Oa au olewa na kijana wa hovyo uje kupotosha

Badala utushauri Mambo ya msingi wewe unataka hata kidogo tulichonacho tukipoteze Kabisa hapa Tz ukitaka kuoa ni kujitaftia kifo Cha waziwazi. Kama Nikki wa pili ,stamina.
Hana hoja huyo,, kafanya kuonyesha chuki zake tu zidi ya hii kampeni yetu pendwa "KATAA NDOA, NDOA NI UTAPELI"
 
Badala utushauri Mambo ya msingi wewe unataka hata kidogo tulichonacho tukipoteze Kabisa hapa Tz ukitaka kuoa ni kujitaftia kifo Cha waziwazi. Kama Nikki wa pili ,stamina.
Hana hoja za msingi huyo,, alichokifanya ni kuonyesha chuki zake wazi zidi ya kampeni yetu pendwa "KATAA NDOA, NDOA NI UTAPELI"
 
Mtoa mada kapuyanga tu, uzi mrefu lakini hakuna hoja yoyote ya msingi iliyotolewa.
 
Wengi walio kwenye ndoa, akili ni zero thus why kila kukicha wanakuja kulia lia humu.
 
Kama mama yako alipigwa mimba tu na wahuni mitaani au alibakwa una haki ya kukataa ndoa coz hauna msingi wa malezi bora kutoka kwa baba na mama.
Ila kama wazazi walifunga ndoa takatifu huna haki ya kukataa ndoa
Oneni hoja nyingine ya kipumbavu hii hapa.
 
Hoja ya kijinga,, TUNAOKATAA NDOA, tunakulea wewe mpaka ukoo wako wote... Endelea kukariri wote tunabangaiza.
 
Kuoa ni upumbavu kama upumbavu mwingine tu.
 
KATAA NDOA, NDOA NI UGONJWA SUGU MFANO WA DONDA NDUGU

NARUDIA TENA, NDOA SI NJEMA KWA AFYA YAKO YA AKILI

NYONGEZA: NIMETOKA KULA MKE WA MTU JIONI HII
 
Mtu anaepinga ndoa ujue hadidishi au ni punga uwez kuwa mwanaume kamili ukakataa ndoa
Jomba hoja yako ni dhaifu mno. Vijana wasio na ndoa wanachakata mbususu daily ndo maana wengi wao hawataki kuoa.. pia wengi wanaishi na wapenzi wao kama vile wameoana. Kuoa ni zaidi ya kudindisha. Nadhani hoja ya maadili ndo nzito zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…