King 999
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,872
- 8,374
Ni hoaNi hoha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hoaNi hoha
WoaNi hoa
Hawana ujasiri wa kuandika wanahofia kushambuliwa kwa maneno makali ila vikiwazidi wanajimwaga hadharani.🤣🤣🤣
Hivi tuseme wanawake wametuzidi akili? Mbona threads za aina hii zimekuwa nyingi?
Wanaume tumekuwa watu wa kulia lia tu kutwa kuumizwa na hawa wasaidizi wetu
Hata kama mna watotoHaha unajua kurarua wewe
🤣🤣🤣🤣sema kweliHata kama mna watoto
Nakupenda wewe na familia yako
Amini kwamba🤣🤣🤣🤣sema kweli
Mahari napokea mwenyewe kwenye ile nambaSasa unaonaje nikuchukue kabisa uwe mama watoto wangu
Kwani uliifuta🌝Itume sasa hivi nikiwa wa moto nilipe harakaa
Unafanya masihara eee tangu lini niwe na namba yako?Kwani uliifuta🌝
HAhaha masihara hayo sasaKwani uliifuta🌝
Tayari 😅😅Unafanya masihara eee tuma namba harakaa
Nasubiri muamala😅😅HAhaha masihara hayo sasa
Jamani kuna mtu kaona namba hapa?Tayari 😅😅
Nasubiri muamala😅😅
Wachaga mmezidi ukabilaNarudia
Oa mwanamke wa kabila lako
Oa mwanamke wa dini yako
Olewa na mwanaume wa kabila lako
Olewa na mwanaume wa dini yako
Ipo siku utanishukuru japo kidogo
We leta ukabila ila utakuja nishukuruWachaga mmezidi ukabila
Hivi ni OA au OWA??
Tuanzie kwanza hapo
OA ndiyo sahihi.Hivi ni OA au OWA??
Tuanzie kwanza hapo
Usipoishi naye kwa akili, akishapata tu watoto, kiu yake na wewe jua imekwisha, linalofuata ni kukutanguliza muhusika mbele za haki, Ova.💯🤝 imeandikwa tuishi nao kwa akili