Blaszczykowski
JF-Expert Member
- Dec 20, 2022
- 310
- 1,100
Ni ohaHivi ni OA au OWA??
Tuanzie kwanza hapo
Ni hohaNi oha
Wowa ndo ingekaa poaHivi ni OA au OWA??
Tuanzie kwanza hapo
Hapana ni hohaNi oha
Hapana ni wowa🤣Hapana ni hoha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ni oha
Hii imekaa poa sana,Naumia sana kuona wanawake kumdhalilisa waume zao pindi tu kunapotoke sitofahamu na kuachana .
Leo bora tuwafate waarabu life style yao tu japo si wote kuoa msichana asietoka mbali na familia naona itapunguza ukakasi na matatizo ya kudhalilishana kuliko unaenda kuoa 10000 miles ndugu wa mke na mume ata akuna mawasiliano na kujuliana hali mazingira humpa msichana kufanya upumbavu wowote bila ata kujiuliza mara mbili .
Mawazo yangu tu hayo
🤣🤣🤣Hapana ni wowa🤣
Tuna kizazi cha hovyo hovyo sana.🤣🤣🤣
Hivi tuseme wanawake wametuzidi akili? Mbona threads za aina hii zimekuwa nyingi?
Wanaume tumekuwa watu wa kulia lia tu kutwa kuumizwa na hawa wasaidizi wetu
Hapana, ouwaa ndiyo sahihi.Wowa ndo ingekaa poa
💯🤝 imeandikwa tuishi nao kwa akiliTuna kizazi cha hovyo hovyo sana.
Ni kweli kuna wanawake pasua kichwa lkn sio kwa ukubwa huu.
Ukiwa akili kubwa mwanamke unamdhibiti tu kwa upendo na anatulia tu na mahaba juu.
Akili mtu wangu
Ntaoa bint wa mpwa wangu,,,,,Bora mitafaruku kuliko magonjwa ya vinasaba Mkuu