SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Mijitu humu mishirikina hadi shetani anawaheshimuTakboiiiir
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mijitu humu mishirikina hadi shetani anawaheshimuTakboiiiir
Pole bintiHofu ipi unaizungumzia na huku ndani mmejaa mijianaume mi nafki , michovu , mizee na michawi hata shetani anawaogopa ndio nani awape mwanamke mwenye hofu , ushindwe ulegee usituchoshe unachart na mtu anakulia timing tu atafaidika nanini humu nawashangaa ga watu wanasema na tafuta mume humu wehu tu
DuhYaa. Zaman makanisan kila jpili unakuta matangazo ya ndoaa si chini ya 7 lakini sasa hizi unakutana na taarifa za misiba na shukran kwa yaliyowatokeaaaa
Vija a wamekosa mwamkoo kabisa wa ndoaa
Tulishagoma kuoa ila tutawzalisha tu acha masingo maza waongezekeHatakisikianduguzakoo wala wazazi wakoo
Utaimbaa pooooooo utase a hili Kimbolaaaa nimelipata wapi
Yaani nimepata wengi wanajifanya wameokoka dah kumbe washirikina hadi unaanza kumrudia wewe mungu kwa vipigo na rangi nilizoona unatak nikuorodheshee andika niorodheshee nakuorodhesheaAcha banaa aisee dub usionbee upatee mwanamke mshirikinaaaa utajutaa
Wanaume kidogo wanabadilika wee wanasake kimbolaa hioo
Kuna watu wala hizo habari za mungu hawana mpango nazo na wapo poa tu, ila hawa wenye hofu ya mungu wanafanya matukio ya ajabu mpaka unashangaaAcheni kujidanganya nyie hakuna cha hofu ya Mungu wala nini binadamu akiamua kugeuka atageuka tu!, si Mungu si shetani atamsimamia binadamu ni utashi wake binafsi leo anaweza kusema ndio kesho anaweza kusema sio!.
Kama unaoana na mtu kisa anahofu ya kitu fulani basi jua bado unasafari ndefu!, maana hofu ya hicho kitu ikiondoka utasaga meno!.
Kwa kiumbe kinachoitwa binadamu hakuna kitu permanent siri ya vitu anavyovitaka yeye maishani ni siri yake tu!.
Ishini mguu ndani mguu nje, mkifanikisha malengo yeni hiyo ni heri kwenu.
Ukweli ambao hamtaki kuusikia ni huu "Binadamu hababaishwi na kitu kinachoitwa hofu ya Mungu, akiamua ku kengeuka atakengeuka tu".
Tulia sisi tuwashenyente mpaka akili ziwakaeYaan nahisi kwa sasa yale magrp ya ma single maza n mengi kulko ya ndoaa
kama ambavyo ufahamu wa binadamu ulivyo complicated ndo hivyohivyo hisia na tabia za binadamu zipo complicate!...Kuna watu wala hizo habari za mungu hawana mpango nazo na wapo poa tu, ila hawa wenye hofu ya mungu wanafanya matukio ya ajabu mpaka unashangaa
Wanawake mmechachamaa sasa 😂😂👇Hofu ipi unaizungumzia na huku ndani mmejaa mijianaume mi nafki , michovu , mizee na michawi hata shetani anawaogopa ndio nani awape mwanamke mwenye hofu , ushindwe ulegee usituchoshe unachart na mtu anakulia timing tu atafaidika nanini humu nawashangaa ga watu wanasema na tafuta mume humu wehu tu
We jamaa unavuta bangi 😂😂😂Takboiiiir