Obama amtania Biden ni Vice President, Biden ashangazwa kuona watu wakijazana kwa Obama huku akibaki pekeyake

Obama amtania Biden ni Vice President, Biden ashangazwa kuona watu wakijazana kwa Obama huku akibaki pekeyake

watu wapo bize kwamba obama ni charisma, dadeki, obama anafanya maksudi kabisa hapo.

kuna sehemu Biden anamshika Obama bega ila Obama hageuki, ndio nini sasa hii kwa president wa Marekani
Watu hawamkubal Biden saizi...Na watu baadhi wanaamini anaendeshwa Na obama
 
Mkuu uko sahihi hii kitu nilikuwa najiuliza sana.

Na hata mimi napenda sana kumsikiliza obama japokuwa kwenye maneno 100 huwa namuelewa 10 tu kwa namna anavyoongea kama ana maji mdomoni.

Ila navutiwa sana na uongeaji wake Sojui why.

Mimi napenda sana kujifunza kuhusu mambo ya saikolojia mkuu sijui unanidirect wapi sehemu sahihi ya kujifunza haya mambo
Njoo kwangu nikufunze saikolojia ambayo Hakuna mtanzania anaijua
 
Biden alikosea kutamka Siri ya wamarekani dhidi ya Putin Ila walaumiwe wao kumpa kabla wakijua msahaulifu angeweza ropoka
 
Looks like nobody talks to the puppet, They all flock to the one in charge.

Dah hadi huruma, hapa Biden amekosa wa kuongea nae alafu anageuka anamcheki Obama ana kundi la watu wamejazana kwake...Biden anamcheki Obama huku amejawa hasira na wivu halafu wanapiga mziki wa huzuni Kwa nyuma

It's sad and funny at the same time

Hapa Obama kafanya maksudi kabisa kutoa ujumbe kwa Biden kwamba yeye ndie yupo in charge.m

View attachment 2177752

Biden anaamua kumfata Obama na kumshika bega lakini Obama hata hageuki kumsikiliza Biden ambae ni raisi

View attachment 2177729

Hapa alimuita Biden ni Vice President, inaweza onekana but Obama sio mtu wa utani utani.

View attachment 2177816


Bonus 😂😂(Vuta picha angekuwa trump hapa, Media inge basti)

View attachment 2177840
Ni sawa na hapa kwetu hata samia akitoka na kikwete,watu watenda kwa kikwete kuliko kwa bitozo
 
Yani kilichotokea hapa ni kama vile ex wa mke wako anakuja nyumbani, anapewa attention kubwa kuzidi wewe, atachinjiwa kuku, watoto wanamwita baba, duuhh!!

Dah hadi huruma, hapa Biden amekosa wa kuongea nae alafu anageuka anamcheki Obama ana kundi la watu wamejazana kwake...Biden anamcheki Obama huku amejawa hasira na wivu halafu wanapiga mziki wa huzuni Kwa nyuma

View attachment 2177729

Biden anaamua kumfata nyuma Obama na kumshika bega lakini Obama hata hageuki kumsikiliza Biden ambae ni raisi, Hapa Obama kafanya maksudi kabisa kutoa ujumbe kwa Biden kwamba yeye ndie yupo in charge.

View attachment 2177752

Hapa kamtania Biden ni Vice President ila ni kijembe kabisa hiki ukitazama Biden alivyohaha katika hii hafla.

View attachment 2177816
Watu wamemiss obama wewe acha zako., Biden na Obama tunasema ni kama vile mama na Jakaya
 
Mkuu uko sahihi hii kitu nilikuwa najiuliza sana.

Na hata mimi napenda sana kumsikiliza obama japokuwa kwenye maneno 100 huwa namuelewa 10 tu kwa namna anavyoongea kama ana maji mdomoni.

Ila navutiwa sana na uongeaji wake Sojui why.

Mimi napenda sana kujifunza kuhusu mambo ya saikolojia mkuu sijui unanidirect wapi sehemu sahihi ya kujifunza haya mambo
Kwamba Kama anamaji mdomoni..😂
Mbona ni kawaida tu mkuu hakikisha listening skills yako inaimarika uyazoee maneno haswa jinsi wanavyo sounds watu wa huko (American English).

Hakuna specific area naweza kukudirect isipokuwa kwenye hivihivi vyanzo vyetu vya kawaida YouTube na Google... YouTube zipo documentary zinazoonyesha utambuzi wa body language pia hata ukisearch Google unawezapata makala na vitabu,mi vitabu sisomagi..😂
Bora makala za kuangalia ndo naweza.. by the way hata humu ni chanzo muhimu cha kujua elimu hiyo japo si sana ila vyakuokota vipi. Psychology ni kubwa tafuta unayoyapenda na yenye umaana kwako mengine waachie wataalum waliosomea,sio kada rahisi tu ukamaliza leo kila kitu!

-facial expression
Ina vitu vyake

- postures
Ina vitu vyake

- how you sound
Ina vitu vyake.

Kuna hadi mikunjo inayopatikana ktk sura inamaana yake,hii elimu ilianzia china huko..😀
Namna unavyojongea,ishara unazotoa ukiwa unaongea,macho yako huongea pia,mdomo huongea pia,vidole vyako huongea pia mfano unapokuwa umeketi zako husikilizi mziki wala nini ila utakuta unataptap vidole vya mkononi ama mguu kiujumla hiyo inaweza kuonyesha mtu anaprocess kitu ama yupo confused!.. hivi vitu hutokea automatic bila hata wewe kujua!.
Unaweza kuta akapita hata mtu unaempenda ukaanza kutaptap mguu au vidole vya mkono..😂😂
This shit happened to me miaka ya nyuma huko mpaka nikawa najicheka!, it's crazy hata Kama unajua but it happen automatic!.

Kuna kujua makundi ya watu hii ipo Sana humu imeelezewa kwa kina you just use jf search utapata. Mambo ni mengi ila hata kufatilia taarifa za aina fulani inaonyesha pia we ni mtu wa namna gani!,Tafuta mkuu maarifa tunayo humuhumu.
 
marekani hapa walichemka biden akitembea anatetemeka,machozi kila saa anajifuta machozi yale ya kizee anawaharibia taifa na dunia 😎😎
 
Back
Top Bottom