Uchaguzi 2020 Nzega, Tabora. Wana-CCM kata ya Itobo wamkataa mteule wanayedai ametumia rushwa ya ngono

Uchaguzi 2020 Nzega, Tabora. Wana-CCM kata ya Itobo wamkataa mteule wanayedai ametumia rushwa ya ngono

Hii hapa , sitaongeza chumvi

View attachment 1548469
Haya ni mambo tuu ya wivu wa kike, mwanamke kashindwa na mwanamke mwenzake, sasa anataka kutuchafulia chama kwa mambo ya kijinga kabisa ya wivu wa kike na kusingizia ni rushwa ya ngono.

Kwa mujibu wa katiba yetu na sheria zetu, the age of majority ni 18 years, masuala ya mapenzi over 18 years ni issue za consent, kama watu wazima wawili wenye akili timamu wame consent kugaiyana, hayo ni mambo yao binafsi na rights zao za privacy, lakini CCM imepitisha wagombea makini, wote walioshinda na kukatwa, wamekatwa kwa sababu na wote waliopitishwa wamepitishwa kwa sababu, huyu kada asitake kutuchafulia chama chetu kwa wivu wake tuu wa mapenzi, na hata kama ni kweli

M/Kiti amehudumiwa, as long as hajabaka, mtoaji ametoa kwa ridhaa yake mwenyewe, that is none of our business as long as aliyepitishwa ana sifa na vigezo!.

CCM Oye...!.

Kada Pasco
 
siasa ni ajira, wote wanagombania kutuongoza huenda tunapendwa sana😎
 
In the meanwhile selemani luwongo kakamatwa na takukuru kwa kutaka kumhonga msimamizi wa uchaguzi mtama
endeleeni kuwabambika watu kesi , What goes around comes around
 
Mwenyekiti Kanuda ni tapeli tu, Takukuru kama kweli wapo achunguzwe,anashilikiana na uongozi wa benk ya NMB nzega kuwakopesha pesa walimu na manesi kwa riba kubwa sana.
 
Mwenyekiti Kanuda ni tapeli tu, Takukuru kama kweli wapo achunguzwe,anashilikiana na uongozi wa benk ya NMB nzega kuwakopesha pesa walimu na manesi kwa liba kubwa sana.
Takukuru mambo ya ccm wameyapeleka ccm .
 
Back
Top Bottom