dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
kama alinunua kiumbe akaoa, ni mwehuSwali za kizishu. Hadi baba yako ni mwehu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama alinunua kiumbe akaoa, ni mwehuSwali za kizishu. Hadi baba yako ni mwehu?
Ukweli usiopingika mkuuUnaoa/kuolewa na mtu aliyelelewa na single mother unategemea nini, kifupi nilichojifunza walio wengi hawa vijana wanaokataa ndoa wengi wao japo si wote wametoka Familia ambazo ni za mzazi mmoja au familia zenye migogoro, kuna raha sana unatoka kazini unapokelewa na watoto na mama nyumbani, tatizo la vijana walio wengi maisha ya kubangaiza.
Endeelini Kupigwa Mje Na Nyuzi Za VilioKama ndivyo basi yawezekana nawe ni mwehu mkuu swema unaweza usijifahamu. Maana mtoto hurithi baadhi ya vitu toka kwa mzazi wake
Ndoa Ni Uzwazwa, Na Mazwazwa ndiyo wanaoaNDoa ni ajili. Ka huna akili usioe
Unakataa ndoa ili uolewe au siyo ?nimesema kataa ndoa sijui umenielewa?
we umeikubali umeolewa?Unakataa ndoa ili uolewe au siyo ?
Daah noma sanaa mkuu kwann unakataa ndoaAcha kupotosha, hatuoi hata uandike kitabu
Kwaupande mmoja, ndoa ni kitu muhimu sana katika makuzi ya kulea familia kama kila mmoja akiwa na agenda moja yaani kujenga familia yafuraha na kulea watoto katika msingi wa maadili. Kwaupande mwingine ni kitu kibaya saana kama either one of you mtakuja na agenda za ziada katika hiyo ndoa, kitu kilichochema au kizuri kinaweza kuwa kibaya sana kama kikitumiwa vibaya. Kwenye hoja yako umeongelea vijana wa sikuizi wamekuwa na maisha ya kubangaiza na kwa uchumi huu tuliofikia vijana wengi wanapitia na watapitia hayo maisha, wachache ndio wanaweza kuyaepuka lakini hiki kitu wanawake bado hawajakubaliana na hii reality kabisa mwIsho wa siku huweka very high expectations na standards kwa vijana hao huku wakija na there side agenda ya Kuimarishwa kiuchumi pindi wanapoingia kwenye ndoa hata mahusiano. Hiki kitu kinamuumiza sana kijana kiakili na kiafya, na mwishowe huishia kuwachukia wanawake na kuikataa ndoa kwasababu huiona ni mzigo. Wanawake wengi hawapo tayari kukubali kuwa maisha ya sasaivi ukubali ukatae ni kuyabangaiza, ukifanikiwa piga goti shukuru Mungu maana vijana wengi tu wanajituma saana ila izo dharau na kebehi wanazo kutana nazo huwafanya kuiona ndoa na mwanamke ni mzigo.Unaoa/kuolewa na mtu aliyelelewa na single mother unategemea nini, kifupi nilichojifunza walio wengi hawa vijana wanaokataa ndoa wengi wao japo si wote wametoka Familia ambazo ni za mzazi mmoja au familia zenye migogoro, kuna raha sana unatoka kazini unapokelewa na watoto na mama nyumbani, tatizo la vijana walio wengi maisha ya kubangaiza.
Kweli we ni kengeMtu anaepinga ndoa ujue hadidishi au ni punga uwez kuwa mwanaume kamili ukakataa ndoa
Kabsa wanawake wanachangia kwa kiasi kikubwa sana vijana kutoona umuhimu wa ndoa, wengi wao agenda zao ni tofauti na kujenga familia.Kwaupande mmoja, ndoa ni kitu muhimu sana katika makuzi ya kulea familia kama kila mmoja akiwa na agenda moja yaani kujenga familia yafuraha na kulea watoto katika msingi wa maadili. Kwaupande mwingine ni kitu kibaya saana kama either one of you mtakuja na agenda za ziada katika hiyo ndoa, kitu kilichochema au kizuri kinaweza kuwa kibaya sana kama kikitumiwa vibaya. Kwenye hoja yako umeongelea vijana wa sikuizi wamekuwa na maisha ya kubangaiza na kwa uchumi huu tuliofikia vijana wengi wanapitia na watapitia hayo maisha, wachache ndio wanaweza kuyaepuka lakini hiki kitu wanawake bado hawajakubaliana na hii reality kabisa mwIsho wa siku huweka very high expectations na standards kwa vijana hao huku wakija na there side agenda ya Kuimarishwa kiuchumi pindi wanapoingia kwenye ndoa hata mahusiano. Hiki kitu kinamuumiza sana kijana kiakili na kiafya, na mwishowe huishia kuwachukia wanawake na kuikataa ndoa kwasababu huiona ni mzigo. Wanawake wengi hawapo tayari kukubali kuwa maisha ya sasaivi ukubali ukatae ni kuyabangaiza, ukifanikiwa piga goti shukuru Mungu maana vijana wengi tu wanajituma saana ila izo dharau na kebehi wanazo kutana nazo huwafanya kuiona ndoa na mwanamke ni mzigo.
Majukumu yapi unayuzungumzia ambayo siwezi kuyafanya nikiwa nje ya ndoa???Mbona siye wenye ndoa zetu tuna ishi vizuri tu.
Vijana wengi wanapenda mteremko na hawataki majukumu.
Majukumu ndio ukamilifu wa kuitwa mwanaume.
Ndo hoja za kijinga kama hizi mlizobakiza???Unataka kuolewa