Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Johnnie L. Cochran Jr.I'ma hop in the bed, dog gon jus pop off her head (you know what is is)
Tell "Oh Jay-Z chill, Cochran is dead"
J.L.Cochran jr 😀Hii picha hii……if the gloves don’t fit, you must acquit!
Thanks and you too!
Hata Mimi nashangaa. Bora hata angekuwa mcheza kikapu tungemjua. Hivi uliwahi kuona kiwanja Cha huo mchezo bongo?
Mkuu mbona sisi tunamjua na haswa kwasababu ya kesi yake aliposhinda tulishangilia kama Weusi wenzake tukanywa na Bia?!Hayo ma hand ball Yao wanayoita football hayana nafasi bongo na Wala hatumjui. Bongo ni soccer hayo ma bouncer yanayokimbizana mbali nayo huko huko
Ile kesi ingekuwa miaka hii ya teknolojia, lingekuwa balaa kubwa la ulimwengu.Wenye classmate wao
Hayo mambo yana levels zake mtoto wa osterbay, masaki, upanga, mbezi beach, mbweni na baadhi ya wajanja wajanja wa sinza na kadhalika lazima wajue american football, mieleka, kikapu, mashindano ya magari, lazima wawafahau akina Raphael nadal, jocovic sisi wengine yaani mimi na wewe tunaotokea kakonko, ngudu, maswa, nkwenda tukomalie tamthiliya zetu za juakali na simba na yanga mambo yasiwe mengiHayo ma hand ball Yao wanayoita football hayana nafasi bongo na Wala hatumjui. Bongo ni soccer hayo ma bouncer yanayokimbizana mbali nayo huko huko
Mkuu wangu wewe hutaki mambo ya american football,Hayo ma hand ball Yao wanayoita football hayana nafasi bongo na Wala hatumjui. Bongo ni soccer hayo ma bouncer yanayokimbizana mbali nayo huko huko
That’s the trial that got me fully interested in jurisprudence.The People of the State of California v. Orenthal James Simpson.....Trial of the century.
Limpira gani halina hata chenga ,Wala ma udambwi udambwi , ni kukimbizana na kupambana tuu, limchezo gani wanaovaa helment kama boda boda?Mkuu wangu wewe hutaki mambo ya american football,
GET THE F*** OUT Of HERE (GTFOH)Sasa umekuja kufanya nini hapa?
GTFOH.
Sio kweli, OJ hajafa maskini. Hakuwa tajiri lakini pia hakuwa fukara. He was living comfortably.Aisee!!
Wazungu wamemfukarisha mpaka kafa akiwa akiishi kwenye umaskini uliotopea bila hata senti.
Tatizo Kuna kizazi cha kutojisomea kimeibukia hapa kati...That’s the trial that got me fully interested in jurisprudence.