Oa au olewa na kijana wa hovyo uje kupotosha

Oa au olewa na kijana wa hovyo uje kupotosha

Hoja ya kipumbavu kwa sababu hauitaki? Ndoa ni taasisi lazima itagusa mpaka background ya wazazi wako ulipotokea.
Kwa vile balehe bado inakusumbua hauwezi tambua
Jf sikuhizi kunawatu wa hovyo sana kama hawa vijana wakileo
 
Wenye akili timamu na waoe na kuolewa. Waliolelewa katika msingi mzuri wa imani ya kidini waoe na kuolewa.
Walio lelewa katika ndoa acha waipendw ndoa.

Ila wengine mbaki na kuzini maana ndiyo maisha mlochagua.
 
KATAA NDOA, NDOA NI UGONJWA SUGU MFANO WA DONDA NDUGU

NARUDIA TENA, NDOA SI NJEMA KWA AFYA YAKO YA AKILI

NYONGEZA: NIMETOKA KULA MKE WA MTU JIONI HII
The purpose of marriage is not to make women happy, or to make men happy.

The purpose of marriage is to ensure that every child is born into a situation where they will have easy access to their mother and a father.
 
Back
Top Bottom