Uchaguzi 2020 Nzega, Tabora. Wana-CCM kata ya Itobo wamkataa mteule wanayedai ametumia rushwa ya ngono

Uchaguzi 2020 Nzega, Tabora. Wana-CCM kata ya Itobo wamkataa mteule wanayedai ametumia rushwa ya ngono

Kiuno chake ndio kimempa udiwani, ndio mambo ya mjini siku hizi.
 
Hii sasa hatari. Inakuwaje chama kikongwe kama CCM kinafikia hatua ya kupata viongozi wake kwa njia za aibu kama hizi?
Ndio maana wakimalizana huko wanakuja kwa wananchi na kulazimisha kutuwekea viongozi kwa njia haramu.
Hebu sikilizeni wenyewe mtoe maoni.

cc; Wakudadavuwa
YEHODAYA

View attachment 1548475
Wahenga walisema '.........mwanzo wa ngoma ni lelele.............'
 
Nampongeza huyo mama kwa ujasiri japo nafahamu CCM hawawezi badili maamuzi maana Viongozi wengi husifia wanawake hadharani...PAPUCHI ina nguvu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],CCM ndio zao,
Tuonesheni sura ya mkatikaji jamani,inawezekana anaweka hadi tumbaku,watu wa Mboka sio mchezo aisee,

Mwenyekiti hachomoki hapo,
 
Hii rushwa ya ngono imetamalaki hadi kufikia kuvunja ndoa kwa mwenyekiti wa Chama na wafuasi wako kimyaa
Heri CCM wameamua kuikemea hadharani
 
Mnaongelea ngono hii hii iliyosababisha mwenyekiti kuteguka mguu?
 
Kiwanda hicho, kimetupeleka uchumi wa kati. Wivu tu unamsumbua huyo mlalamikaji, hana ushahidi wa hayo anayomtuhumu mwenzie. Wanawake hawapendani.
 
Back
Top Bottom