Oa Mwanamke mwenye hofu ya Mungu, vinginevyo utateseka

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Older mnaokimbiliaa ndoa

Bora uchelewe kuoa ukimwomba Mungu akupe mwenye hofu yake

Mwanamke pekee atakayeishi kwa upendo nidhamu na hekima

Ni yule aliye na hofu na Mungu

Haya makanjanjaaa yamejazana ibdan yanaotea kama betting usijichanganye kizembee utakufaà

Ukishayaoaa yanageuka kuwa mbwa mwitu mpendwa acha tu
 
KILA LA KHERI MWANANDOA MTARAJIWA UNAAAENDA KUFUNGA NDOA KESHO

MUNGU AKUPE FURAHA AMANI KTK NDOA YAKO
NAJUA KWA WEWE TOO LTE MZIGO LAZIMA UVUKE MTO KESHO

ZIDISHA MAOMBI UENDAKOO
 
Upo Sahihi?
 
Yaa. Zaman makanisan kila jpili unakuta matangazo ya ndoaa si chini ya 7 lakini sasa hizi unakutana na taarifa za misiba na shukran kwa yaliyowatokeaaaa

Vija a wamekosa mwamkoo kabisa wa ndoaa
 
Hofu ipi unaizungumzia na huku ndani mmejaa mijianaume mi nafki , michovu , mizee na michawi hata shetani anawaogopa ndio nani awape mwanamke mwenye hofu , ushindwe ulegee usituchoshe unachart na mtu anakulia timing tu atafaidika nanini humu nawashangaa ga watu wanasema na tafuta mume humu wehu tu
 
Takboiiiir
 
Utaishia kuwekaa wimbo wa unawezaaa kufanyaa

Unaweza kutendaaa

.amboo makubwaaa zaodi ya nionavyooo x3
Kama alarm yako asbh mchana jion
 
Ila sio hawa waliokoka ukubwani,ambao wanatafuta ndoa kwa nguvu huku wakisahau kurekebisha tabia zao zilizo wafanya wachelewe kuolewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…