Oa Mwanamke mwenye hofu ya Mungu, vinginevyo utateseka

Oa Mwanamke mwenye hofu ya Mungu, vinginevyo utateseka

Hofu ipi unaizungumzia na huku ndani mmejaa mijianaume mi nafki , michovu , mizee na michawi hata shetani anawaogopa ndio nani awape mwanamke mwenye hofu , ushindwe ulegee usituchoshe unachart na mtu anakulia timing tu atafaidika nanini humu nawashangaa ga watu wanasema na tafuta mume humu wehu tu
Pole binti
 
Mijitu humu mishirikina hadi shetani anawaheshimu
Acha banaa aisee duh usiombee upatee mwanamke mshirikina aaaa utajutaa

Wanaume kidogo wanabadilika wee wanawake kimbolaa hioo
 
Yaa. Zaman makanisan kila jpili unakuta matangazo ya ndoaa si chini ya 7 lakini sasa hizi unakutana na taarifa za misiba na shukran kwa yaliyowatokeaaaa

Vija a wamekosa mwamkoo kabisa wa ndoaa
Duh
 
Acha banaa aisee dub usionbee upatee mwanamke mshirikinaaaa utajutaa

Wanaume kidogo wanabadilika wee wanasake kimbolaa hioo
Yaani nimepata wengi wanajifanya wameokoka dah kumbe washirikina hadi unaanza kumrudia wewe mungu kwa vipigo na rangi nilizoona unatak nikuorodheshee andika niorodheshee nakuorodheshea
 
Acheni kujidanganya nyie hakuna cha hofu ya Mungu wala nini binadamu akiamua kugeuka atageuka tu!, si Mungu si shetani atamsimamia binadamu ni utashi wake binafsi leo anaweza kusema ndio kesho anaweza kusema sio!.

Kama unaoana na mtu kisa anahofu ya kitu fulani basi jua bado unasafari ndefu!, maana hofu ya hicho kitu ikiondoka utasaga meno!.
Kwa kiumbe kinachoitwa binadamu hakuna kitu permanent siri ya vitu anavyovitaka yeye maishani ni siri yake tu!.
Ishini mguu ndani mguu nje, mkifanikisha malengo yeni hiyo ni heri kwenu.

Ukweli ambao hamtaki kuusikia ni huu "Binadamu hababaishwi na kitu kinachoitwa hofu ya Mungu, akiamua ku kengeuka atakengeuka tu".
 
Yaani nimepata wengi wanajifanya wameokoka dah kumbe washirikina hadi unaanza kumrudia wewe mungu kwa vipigo na rangi nilizoona unatak nikuorodheshee andika niorodheshee nakuorodheshea
Nioroedheshèeee kwenda no 15777
 
Wanaume mwachee ushirikinaaa mmemiskiaa sweetheartcandy

Mtauana jaman mdada kulalama hivi habahatishiii anajua hakuna rangii ajacha kuona mpaka akamrudia Mungu sijajua kabla aliku
Wa wapi anyway

Sema no ushirikinaaaa
 
Acheni kujidanganya nyie hakuna cha hofu ya Mungu wala nini binadamu akiamua kugeuka atageuka tu!, si Mungu si shetani atamsimamia binadamu ni utashi wake binafsi leo anaweza kusema ndio kesho anaweza kusema sio!.

Kama unaoana na mtu kisa anahofu ya kitu fulani basi jua bado unasafari ndefu!, maana hofu ya hicho kitu ikiondoka utasaga meno!.
Kwa kiumbe kinachoitwa binadamu hakuna kitu permanent siri ya vitu anavyovitaka yeye maishani ni siri yake tu!.
Ishini mguu ndani mguu nje, mkifanikisha malengo yeni hiyo ni heri kwenu.

Ukweli ambao hamtaki kuusikia ni huu "Binadamu hababaishwi na kitu kinachoitwa hofu ya Mungu, akiamua ku kengeuka atakengeuka tu".
Kuna watu wala hizo habari za mungu hawana mpango nazo na wapo poa tu, ila hawa wenye hofu ya mungu wanafanya matukio ya ajabu mpaka unashangaa
 
Kuna watu wala hizo habari za mungu hawana mpango nazo na wapo poa tu, ila hawa wenye hofu ya mungu wanafanya matukio ya ajabu mpaka unashangaa
kama ambavyo ufahamu wa binadamu ulivyo complicated ndo hivyohivyo hisia na tabia za binadamu zipo complicate!...
Yatakuja kubisha!, acha yapapatuliwe mpk yakome.😀
 
Hofu ipi unaizungumzia na huku ndani mmejaa mijianaume mi nafki , michovu , mizee na michawi hata shetani anawaogopa ndio nani awape mwanamke mwenye hofu , ushindwe ulegee usituchoshe unachart na mtu anakulia timing tu atafaidika nanini humu nawashangaa ga watu wanasema na tafuta mume humu wehu tu
Wanawake mmechachamaa sasa 😂😂👇
 
m nilikutana na kimbola cha kihaya
kimoja 2005 kilintengeneza nkaona mke ndio huyu angle malaika wa vita wewee nikajaa kansan Nov 5
Dec 5 nkahitimisha yaan nilivyoona kinawaka akipoi nkaenda sehemu wakasema umelogwà nkaoga na chumvi mawe .sabuni.maji ya baraka kama yote nikapata nguvu gafla nkabeba nguo tu nkahitirmisha jarambaa loh



Lakini bot iliishazama sema sio yote wee naoajua hiooo

Shirikinaa noma demu hana wiki ndoan anataka niache kazi ati tupige bussin
.ngastukaaa
Nkashtuka wiki yaa pili anakuletea docs za masters sijui ka apply lini UK ati na sponsors tumepata

Nkamwambia anaijuaa hiooo wewee
 
Back
Top Bottom