ya kujaza gesi tu Hilo ndilo suala NYETI.