BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Hii siyo hoja ya kutushawishi vijana tuoe, njoo na hoja za msingi.Unataka kuolewa ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii siyo hoja ya kutushawishi vijana tuoe, njoo na hoja za msingi.Unataka kuolewa ?
Hana hoja huyo,, kafanya kuonyesha chuki zake tu zidi ya hii kampeni yetu pendwa "KATAA NDOA, NDOA NI UTAPELI"Badala utushauri Mambo ya msingi wewe unataka hata kidogo tulichonacho tukipoteze Kabisa hapa Tz ukitaka kuoa ni kujitaftia kifo Cha waziwazi. Kama Nikki wa pili ,stamina.
Hana hoja za msingi huyo,, alichokifanya ni kuonyesha chuki zake wazi zidi ya kampeni yetu pendwa "KATAA NDOA, NDOA NI UTAPELI"Badala utushauri Mambo ya msingi wewe unataka hata kidogo tulichonacho tukipoteze Kabisa hapa Tz ukitaka kuoa ni kujitaftia kifo Cha waziwazi. Kama Nikki wa pili ,stamina.
[emoji1787]Acha kupotosha, hatuoi hata uandike kitabu
Mtoa mada kapuyanga tu, uzi mrefu lakini hakuna hoja yoyote ya msingi iliyotolewa.Vipi suala la sheria ya ndoa mkuu? Naona haujaligusa. Mambo kama mali zigawanywe wakati aliezitolea jasho ni mwanaume, mke anaweza kuchukua mkopo kwa jina la mume na mume ndie atawajibika kulipa bila kujali huo mkopo alinufaika nao au uliishia kwenye mambo ya ovyo n.k. Unaona yapo sawa haya?
Ndo hoja za kijinga kama hizi ulizobakiza???Mtu anaepinga ndoa ujue hadidishi au ni punga uwez kuwa mwanaume kamili ukakataa ndoa
Wengi walio kwenye ndoa, akili ni zero thus why kila kukicha wanakuja kulia lia humu.Mbona hamjawaelewa vijana wa kataa ndoa wanamaanisha nini. Hakuna ambae hataki majukumu wanakipinga ni sheria ya ndoa yaani yale makubaliano mnayosaini na kupewa cheti ile kitu ndio inapingwa kwa kigezo kwamba inamkandamiza mwanaume. Jaribu kupitia sheria ya ndoa alafu vaa uhusika wa mwanaume
Sheria ikifanyiwa maboresho vijana wengi sana tutaoa.Kwahiyo mkuu tusubiri mpaka sheria ifanyiwe marekebisho?
Oneni hoja nyingine ya kipumbavu hii hapa.Kama mama yako alipigwa mimba tu na wahuni mitaani au alibakwa una haki ya kukataa ndoa coz hauna msingi wa malezi bora kutoka kwa baba na mama.
Ila kama wazazi walifunga ndoa takatifu huna haki ya kukataa ndoa
Hoja ya kijinga,, TUNAOKATAA NDOA, tunakulea wewe mpaka ukoo wako wote... Endelea kukariri wote tunabangaiza.Unaoa/kuolewa na mtu aliyelelewa na single mother unategemea nini, kifupi nilichojifunza walio wengi hawa vijana wanaokataa ndoa wengi wao japo si wote wametoka Familia ambazo ni za mzazi mmoja au familia zenye migogoro, kuna raha sana unatoka kazini unapokelewa na watoto na mama nyumbani, tatizo la vijana walio wengi maisha ya kubangaiza.
Wewe ndo huna akili kabisaaaa yani ni zero,, hoja zako hazina mantiki yoyote.NDoa ni akili Ka huna akili usioe
Hoja ya kipumbavu kwa sababu hauitaki? Ndoa ni taasisi lazima itagusa mpaka background ya wazazi wako ulipotokea.Oneni hoja nyingine ya kipumbavu hii hapa.
Always mtaendelea ku-stick na hii hoja yenu ya kipumbavu,, anyway siyo makosa yenu naana ndo ufinyu wenu wa akili ulipoishia kuwaza.Madhara ya kuwa shoga ni kukataa ndoa.
Unaijua background ya wazazi wangu??Hoja ya kipumbavu kwa sababu hauitaki? Ndoa ni taasisi lazima itagusa mpaka background ya wazazi wako ulipotokea
Jomba hoja yako ni dhaifu mno. Vijana wasio na ndoa wanachakata mbususu daily ndo maana wengi wao hawataki kuoa.. pia wengi wanaishi na wapenzi wao kama vile wameoana. Kuoa ni zaidi ya kudindisha. Nadhani hoja ya maadili ndo nzito zaidi.Mtu anaepinga ndoa ujue hadidishi au ni punga uwez kuwa mwanaume kamili ukakataa ndoa