Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 3,380
- 5,906
In breeding sio nzuriNaumia sana kuona wanawake kumdhalilisa waume zao pindi tu kunapotoke sitofahamu na kuachana.
Leo bora tuwafate waarabu life style yao tu japo si wote. Kuoa msichana asietoka mbali na familia naona itapunguza ukakasi na matatizo ya kudhalilishana kuliko unaenda kuoa 10000 miles, ndugu wa mke na mume ata akuna mawasiliano na kujuliana hali.
Mazingira humpa msichana kufanya upumbavu wowote bila ata kujiuliza mara mbili.
Mawazo yangu tu hayo.
Bora uende uko 1000 miles
Kuhusu suala la mawasiliano mbona rahisi
Simu zipo
Tatizo watu wakishaoa hawataki ndugu waje kukaa kwako ndo mna inakua ivo