Weka ushahidi kama huu ulioko hapa. Acha kuandika kwa hisia, au wewe umeukosa udiwani kwa vile huioshi vizuri kama alivyosema huyo?Hii rushwa ya ngono imetamalaki hadi kufikia kuvunja ndoa kwa mwenyekiti wa Chama na wafuasi wako kimyaa
Heri CCM wameamua kuikemea hadharani
Huna hata aibu !Hii rushwa ya ngono imetamalaki hadi kufikia kuvunja ndoa kwa mwenyekiti wa Chama na wafuasi wako kimyaa
Heri CCM wameamua kuikemea hadharani
hii iko hadi ngazi ya Taifa , yafuatilie ya Babati Mjini
Hahahahaha alitoa mzigo
Haya ni mambo tuu ya wivu wa kike, mwanamke kashindwa na mwanamke mwenzake, sasa anataka kutuchafulia chama kwa mambo ya kijinga kabisa ya vivu wa kike na kusingizia ni rushwa ya ngono.
Kwa mujibu wa katiba yetu na sheria zetu, the age of majority ni 18 years, masuala ya mapenzi over 18 years ni issue za consent, kama watu wazima wawili wenye akili timamu wame consent kugaiyana, hayo ni mambo yao binafsi na rights zao za privacy, lakini CCM imepitisha wagombea makini, wote walioshinda na kukatwa, wamekatwa kwa sababu na wote waliopitishwa wamepitishwa kwa sababu, huyu kada asitake kutuchafulia chama chetu kwa wivu wake tuu wa mapenzi, na hata kama ni kweli M/Kiti amehudumiwa, as long as hajabaka, mtoaji ametoa kwa ridhaa yake mwenyewe, that is none of our bussiness as long as aliyepitishwa ana sifa na vigezo!.
CCM Oye...!.
Kada Pasco
Msambwanda aka chura kigogo uzalendo umemshindaaaaaaaaHii rushwa ya ngono imetamalaki hadi kufikia kuvunja ndoa kwa mwenyekiti wa Chama na wafuasi wako kimyaa
Heri CCM wameamua kuikemea hadharani
CCM wameikemea au mwana Ccm mmoja?Hii rushwa ya ngono imetamalaki hadi kufikia kuvunja ndoa kwa mwenyekiti wa Chama na wafuasi wako kimyaa
Heri CCM wameamua kuikemea hadharani
Mwenyekiti kahonga kitmaalum akaacha mkeWeka ushahidi kama huu ulioko hapa. Acha kuandika kwa hisia, au wewe umeukosa udiwani kwa vile huioshi vizuri kama alivyosema huyo?
Mimi aibu ninayo mwaya🤣🤣🤣🤣Huna hata aibu !
Ha haaa dah Itobo, unajua wanyamwezi huwa wanafanana hulka na wazaramo sana.
Chama kimeozaChangamoto hazikosekani
Yes p. Huyu mama korokoro lake lililopata kura nyingi ndo limepigwa chini, nayeye ndo lilikuwa korokoro lake, harafu inaonekana hana kiuno, maana cku zte wanawake wasio na makario huwa wanawachukia sana wenye Kitonga nyuma.Haya ni mambo tuu ya wivu wa kike, mwanamke kashindwa na mwanamke mwenzake, sasa anataka kutuchafulia chama kwa mambo ya kijinga kabisa ya vivu wa kike na kusingizia ni rushwa ya ngono.
Kwa mujibu wa katiba yetu na sheria zetu, the age of majority ni 18 years, masuala ya mapenzi over 18 years ni issue za consent, kama watu wazima wawili wenye akili timamu wame consent kugaiyana, hayo ni mambo yao binafsi na rights zao za privacy, lakini CCM imepitisha wagombea makini, wote walioshinda na kukatwa, wamekatwa kwa sababu na wote waliopitishwa wamepitishwa kwa sababu, huyu kada asitake kutuchafulia chama chetu kwa wivu wake tuu wa mapenzi, na hata kama ni kweli M/Kiti amehudumiwa, as long as hajabaka, mtoaji ametoa kwa ridhaa yake mwenyewe, that is none of our bussiness as long as aliyepitishwa ana sifa na vigezo!.
CCM Oye...!.
Kada Pasco
Ccm na RUSHWA ni sawa na mwili na damu.. haviachani. Kimoja kikiondoka kingine kinakufa