Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
fisiemu mnakula mizoga, tena wewe ni fisi mzee unakula mpaka vumbi.Ccm ni mafisi walioshindikana mkicheka nao mtakula mifupa.
Poleni upinzani .
Najua hata nyie wenyewe hamuamini lakini ndo imeshatoka hyo.
Mshapigwa mapema tu
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Tanzania MpyaCCM mpya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeshafunga mjadala mkuu.Mjini msingi kiuno - Rich Mavoko
Natamani kumjua huyo mwambaTumeambiwa itobo ni kata ya jimbo la nzega vijijini kwa mh kigwangara
Sema nimetamani kuwa mwenyekiti anayesemwa kanuda maana anafaidi mauno
Ndo huyo?View attachment 1549246msambwanda autoe wapiView attachment 1549247
Ndio yeye uyo anayesemwa katoka chadema kapeleka mauno ccmNdo huyo?